Ulaya pamenishinda narudi bongo

Status
Not open for further replies.
Sasa hiyo video ulio ambatanisha inahusiana vipi[emoji28][emoji28] au ndio stress
Na nafikiri video,amemaanisha kutuonyesha vipi maisha yalivyo mazuri Tz, no stress watu wanaserebuka tu 😆
 
Kurudi huku ni tatizo vilevile hali si hali huku
 
Miezi 3 tu umekata tamaa? Wacha demo wewe vumilia umalize mwaka huu, mwanza mgumu
 
Muongo huyo anatupa tu taarifa kuwa yupo ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi kwaio vzr usome lugha yao hata miezi flani km short course ausio? Wkt ume ingia na je hizi permits ina kuaje mkuu hebu tu fungulie kgd Kiongozi
 
Pole sana. Kupata makaratasi ni mtihani. Vibibi nao walishajua mnataka kuwatumia kama daraja la kupata paper. Ulaya kama hauna paper ni mtihani.Utakuja kupata paper na kama njia yako ya kupata paper ni kuoa mswedish ipo siku utampata. Ila ndiyo hujui lini. Fuata moyo wako.
 
Man,wewe kweli umekaa Europe,unacho ongea ni 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wenye malengo ya kupata makaratasi kupitia kwa wanawake ushauri wangu ni huu:-

Tafuta mwanamke ukiwa bado Afrika, siyo unaingia kwanza kisha ndio unatafuta mwanamke.

Mbali ya hapo mbadala ni kujipiga tu, na hata kujipiga ujiandae haswa, Ulaya mambo yamebadilika sana
 
France ulikua sehemu gani ?
 
Ndo wajue wale wanaoipondaga Tanzania na Africa kua huko siko kwao,pambania nyumbani utafanikiwa tu,njoo Mang'ola tulime kitunguu
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
mbona wazungu wao hawawazi kuja africa kusaka maisha ili hali wanajua raslimali za kutosha ziko huku?sisi tunafeli wapi lakini mkuu kwani wazungu wao unaoishi nao wanafanya kazi gani zinazo waweka mjini nchini kwao ambazo wewe zimekushinda kufanya.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…