Shida kweli watoto wanachezea simu za baba zao si mchezoShule zinafunguliwa lini???
Je vipi kwa wasiojali wala kuthamini yote hayo,ipi nafasi yao?Mwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits)
Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu, Hereni, Kudeka na Kuwa Soft
haya pia ni mambo ya msingi sana usipo focus na haya utakua chiziDah! Taifa linaangamia kwa kukosa vijana wenye focus na mambo ya msingi.
Hehehe sasa sisi wenye mabass itakuaje beb😆 na sivaagi hereni lol🤪
kadogo2Mwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits)
Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu, Hereni, Kudeka na Kuwa Soft
Kuna nyabumbu itabishaMwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits)
Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu, Hereni, Kudeka na Kuwa Soft