Ule usemi wa Shida huleta maarifa.....

Ana akili kuliko hata mimi maana mi singe pata hiyo idea ya kuacha kauwazi ili nishikilie uskani. Ningemuomba tu rafiri ashike upande mngine. Good ressource management!
 
Dah, nimemuonea huruma kweli hivi ile slogan ya JMK ndio hii "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" no no no no no no!
 
sasa afanyenini wakati
mama atajigwote
watoto wanataka msosi
tena unakuta anao dazen,i mean timu ya mpira na reserve
wanataka kuvaa,shule`
wengine wagonjwa
af haelewi atapataje chochote kitu
na hapo utakuta anakwenda mbali sana
daaah this country bwana!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Fanya kazi kama mtumwa ili baadaye uishi kama mfalme. Mchumia juani, hulia kivulini.
 
Kweli kazi tunayo wakuu...sasa huyu jamaa akifika si hatakuwa hoi mpaka anataka kufa?
 
Back
Top Bottom