Ukweli wa kifo cha Deo Filikunjombe

Ukweli wa kifo cha Deo Filikunjombe

Tujifunze namna ya kuandika bulaa bulaa na speculations hizo kila mtu anazijua!
Ungesema ni kijana gani ndani ya chama na nikivipi-mazingira mazima na kisa.
Mambo ya ngojera achia wanakaya.

Mkuu Unataka Utafuniwe Kila Kitu As If Wewe Siyo Great Thinker? Kuna Wachangiaje Wamekusaidia Kuwa Unganisha Dots Kwa February Maropes,ndio Kijana Anaezungumziwa.
 
Kuna taarifa nilizipata pahala kuwa Mzee machache anahusika kwa namna flan na kifo cha ndg yetu filikunjombe. Mzee machache aliingia mkataba na filikunjombe akasimamia hadi show ya shule yake kule Uganda kwa makubaliano maalum lakn baada ya kumaliza masomo filikunjombe akamtosa Mzee machache na hii ilikuja baada ya filikunjombe kupata shavu zaidi sehemu nyingine huku Mzee machache akimbania kuondoka na kumtaka atimize masharti ya mkataba but deo alilazimisha kuondoka na zaidi akamwambia kama ni pesa zako ulizonisomeshea niko tayari kukurudishia. Kitendo hicho kilimkwaza sana Mzee machache na akaahidi kumshughulikia.

Mkuu acha blaa blaa hujui kitu, unaweza kuthibitisha haya uyasemayo.
 
Hili ni jambo ambalo halijawahi kuacha kunizunguka kichwani nikiwaza nini hasa kilitokea kwa kijana mwenzetu Deo Filikunjombe.

Huyu kijana pasipo watu kuangalia vyama vyao walimpenda na kumwona ni kijana ambaye alikuwa ni mzuri kwenye matendo sana kuliko kwenye maneno ya kinafiki kama wanasiasa wetu wengi waliopo sasa.

Mh Deo Filikunjombe alikuwa akiifanya siasa kwa matendo chanya katika Jimbo na Hatimaye Taifa. alisimamia alichoamini kwa matendo na imani kubwa. Na katika hili hakuangalia chama. aliangalia watu wake.

Ni wazi kuwa alionekana tishio kwa wanasiasa wengi vijana waliopo ndani ya chama chake.
Je ni kweli leo hii taumkumbuki tena Deo ? ni kweli amepita kama kivuli? hatujaweza kuhoji hasa mazingira ya kifo cake na kauli zilizowah kutolewa haraka baada tu ya kifo chake?

Watanzania tunawezaje kuwazungumzia watu wa hovyo hovyo walio kwenye system hivi sasa tukasahau vijana mahiri kama Deo? hakuwa na tamaa ya haraka kama waliyo nayo vijana wengi waliopo kwenye siasa hivi sasa ambao wamekuwa wakitudhalilisha sana kwa maamuzi na kauli zao za hovyo kiasi kwamba tunajuta kuwa na viongozi wa namna hiyo wenye nembo ya ujana.

Wakati mwingne tunawavumilia na kutetea ujinga na upuuzi wao kwa kisingizio cha chama lakini kiuhalisia ni matatizo katika Taifa hili.

Ni nani alihusika na kifo cha Deo? je kilikuwa cha kawaida au watu wametaka tuamini kuwa ni cha kawaida? kuna hadhithi nyingne zimekuwa zikisemwa lakini moja wapo ni kuwa kifo chake kinahusishwa na kijana mwenzie aliye ndani ya chama hasa baada ya kuona kuwa Deo anaonekana kuwa na nguvu na kupendwa na watanzania wengi kuliko huyo kijana ambaye uwezo wake ni mdogo isipokuwa amekuwa akibebwa.

Yamesemwa mengi lakini je ndo tuseme Deo amepita kama kivuli? hizi ni mbegu ambazo zilipaswa zipaliliwe na pia ziwekewe mbole vizuri kuikuza nchi yetu na hata zinapokufa zisiwe bure bali iwe ni nafasi nzuri ya kuzaa zaidi na zaidi. wamebaki vijana mafisadi, wanafiki,wenye kujijali wao zaidi, wenye kujipenda wao zaidi kuliko Taifa, wasio na uwezo mzuri kwa kuongoza na kunena maneno ya hekima.

Mimi na wewe tunaweza kujua kama tukiamua aliyesababisha kifo cha Mh Deo filikunjombe. tusinyamaze leo yeye kesho wewe..na unaponyamaza kimya kwa mwenzio mwishoni hata wewe hutapata wa kukupazia sauti .

Kafa Saitoti na Chopper itakuwa Deo !??
 
Hivi bandugu utajiri wa Deo hauwastui. Wa ghafla na usio na maelezo ya kueleweka. Kuna mtu humu kauliza Deo alikuwa akifanya kazi gani nje ya ubunge. Partly Deo aligharamia umaarufu wake. Kila alipotoa mfuko wa simenti au akishika beleshi kujitolea kujenga zahanati huko Ludewa alihakikisha wanahabari wapo. Na siku ya pili magazetini amejaa na kwenye luninga ndio usiseme. Sote twajua habari hazitangazwi bure bila ya mshiko wa maana. Hivi chopper ile yenye picha na mabango yake alikodisha kwa fedha gani. Na gharama zote hizo kwa ajili ya jimbo tu mmmmmhhhhhhhh. Escrow bhanaaa nani hakuramba
 
Kiukweli kbsa najua JF sio mahala pa habari nyepesinyepesi,ila uvumi ilikuepo ni kua wkti captain William slaa alipotaka kurusha Ndege,comms zote zilikatwa na Lugalo barracks kwa hyo hakueza kua na mawasiliano na watu wa mMlaka ya anga,,,kiukweli vlevle nmesikia kifo chake kilihusishwa na Siasa na nackia kwenye copter alibeba 10 bil alizopewa na team lowassa kwenda kuiangamiza ccm nyanda za juu kusini,,,,Huu ni uvumi niliosikia,,kuhusu ukweli siujui
Kama ni kweli 10b ,basi ni sahihi kifo kilimstahili yuda escariote.
 
Uzi wa zamani ila ngoja nitie neno kuntu.

Tanzania, kuanzia 2000s vilaza wengi walio kwenye mifumo hasa siasa uchwara mbuzi hawataki kukosolewa, kuonywa, kuonyeshwa upoyoyo wao.

Pamoja na hayo pia pana kundi lenye tamaa ya vyeo na ukubwa japo vichwani mwao ni Nazi koko. Hayo ndiyo yanayotugharimu kama Taifa.

Mfano, juzi alisifiwa maneno ya kitoto tu mtu mmoja nanl kilaza kabisa tena wa mwisho na elimu zake za kuungauunga na elimu za hapa na pale kufumba na kufumbua ameukwaa UNW kwenye wizara ya mawe.

Sasa, vilaza kama hao ndiyo matokeo ya yanatokea kama haya ya NEC na DED wa Kinondoni juzi waliyofanya hadi tumempoteza Binti Akwilina.

Ningeweza andika mengi ila naomba niishie hapo btw, Uzi wenyewe ni wa muda sasa.

My prayers: Get well soon boy , Hon.TA. Lisu

R.I.P Binti Akwilina A. B
Na wengine wote waliopotezwa na kukatishwa maisha yenu kama vile mshumaa uzimwavyo.
 
Waliomuua ni wanaccm wenzake kisa ukiranja mkuu. Sasa yako wapi mmebaki kuwaua wapinzani. Hata Nyerere kifo chake ni wale wale hakika mna laana.
Mbona wengine hatuna vyeo lakini tuna amani na maisha yanasonga mbele.
Nimetokea kuwachukia kutokana na mtendo yenu maovu.
 
Hili ni jambo ambalo halijawahi kuacha kunizunguka kichwani nikiwaza nini hasa kilitokea kwa kijana mwenzetu Deo Filikunjombe.

Huyu kijana pasipo watu kuangalia vyama vyao walimpenda na kumwona ni kijana ambaye alikuwa ni mzuri kwenye matendo sana kuliko kwenye maneno ya kinafiki kama wanasiasa wetu wengi waliopo sasa.

Mh Deo Filikunjombe alikuwa akiifanya siasa kwa matendo chanya katika Jimbo na Hatimaye Taifa. alisimamia alichoamini kwa matendo na imani kubwa. Na katika hili hakuangalia chama. aliangalia watu wake.

Ni wazi kuwa alionekana tishio kwa wanasiasa wengi vijana waliopo ndani ya chama chake.
Je ni kweli leo hii taumkumbuki tena Deo ? ni kweli amepita kama kivuli? hatujaweza kuhoji hasa mazingira ya kifo cake na kauli zilizowah kutolewa haraka baada tu ya kifo chake?

Watanzania tunawezaje kuwazungumzia watu wa hovyo hovyo walio kwenye system hivi sasa tukasahau vijana mahiri kama Deo? hakuwa na tamaa ya haraka kama waliyo nayo vijana wengi waliopo kwenye siasa hivi sasa ambao wamekuwa wakitudhalilisha sana kwa maamuzi na kauli zao za hovyo kiasi kwamba tunajuta kuwa na viongozi wa namna hiyo wenye nembo ya ujana.

Wakati mwingne tunawavumilia na kutetea ujinga na upuuzi wao kwa kisingizio cha chama lakini kiuhalisia ni matatizo katika Taifa hili.

Ni nani alihusika na kifo cha Deo? je kilikuwa cha kawaida au watu wametaka tuamini kuwa ni cha kawaida? kuna hadhithi nyingne zimekuwa zikisemwa lakini moja wapo ni kuwa kifo chake kinahusishwa na kijana mwenzie aliye ndani ya chama hasa baada ya kuona kuwa Deo anaonekana kuwa na nguvu na kupendwa na watanzania wengi kuliko huyo kijana ambaye uwezo wake ni mdogo isipokuwa amekuwa akibebwa.

Yamesemwa mengi lakini je ndo tuseme Deo amepita kama kivuli? hizi ni mbegu ambazo zilipaswa zipaliliwe na pia ziwekewe mbole vizuri kuikuza nchi yetu na hata zinapokufa zisiwe bure bali iwe ni nafasi nzuri ya kuzaa zaidi na zaidi. wamebaki vijana mafisadi, wanafiki,wenye kujijali wao zaidi, wenye kujipenda wao zaidi kuliko Taifa, wasio na uwezo mzuri kwa kuongoza na kunena maneno ya hekima.

Mimi na wewe tunaweza kujua kama tukiamua aliyesababisha kifo cha Mh Deo filikunjombe. tusinyamaze leo yeye kesho wewe..na unaponyamaza kimya kwa mwenzio mwishoni hata wewe hutapata wa kukupazia sauti .
 
Back
Top Bottom