Ulaya pamenishinda narudi bongo

Status
Not open for further replies.


Inaboa kishenzi unaona mwanaume mzima analia nje hakufai..dah hizo bahati sijui kwanini wengie hatupati!.
 
Mtafute Ngurumo
 
Mleta uzi kachezea za uso mpaka hajarudi tena kuandika chochote kulingana na comments za wadau.πŸ˜‚..au cjui ndo keshafika kijijini mtandao umekata!πŸ€”πŸ€”
 
Asirudi ulaya kutokea Sweden?

-Kaveli-
ndugu yangu acha kuwa kichwa ngumu mkuu jamaa anasema anaondoka sweden, mimi nimemjibu asirudi tena tatzo la kuelewa linakujaje mkuu au tuandike kiingereza mbona meseji inaeleweka hiyo au nini haswa point yako, tufupishe mjadala?
 
ndugu yangu acha kuwa kichwa ngumu mkuu jamaa anasema anaondoka sweden, mimi nimemjibu asirudi tena tatzo la kuelewa linakujaje mkuu au tuandike kiingereza mbona meseji inaeleweka hiyo au nini haswa point yako, tufupishe mjadala?

Title ya uzi pamoja na contents vinareflect hiki: "Ulaya pamenishinda narudi bongo".

Halafu wewe ambaye huwa unajitambulisha kuwa upo Uswisi ukacomment hivi:


Hadi hapo huoni kwamba 'ushamchanganya' msomaji wa threads zako unazosimuliaga kwamba upo Uswisi? Just by common sense, huuoni kabisa huo utatanishi hapo?

Naona ushaanza kupanic 😁.

-Kaveli-
 
mimi sijapanick mkuu ila nilikuwa sielewi hasa unataka nini , na kumbe ishu ni hiyo mkuu, basi tufanye niko bongo. tufunge huu mjadala
 
kunahitaji uvumilivu mkuu
 


Hivi tuongee in reality..huko Ulaya kunawshindaje? Au ni mm tu nnayeona umaskini wa chii hii jamani..mideals mikubwa wanapeana wao..arghh
 
Mkuu komaa huko huko ila kama unataka kurudi namanditi, pitia hapa songea mjini tupate kitimoto na bia unipe stori za mbele

aim for the stars
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…