Ulaya pamenishinda narudi bongo

Ulaya pamenishinda narudi bongo

Status
Not open for further replies.
Wewe mwehu ndama unawakilisha vijana wa sasa wa Tz. Miezi mitatu unataka uwe iumetimiza ndoto zako zote. Ndio nyinyi mkiajiriwa unataka miezi mitatu ununue gari,ujenge,uoe,uwe na bilioni benki matokeo yake mnakuwa wezi mnaishia jela.

Maisha sio rahisi kama unavyotaka iwe.
dah..sawaa mkuu inauma japo unachosema nikweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua mtu unapokuwa sehemu Fulani halafu ukawa unaamini kuwa kuna sehemu Fulani ambayo ukienda huko unaweza kupamba zaidi na kutoka kimaisha,basi akili yako huwa inafikiria huko tu na kuona hapo ulipo hapakufai.

Mkuu ulitoka Tanzania na kwenda Europe ukiamini kuwa huko utapata afuwenu ya maisha,na sasa unarudi tena bongo hapahapa ulipotoka ukiamini kutakuwa ni bora kuliko huko ulikotoka.

Hebu jaribu kuchange mindset yako,maisha ni kujituma.
 
Usirudi.ukitaka connection za kazi jichanganye na wacongo na warundi.wale watu watakusaidia kupata kazi mpaka mahala pa kukaa.nenda makanisa yao na please usikate tamaa.achana na cycle ya watz.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naomba afate huu ushauri wako, jamaa asijaribu ku-give up kabisa fursa ziko nyingi sana huko alipo cha msingi apambane na connections tu na aelewe utaratibu wa hiyo nchi ukoje. Hadi umefanikiwa kufika huko na kuongezewa muda wa kukaa basi una nafasi kubwa ya kufanikisha mambo yako.
 
Walikwambia ukifika leo baada ya siku mbili unapata kazi na mambo yako yananyooka? Kwanini vijana wa bongo mna mihemko kiasi hiki.... Nadhani hii ni sababu ya ponzi schemes na kamari kushika hatamu sana Tz, mihemko! Mihemko!
 
Umekata tamaa mapema Sana komaa wewe.

Anyway ukishindwa kabisa maisha ya huko rudi tu maana kumeshanoga huku.😂😂😂😂
 
Wewe mwehu ndama unawakilisha vijana wa sasa wa Tz. Miezi mitatu unataka uwe iumetimiza ndoto zako zote. Ndio nyinyi mkiajiriwa unataka miezi mitatu ununue gari,ujenge,uoe,uwe na bilioni benki matokeo yake mnakuwa wezi mnaishia jela.

Maisha sio rahisi kama unavyotaka iwe.
Exactly
 
Nashangaa.
Ikiwa tu bongo kutoboa ni miaka sembuse nchi za watu.
Yeye keshafika huko akaze tu.
Walikwambia ukifika leo baada ya siku mbili unapata kazi na mambo yako yananyooka? Kwanini vijana wa bongo mna mihemko kiasi hiki.... Nadhani hii ni sababu ya ponzi schemes na kamari kushika hatamu sana Tz, mihemko! Mihemko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom