Mwalimu wangu mmoja wa sekondari Kipindi hicho alikuwa anatuambia kuwa Kipindi mungu anaumba watu basi Sisi tulikuwa wa mwisho mwisho kabisa sasa maji ya baraka yalikuwa yameisha basi mungu akawa anarusha rusha randomly vitone tone vya maji ya baraka Kwa Waafrika ili Kila mtu apate, basi tukapata vitone tone Tu wakati wenzetu wa mwanzo walimwagiwa maji mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.