Kwa kasi aliyoanza nayo Magufuli ni dhahiri chama kilichokuwa kinaelekea kuaminiwa na watanzania kinaendelea kukosa kick na sasa kimekuwa chama kinachoishi kwa matukio. Ndio maana kwa sasa wanamkomalia marehemu Mawazo ili aimarishe chama chao. Kwa hapa ilipofikia CHADEMA naona Maneno ya mzee Wassira yanaelekea kutimia.
Halafu inaonekana Ukawa wamepatwa na kigugumizi cha ghafla hadi wameshindwa kumpongeza Dr. Magufuli. Huu ukimya wao wa kinafiki ndio unazidi kuwamaliza kabisa. Yaani wanaporomoka kwa kasi mithili ya maporomoko ya mto Ruaha.ukitaka kubali ukikataa hulazimishwi ila hoja zote za ukawa Magufuli anacheza nazo sasa ukawa wakaita mkutano watasemanini?.kero zote. zinashughuliwa.
is a miracle, haijawahi tokea member wengi wa ukawa kubehave like this. hakuna tena upinzan kwan hawana Sera walitegemra udhaifu wa ccm watusue.
sasa waweke kalio watumbuliwe majibu.
don't shout,argue.
ukitaka kubali ukikataa hulazimishwi ila hoja zote za ukawa Magufuli anacheza nazo sasa ukawa wakaita mkutano watasemanini?.kero zote. zinashughuliwa.
is a miracle, haijawahi tokea member wengi wa ukawa kubehave like this. hakuna tena upinzan kwan hawana Sera walitegemra udhaifu wa ccm watusue.
sasa waweke kalio watumbuliwe majibu.
don't shout,argue.
Wapo busy na maitiHalafu inaonekana Ukawa wamepatwa na kigugumizi cha ghafla hadi wameshindwa kumpongeza Dr. Magufuli. Huu ukimya wao wa kinafiki ndio unazidi kuwamaliza kabisa. Yaani wanaporomoka kwa kasi mithili ya maporomoko ya mto Ruaha.