Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
Inaaminika kwamba kila kijana anaye jiunga na ccm popote pale nchini ni mchumia tumbo la sivyo anatoka familia ya kifisadi
hii ni kwa sababu zifuatazo
1. angalia majina ya watoto wa vigogo kweny nec
2. angalia vijana wa ccm kwenye bunge linganisha na wale wa cdm
3. angalia historia za wazazi wao (viongozi)
4. wajinga na wavivu kufikiri (lusinde)
5. waropokwaji pasipo utafiti(nape)
6. kupigana hazarani kwa masilahi yao (baada ya matokeo ya uvccm)
zifuatazo ni sifa za wazee wao
1. kusinzia bungeni
2. waizi wa mali za umma
3. wagomvi na wenye uchu wa madaraka
4. wasio fahamu nini chanzo cha umasikini wa raia zao
5. wanaoshinda kwa mitandao ya fedha
6. wenye historia chafu baada ya uongozi
7. wanaotesa nakunyanyasa wa tetezi wa umma
huu ndio ukweli halisi kama kuna mengine yamesahaulika nawaomba tuongezee ilituwakomboe watanzania kutoka kwa mkoloni huyu wa kijani.
hii ni kwa sababu zifuatazo
1. angalia majina ya watoto wa vigogo kweny nec
2. angalia vijana wa ccm kwenye bunge linganisha na wale wa cdm
3. angalia historia za wazazi wao (viongozi)
4. wajinga na wavivu kufikiri (lusinde)
5. waropokwaji pasipo utafiti(nape)
6. kupigana hazarani kwa masilahi yao (baada ya matokeo ya uvccm)
zifuatazo ni sifa za wazee wao
1. kusinzia bungeni
2. waizi wa mali za umma
3. wagomvi na wenye uchu wa madaraka
4. wasio fahamu nini chanzo cha umasikini wa raia zao
5. wanaoshinda kwa mitandao ya fedha
6. wenye historia chafu baada ya uongozi
7. wanaotesa nakunyanyasa wa tetezi wa umma
huu ndio ukweli halisi kama kuna mengine yamesahaulika nawaomba tuongezee ilituwakomboe watanzania kutoka kwa mkoloni huyu wa kijani.