Ukweli wa Suala la Makonda na Clouds Huu Hapa

Ukweli wa Suala la Makonda na Clouds Huu Hapa

World [emoji288] is not fair. Siku zote dunia aipo sawa na ndio maana Marekani anakwambia Hana rafiki wa kudumu yeye anaangalia maslahi yake. Na hawa Clouds Media wanaangalia Maslahi yao, wameona matamasha yao ya Fiesta yatashindwa kufanyika na ndio maana wameona wajishushe. Kama kwenye mashindano ya Ndondo Cup [emoji478] walianza kuwekewa zengwe, kwenye uwanja wa Bandari. Sasa wameona matangazo yao yatapata ukakasi bila kuwepo kwa nguvu ya mkuu wa mkoa

Watoto wa mjini, wanaona bora wakaushe ugali usije ukaharibika zaidi
 
Nape alitaka kurusha Bomu Ikulu, ile anajiandaa kulirusha tu kilamripukia yeye mwenyewe, CCM hainaga shukrani kwa kweli, yaani kazi yote ile kuzunguka mikoani imekwenda buree!! khaa!!!
Alizunguka mikoani akitumikia mshahara kama Katibu Mwenezi/Itikadi so haikuwa bure
 
Atapita tu kama walivyopita wengine wakina Ditopile ambae alikuwa best wa rais wa awamu ile mbona tumesha msahau.

Wema na hekima na upendo ni keki isiyooza.
 
Back
Top Bottom