Mkuu, no offense lakini hii inahusianaje na aliyoyaandika Mapunda? Au una ushahidi naye ana huu mchezo wa kulawiti vitoto vya kiume? Akikubana ulete ushahidi utaweza? Au unatumia ile hekima ya kwamba samaki mmoja akioza....Huyu Mapunda bana. Wenzake wanaVilawiti vitoto vya kiume...... ohhhh sorry!!!!!
![]()
Huyu Mapunda bana. Wenzake wanaVilawiti vitoto vya kiume...... ohhhh sorry!!!!!
Huyu Mapunda bana. Wenzake wanaVilawiti vitoto vya kiume...... ohhhh sorry!!!!!
Huyu Mapunda bana. Wenzake wanaVilawiti vitoto vya kiume...... ohhhh sorry!!!!!
Ushauri wa kipumbavu huu! Hivi kuna yeyote anayelalamia hili kwa kufanya uchunguzi? Inamaana kama mtu anaonekana ni mpiganaji wa kweli aachwe kwa ajili ya kuogopa vijineno vya propaganda za kijinga kisa ni mtu wa kaskazini? Kama mtu alishinda kura za maoni aachwe tu kisa tu ana vinasaba vya kaskazini? Huu wote ni kipumbavu wa mtu asiyejua namna siasa inavyoendeshwa! Tujiulize kati ya wabunge wote wa Chadema kupitia viti maalum ni wangapi watatokea kanda ya kaskazini? Chama hakiwezi kufa kwa sababu tu wachumia tumbo wachache hawakusikilizwa! Majungu hayajengi zaidi ya kuchochea chuki za kijinga ndani ya jamii.
Anatropia ni mpiganaji wa kweli? Namuona alivoipigania CCM kwa kugombea jimbo ambalo walishakubaliana kuwa ni la Mtatiro.
Kwa niaba ya Padre Mapunda, pumbavu mwenyewe!
Mkuu, no offense lakini hii inahusianaje na aliyoyaandika Mapunda? Au una ushahidi naye ana huu mchezo wa kulawiti vitoto vya kiume? Akikubana ulete ushahidi utaweza? Au unatumia ile hekima ya kwamba samaki mmoja akioza....
ndio ujinga wao mkubwa wakitaka uwasifie tusubiri matusi!!
Chadema hawakubali kukosolewa!!!
sikonge..kimekupata nini mkuu!
haikupendezi hii
Pole pole mkuu. Wala huna haja ya kutumia nguvu nyingi sana. Tunaeleweshana tu. Naona kama vile ume-panick!Acha kunilisha maneno wewe. Huyo Padre ndiyo namsikia. Sijasma popote yeye kalawiti ila WENZAKE wanalawiti.
Hizi shule mnasomea wapi? Halafu kumbe unajua kuwa ni kweli kuna Samaki wameoza na bado unajifanya hukuelewa.
WENZAKE maana yake yeye hahusiki. Hapa inatumika kuwa HANA HATIA hadi ithibitishwe vinginevyo.
Soma hapa: Catholic Church sex abuse scandals around the world - BBC News
Ningefurahi sana, kupata mgawanyo wa hawa wabunge wa viti maalumu. CDM wamesemwa sana kuhusu ukanda na ukabila katika mgawanyo huu, je ni wabunge wangapi wanatokea kanda ya kaskazini? Kilimanjaro? Arusha?
Tunataka kujiridhisha kuwa huu ukanda unaosemwa ni kweli au ni platform ya kukichafua chama...
Kama Devita Minja...leteni takwimu basi wakuu.Na anaweza akatokea kwingine ila akawa na unasaba na kanda ya kaskazini, ndo maana watu wanalalamika.
Pole pole mkuu. Wala huna haja ya kutumia nguvu nyingi sana. Tunaeleweshana tu. Naona kama vile ume-panick!
Anyway, nilichokuwa nasema ni wewe kukimbilia mashambulizi ya ki-ad hominem na kupuuzia kabisa mada ya mhusika. Ushoga wa hao mapadri wengine unamhusuje Padri Mapunda? Unaweza kuelezea correlation iliyopo hapo? Pia mimi siungi mkono hiyo methali ya samaki mmoja akioza kwani ni too general. Ndiyo maana napinga sana hata watu wanaojaribu ku-generalize kwamba eti Waislamu ni magaidi kwa vile tu magaidi wachache wanatumia Uislamu kufanyia ugaidi wao. Hata methali na misemo yetu ya hekima inabidi ibadilike na iendane na mazingira. Wewe kurejelea mambo ya ushoga kwa vile tu mleta mada ni padri haikuwa sahihi unless kama una ushahidi. Na siku hizi kuna sheria ya mtandao ukikomaliwa sijui huo ushahidi utautoa wapi. Mambo mengine ni common sense tu na wala siyo vibaya kukiri kuwa ulipotoka kidogo kwa kujaribu kumwingiza huyu padri katika mambo ya ushoga eti kwa vile tu mapadri wachache wamethibitika kujihusisha na ushoga na ulawiti.
Najua si ajabu utarudi na mapovu kibao lakini huu ndo ukweli mkuu. Ubarikiwe!