Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,195
- 10,821
Bila shaka we ni bongeUmetaja kudeka nimevuta picha ya mwanamke mnene akideka anavyokuwa 🤦♀️
Bila shaka we ni bongeUmetaja kudeka nimevuta picha ya mwanamke mnene akideka anavyokuwa 🤦♀️
🤷♀️Bila shaka we ni bonge
Utaniangalia na yale macho yako tu Mimi hoiHehehe sasa sisi wenye mabass itakuaje beb😆 na sivaagi hereni lol🤪
Aww jamn🥰 😌Utaniangalia na yale macho yako tu Mimi hoi
Macho mdondokeo😋Aww jamn🥰 😌
Kama nimekula kungu eeh😃Macho mdondokeo😋
Sipati picha ndio Ile moment ,Hilo jicho litakavyolegea hatariKama nimekula kungu eeh😃
Haya ni magamba ya nje tu. Femiminity ni tabia. Tabia kama upole, huruma, unyenyekevu, utii na ile karama ya kuwa mama "nurturing".Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu, Hereni, Kudeka na Kuwa Soft
Yes bro me ndo naona hiko ndo kitu kinachonivuta kwa mwanamkeHaya ni magamba ya nje tu. Femiminity ni tabia. Tabia kama upole, huruma, unyenyekevu, utii na ile karama ya kuwa mama "nurturing".
Linatokaga kama nakata roho😁Sipati picha ndio Ile moment ,Hilo jicho litakavyolegea hatari
😅Bas sawaLinatokaga kama nakata roho😁
Umetaja kudeka nimevuta picha ya mwanamke mnene akideka anavyokuwa 🤦♀️
Huyo anawaza hela tudipresheni ni kweli yasemwayo?
We ni ke au me?Mwanaume Anapomfuata Mwanamke Anahitaji Vitu Viwili, Kimojawapo ni Ukikekike wa Mwanamke (Feminity Traits)
Na huo ukikekike ni Pamoja na Kusuka, Kupaka Rangi Kucha, Kutoboa Masikio, Kuvaa Mkufu, Hereni, Kudeka na Kuwa Soft
Cha pili ni nini?dipresheni ni kweli yasemwayo?