johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Hawa waliomuua huyu mtoto kinyama namna hii hakika hawana dini, ni ile MIJITU
RIP Joshua
RIP Joshua
Mimi nawashabikia Hamas ila kwa huu unyama nimeishiwa nguvu kabisa... Hawa jamaa si binadamu. Sijui but hii si shida. Tutakuja na maneno ambayo tumeambiwa tuseme kutetea hili.Hawa waliomuua huyu mtoto kinyama namna hii hakika hawana dini, ni ile MIJITU
RIP Joshua
Shehe Ponda anasema Shujaa Magufuli Ndio aliwakamata MagaidiHapa Shehe Ponda huwezi kumuona anatetea yeye amejaa udini pekee
Ufipa st mna Katibu mwenezi?Sio mageni hata hapa kwetu Katibu mwenezi alikuwa akiendesha kikosi cha mauaji na sasa karejea kama Hamas
Yes hilo la msingiFidia ilipwe maneno yataisaidia nini familia yake?
AFANYE NINI??TAIFA LENYE LAANA YA MUNGU ISRAEL NDIYO WAMETEKELEZA MAUAJI HAYO YA KINYAMA,YEYE ASEME KITU GANI??Hapa Shehe Ponda huwezi kumuona anatetea yeye amejaa udini pekee
Kama idf waliweza kuwaua raia wao wenyewe , na kuua waandishi wa habari huku wakiwasingizia hamas, jana wameua wanawake wawili kanisani kwa snipers , wanashindwa nini kuwaua watanzania wenzetu na kuwasingizia hamas???Mimi nawashabikia Hamas ila kwa huu unyama nimeishiwa nguvu kabisa... Hawa jamaa si binadamu. Sijui but hii si shida. Tutakuja na maneno ambayo tumeambiwa tuseme kutetea hili.
1. Waliomuua yule siyo hamas ni wayahudi wenyewe
2. Yule siyo Pena Joshua ni mtu mwingine kabisa.
3. Aliuawa sababu ya uvamizi wa wayahudi Palestine.
Washabiki wa Hamas hapa Tanganyika bado wanabisha.Hawa waliomuua huyu mtoto kinyama namna hii hakika hawana dini, ni ile MIJITU
RIP Joshua
Hawa waisrael maisha yao yote wananulikana kwa uongo na propaganda siyo wa kuwaamini hata kidogo , hao wazungu wenzao wameshwachoka kwa uongo,Washabiki wa Hamas hapa Tanganyika bado wanabisha.
Namuongelea Mwenezi wenu Bashite.Ufipa st mna Katibu mwenezi?
Netanyahu ameapa kuwamaliza HamasHapa Shehe Ponda huwezi kumuona anatetea yeye amejaa udini pekee
Nyie UWT kwa ujinga jamaniAFANYE NINI??TAIFA LENYE LAANA YA MUNGU ISRAEL NDIYO WAMETEKELEZA MAUAJI HAYO YA KINYAMA,YEYE ASEME KITU GANI??
ENDELEENI KUWASHANGILIA MAGAIDI HAYO
Amemzuia Shehe Ponda kutetea haki?Netanyahu ameapa kuwamaliza Hamas
Ni mdini hawezi kuteteaVipi kauli ya bi Faizafoxy kuhusu ndugu zetu kuuawa na Hamas
Hamas wamewahi kukiri kuua?? Bora idf wana admit makosaKama idf waliweza kuwaua raia wao wenyewe , na kuua waandishi wa habari huku wakiwasingizia hamas, jana wameua wanawake wawili kanisani kwa snipers , wanashindwa nini kuwaua watanzania wenzetu na kuwasingizia hamas???