Sr. Abigail; Sahau hiko kitu kabisa. Upendo ule almaarufu kama Upendo wa Agape haupo tena kabisa-sio kwa wanandoa tu bali hata kwa watu wa kawaida ambao hata hawajafungwa kwa viapo; pia hata kwa viongozi walioapa madhabahuni e.g. mapadre /watawa/wachungaji n.k. au mbele ya kadamnasi e.g. viongozi wa Kiserikali e.g. Wanajeshi n.k. au Siasa -Wabunge n.k. Woote hao kwa Ukweli halisi huwa wanaangalia maslahi binafsi zaidi. Mambo yakibuma au kuwa tofauti na matarajio yao huondoka au Hukengeuka.Naulizia ule upendo unaopenda toka moyoni Kwa Nia ya dhati.
Ule upendo ambao hauangalii una Nini au we ni nani au ukoje,unaakuangalia moyo wako.
Unaowaunganisha watu Kwa mioyo Yao na sio walivyo navyo.
Ule upendo ambao hata ukiporomoka Hadi 0 mwenzio bado anakwambia nipo nawe.tutatafuta tutapata na Maisha yataendelea.
Ule upendo hata ukiwa hoi unaumwa mfano umepata ajali bado mwenzio yupo pembeni yako,anakwambia utakuwa sawa na Maisha yataendelea.
Ule upendo unaojali bila ubinafsi.
Ukipatwa na aibu yuko mstari wa mbele kukusitiri
Unapojikwaa ndie wa kwanza kukuinua
Unaoheshimu viapo na ahadi.
Bado upo?
Maana siku hizi ndoa zinavunjika kirahisi sana.
Ukikosa kazi tu mwenzio huyo anaondoka. Akiona unachelewa kuzaa kashatafuta mimba nje
Ukipata ajali au ugonjwa ukakuacha mlemavu msahau!
Wanandoa wanakimbiana.watoto wanatelekezwa.
Mtu anaamua kuwa nawe sababu unaweza kumpa hiki ama kile lakini sio Kwamba anakupenda wewe kama wewe.
Wengine huenda Hadi madhabahuni kula kiapo ila after few months anaondoka.
Ama mwingine anaingia sababu unaweza mpa ndoa lakini hakupendi,unaletewa mimba sio zako,anafanyana na anaowapenda na kukuletea wewe damu sio zako.
Anazaa watoto nje Kwa anaowapenda lakini hawana vigezo vya kuwa wake,yuko nawe sababu unafit na uko tayari kuwa mke.
Upendo genuine kabisa ule upo?
Nina imani utapata..... ili mradi usizidishe vigezo kwa muhusika.Noted! niko ready... ila kumpata sasa
Namba 5 hapo kwangu ndio huwa naona kipengele. 😅😅😅Sio adimu kiukweli upendo una gharama zake!!! je uko tayari???
1 kuvumilia
2 kuheshimu
3 ukweli tupu
4 tutokusalitiana
5 kuwa muelewa kwa chochote kile
6 kuheshimu maamuzi na faragha ya mwenza wako.
7 daima kusimama na mwenzi wako hata kama dunia ikishindwa kumuelewa.
8 kumjali na kuhudumia kifedha , kiakili na kimwili.
na mengine mengi.
Upendo upo na bado upo endapo tu mtu akiwa tayari kuupata.
Eh! Golden chance never come twice. ila kuwa makini yasije yakakukuta kama ya daudi. kuona mtoto anaoga, dopamine ikapanda mpaka uvumilivu ukamshinda,hahah inatakiwa upate binti mm kuna binti huku kaja kumsalimia mgonjwa namlia taimigi anashinda ndani tu nawaza njia za kumuopoa
Amen...Nina imani utapata..... ili mradi usizidishe vigezo kwa muhusika.
Hapo ndio unafeli mdogo wangu!!! kwani ukiwa muelewa bila kuweka dots au viulizo vingi katika akili yako unadhani unaweza pungukiwa kitu?Namba 5 hapo kwangu ndio huwa naona kipengele. 😅😅😅
Mimi ni muelewa sana lakini nina standards zangu ambazo huwa sipendi kuingiliwa au kupuuzwa
hahahah bado kidog miaka 17 hiv hakina hata simu nawaza nikisikia kimerudi kwao sijui itakuwejeEh! Golden chance never come twice. ila kuwa makini yasije yakakukuta kama ya daudi. kuona mtoto anaoga, dopamine ikapanda mpaka uvumilivu ukamshinda,
Dah! naona unataka kigen-z kibichi kabisa, mkuu!hahahah bado kidog miaka 17 hiv hakina hata simu nawaza nikisikia kimerudi kwao sijui itakuweje
😅😅 yupo sahihi sana chukua madiniSister katoa maelezo post #149 😃
Na amefafanuwa post #157
Sawa mkuuSr. Abigail; Sahau hiko kitu kabisa. Upendo ule almaarufu kama Upendo wa Agape haupo tena kabisa-sio kwa wanandoa tu bali hata kwa watu wa kawaida ambao hata hawajafungwa kwa viapo; pia hata kwa viongozi walioapa madhabahuni e.g. mapadre /watawa/wachungaji n.k. au mbele ya kadamnasi e.g. viongozi wa Kiserikali e.g. Wanajeshi n.k. au Siasa -Wabunge n.k. Woote hao kwa Ukweli halisi huwa wanaangalia maslahi binafsi zaidi. Mambo yakibuma au kuwa tofauti na matarajio yao huondoka au Hukengeuka.
ndy nakahitaji ila kama sio kabikra nakaachaDah! naona unataka kigen-z kibichi kabisa, mkuu!
Kanichana hapo juu 😅😅😅 yupo sahihi sana chukua madini
Hanaga kipengele labda uje nacho wewe 😅Kanichana hapo juu 😅
Hahahaaaaaandy nakahitaji ila kama sio kabikra nakaacha
Nijipange upya ili nibeje kaya mgoyong'wa na minze 😄Hapo ndio unafeli mdogo wangu!!! kwani ukiwa muelewa bila kuweka dots au viulizo vingi katika akili yako unadhani unaweza pungukiwa kitu?
🥹🥹Mioyo imevunjwa mno mtu anajaribu kupenda ila ndio hivyo anakutana na mishale mwisho wa siku mnaenda ilimradi msogezane tu