Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,079
- 136,509
- Thread starter
-
- #41
Hujaelewa.Ukitaka kujaza serikali yote na wasukuma wenye akili inawezekana kabisa kwa sababu wako wengi na wengi wamesoma sana lakini je busura inaweza kukuambia hivyo ndivyo nchi yenye makabila mengi inavyotakiwa kuendeshwa?
Hata kama wana uwezo na weledi tusichokitaka ni kabila moja kupewa kipaumbele juu ya mengine.
Acha bra bra.
Ile tu kuwa mfuasi wa mr belgiji ni kwamba akili hawana!
Kama waliweza kubadili gia enzi za lowasa itakuwa hili?
Ukitaka kujaza serikali yote na wasukuma wenye akili inawezekana kabisa kwa sababu wako wengi na wengi wamesoma sana lakini je busura inaweza kukuambia hivyo ndivyo nchi yenye makabila mengi inavyotakiwa kuendeshwa?
Hata kama wana uwezo na weledi tusichokitaka ni kabila moja kupewa kipaumbele juu ya mengine.
Acha bra bra.
Someni huu uzi
Tundu Lissu kwa sasa anaishi katika fikra za watanzania wengi kuliko mtanzania mwingine yoyote yule
Kupitia hapa JamiiForums, niliwahi taja sifa kuu 7 za Tundu Lissu kulingana na mtazamo wangu na moja ya sifa hizo ilkuwa ni uwezo wa Lissu kuona mbali(foresight). Nilimpa sifa zile sio kwa lengo la kumsifia tu au kumjenga kisiasa,bali niliona mapema sifa alizonazo pamoja na uwezo huo alioanao...www.jamiiforums.com
Hii coment tusave mkuu!Second in command jeshini sasa hivi anaitwa Yacoub Mohamed. Ni luteni jenerali.
Kwa jina lake hilo, nadhani ni Muislamu.
Pia, nadhani huyu ndo atakuwa CDF pale Mabeyo atapostaafu.
Rais Samia akija kumteua huyu, watasema kateuliwa kwa sababu ni Muislamu mwenzake na Mama Samia.
You watch this space....
Exactly.
Jeshini ndo alikuwa second in command.
Alipostaafu Mwamunyange ndo naye akateuliwa kuwa mkuu wa majeshi.
Watu wakadai eti hakuwa anastahili. Eti kateuliwa kisa ukabila.
Bullshit.
Kwa hiyo ukabila ndo ulimfanya awe CDF? Hakuna factors zingine?..Mabeyo alikuwa junior kati ya wale senior officers.
..akawapewa promotion, na kutegeshwa kwenye nafasi ya CoS.
..Mwamunyange alipostaafu akawa promoted kuwa CDF.
Kwa hiyo ukabila ndo ulimfanya awe CDF? Hakuna factors zingine?
Halafu mimi na wewe tumebishana sana kuhusu hili....
Hujaelewa.
Lakini enzi za utukufu wa kina Basil Mramba,Yona,Mgonja,Kitillya ilikuwaga sawa kabisa kujaza kabila moja siyo?
Washamba sana awa jamaa.
Wana tabia za kike,tabia za umbeaumbea.
Kama kweli madai yao ya ukabila yangekuwa ni kweli Makonda asingebaki kwenye teuzi awamu hii,au Dr.Mashinji ana uwezo wa kuongoza wizara asingeachwa.
CDF angeonyesha ukabila kipindi hiki.
Ilifikia wakati hayati Magufuli akifanya teuzi wanauliza kabila gani.
Kama Msukuma basi ndo itakua ajenda ya mwezi.
Akiwa wa Kanda ya Ziwa hata kama sio msukuma,tayari utasikia"wa kanda pendwa" kama aliteuliwa ni Muhehe utasikia"kateua mtani wake"
Kama ni Mgogo. utasikia"kwasababu kaoa Msukuma"
Haya JPM keshazikwa,Wasukuma wapumue,duh!.
Wenye kushindwa siasa za hoja uwa wanasifa ya kujitupa kwenye dini na ukabila ili kuficha kushindwa kwao...hiyo ni kawaida kutokea kwa kila raisi wa Tz.
..zamani kidogo kulikuwa na kabila hapa Tz likiitwa " wa kaskazini. "
..lawama za ukabila alizokuwa akitupiwa Jpm walishatupiwa watangulizi wake.
Wenye kushindwa siasa za hoja uwa wanasifa ya kujitupa kwenye dini na ukabila ili kuficha kushindwa kwao.
Wala hata sio Wachaga, naona na wewe unafanya generalizationMushi. Nikisema wachaga ndiyo waneneza chuki dhidi ya Wasukuma kwa kua mlizoea kudominate wizara na magu hakuruhusu kabila moja kudominate wizara.
Kwa taarifa yako wakati mnasema Magufuli alipendelea Wasukuma baraza lake la Mawaziri la sasa Mkoa mzima wa Mwanza hakuna waziri hata mmoja.
Pili Mawaziri wasukuma ni wawili tu. NB BITEKO siyo msukuma.
Mkoa wa Simiyu kuna Waiziri mmoja
Mwanza hakuna waziri
Shinyanga hakuna Waziri
Geita Mawaziri 2 na mmoja siyo msukuma.
Taarifa zaidi. Waziri gwajima siyo msukuma jina Gwajima ni la mme.
Alipandishwa cheo haraka haraka? Hebu tuwekee timeline yake tuone...Kwa jinsi alivyopandishwa haraka haraka kwa muda mfupi akiwavuka wengi wa juu yake na wenye uziefu, ndio alipata kwa sbb ya u 'homeboy'. Kutoka kukaimu u deputy wa mkuu wa MI, kuwa boss wa MI mpaka alipofikia kama sikosei ndani ya miaka miwili huku wa juu wakipelekwa ukoo wa mikoa, ubalozi kama sio kupisha ni nini? ' inafikirisha au haifikirishi?
Tushukuru tunalala na kuamka salama lakini haya mambo yalipitiliza na kuletea joto kali sana huko kwenye majiko.
Tumuache marehemu apumzike tusianzishe vya kufanya watu waanze kumsemasema
Nyani Ngabu