Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,177
- 13,003
- Thread starter
-
- #61
Tufanyeje Sasa..Kabisa mkuu. Binadamu ambaye sio mzazi wako hawezi kukupenda kwa kila hali hadi mwisho wa dahari. Never!
Kila mwanadamu ana turning point yake (hata mwanao), tunatofautiana tu. Yupo atakayekuwa bega kwa bega na wewe katika nyakati fulani ngumu ila ikifikia ukomo wake (Turning point) atakuacha solemba tu. Ni mzazi wako tu (Hasa mama na Baba kwa asilimia kubwa) anaweza kuwa pamoja na wewe kwenye changamoto zako zote mpaka kifo. Wengine wote wana Breaking/Turning point.
Wewe huogopi😂!!,Huo ndio upendo sasa
Kwani we unataka utoe Nini ama uombwe Nini ndio uamini unapendwa?Wewe huogopi😂!!,
Angalau hata nikupe kijizawadi chochote au nikufanyie tendo lolote la ukarimu upate sehemu ya kuanzia huo uongo wako😁Kwani we unataka utoe Nini ama uombwe Nini ndio uamini unapendwa?
Njoo pm tuyajenge utasema ulichelewa kuijua.Liko wazi
Ila Kwa Hali hii nnayoona hapa
Bora hata wahuni
Ahiii😄😄😄Angalau hata nikupe kijizawadi chochote au nikufanyie tendo lolote la ukarimu upate sehemu ya kuanzia huo uongo wako😁
🙄🙄🙄 Mtego huoNjoo pm tuyajenge utasema ulichelewa kuijua.
Naamini ila sio kimasihara sasa, inaogopesha jamani!Ahiii😄😄😄
So wewe kama wewe huamini kama unaweza kupendwa?
Problem ya wanawake wa sasa wana haraka , hizo haraka ndizo zinakuingiza majaribuni.Wengine tunahofia kupoteza muda
Na ndio sababu pia siku hizi wapenzi wanapangiliwa
Unakuta mwanaume mmoja ana wanawake sita kuchungiza nani anafaa.
Mwisho ni kupotezeana muda
Jiamini weweNaamini ila sio kimasihara sasa, inaogopesha jamani!
Haya nakupenda Abby🥰 naomba nielewe please niweke hapo...( ngoja nikanakili mistari kwenye ule uzi wa handsome nirudi)Jiamini wewe
Hivyo vingine mtapeana huko mbele
Problem ya wanawake wa sasa wana haraka , hizo haraka ndizo zinakuingiza majaribuni.
Muda ninao sema si miaka mitano, within miezi minne mpaka 6 utaziona tabia halisi au dalili za mtu wako. Ukiwa nae kwenye matatizo, wakati wa furaha, akiwa mbali au akiwa karibu.
FRom there utaamua wewe. Tatizo dada zetu mnaingia kwa wahuni mkihisi watabadilika, mtu akishafika 28yrs na kuendelea kumbadilisha is heavy work
Heee🙄🙄🙄Haya nakupenda Abby🥰 naomba nielewe please niweke hapo...( ngoja nikanakili mistari kwenye ule uzi wa handsome nirudi)
Imekuwaje tena, hutaki kupendwa unconditionally😁!Heee🙄🙄🙄
😄😄 Sawa mkuuUmeleta Ujumbe Mzito Sana Kama Wale Mamajusi Wa Mashariki, Baltazar, Gasper,
Merikior
Acha Nipate Funda La Hii View attachment 3655166View attachment 3655166
Sina Cha kukupa😊Imekuwaje tena, hutaki kupendwa unconditionally😁!