Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Kataa ndoa, ndoa ni utapeliπΉπΉπΉ kalinde ndoa utaachika uduguu..!!
Kataa ndoa, ndoa ni utapeliπΉπΉπΉ kalinde ndoa utaachika uduguu..!!
Marry anavyo waelewa wazee wa kujimwafai sasa..!! πΉπΉπΉYaan hatariii tupuu, wanataka Da marry apagawe tena hapaa.
ππππππ
Inasikitisha sanaπΉπΉπΉ
πππππMtu mwenye matatizo ya akili anawezaje kuwa na mahusiano?
Hatutaki πΉMkalale ss hv usiku
Mm nilishanyanyua mikono juu ππΉπΉπΉ We mpe matumaini hewa mwenzio
Dah ππππππ
Ila wee, usichukulie serious, nliona kwenye uzi wako kulee.
Ndo anakutana na michokano iko hoe hae..Marry anavyo waelewa wazee wa kujimwafai sasa..!! πΉπΉπΉ
Omba bas msamaha jamani.Dah π
π₯πHapana, nilimfata hadi pm Ila akanitolea nje
πΉπΉπΉ uende wapi na marry bado hajawataja!!Ila huu uzi, umekata nyegee zotee, nilitaka niende nikawajibikie mahusiano yangu.
Ila ghaflaa, nimeghairiii, na nyege zimeyeyukaa, umbea na udaku utaniua wallah.
ππππππ
Mzee wa assist na kuna assist moja ntakushirikishaNipe hiyo kazi, mbna utakua ba tamu wa uduguu.
πππππ
Hapo sasa!! Sitokiii hapa, hadi makapuku wa JF watajwe rasmi.πΉπΉπΉ uende wapi na marry bado hajawataja!!
Aisee Jesus is watching you my diaπ₯π
πΉπΉπΉ Sa unapendaje mtu humjui Mbaga km mwanaume mwenzio je?Kweli yn, kipindi kile aisee uliniweza mno π
Haina kwereee!! Naiweza na naimuduu.Mzee wa assist na kuna assist moja ntakushirikisha
Zikikupanda tena uniite maana maisha ni kusaidiana rafikiIla huu uzi, umekata nyegee zotee, nilitaka niende nikawajibikie mahusiano yangu.
Ila ghaflaa, nimeghairiii, na nyege zimeyeyukaa, umbea na udaku utaniua wallah.
ππππππ
Umeanzaaa fujo uduguu?! Wee hutaki wote tuolewe huko ugweno?πΉπΉπΉ Sa unapendaje mtu humjui Mbaga km mwanaume mwenzio je?
πΉπΉπΉπΉπππππ wallah nakuambiaaa
Jenereta bovu la kingmax, ππππ
Nakuaminia maana daily nikiona comment yake naishia kudisaHaina kwereee!! Naiweza na naimuduu.
Pacome niko hapaa!! πππππ