Ule Uzi wa Saa 1 Ijumaa wa GENTAMYCINE aliyesema matokeo ya Yanga na Mwarabu ni ama 2-0 au 3-0 umepotelea wapi?

Cognizant

JF-Expert Member
Aug 13, 2022
491
1,056
Na naukumbuka tena kama kawaida yake Alifumba na Kuuliza / Kutuuliza je, tunadhani ni Timu gani kati ya Yanga SC na CR Belzoud FC itafungwa Magoli hayo ama 2 kwa 0 au 3 kwa 0?

Team GENTAMYCINE tunauhitaji huo Uzi ili tuweze Kuuchangia na kumpa Maua yake GENTAMYCINE ambaye pamoja na kwamba tunamchukia (nami nikiwemo) na Kazuiliwa Kuchangia Jukwaa hili la Michezo ila kiukweli Jamaa Kabarikiwa Talanta ya Kipekee na Mwenyezi Mungu ambayo wengi wetu hatuna na huenda ndiyo maana hata tunamchukia kwa Wivu, Roho Mbaya zetu na Kukubalika Kwake sana hapa JamiiForums.

Huo Uzi aliuanzishia katika Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko pengine kutokana na kuzuiliwa Jukwaa la Michezo ila kwa sasa nautafuta siuoni hivyo naomba aliyemuona anitagi tafadhali.

Salute mno tu Kwako GENTAMYCINE.
 
Dada kaolewa arabuni

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
JamiiForums-31645776.jpg
JamiiForums-312072181.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom