Ukweli usemwe: kuishi nchini Rwanda, yahitaji moyo

Ukweli usemwe: kuishi nchini Rwanda, yahitaji moyo

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Kama kichwa cha habari kilivyo, ukweli ndo huo.

Tofauti na nchi jirani(kasoro Burundi,ambayo na yenyewe inapumulia mashine), Rwanda, maisha ni magumu,asikwambie mtu.
Hali hii,imepelekea watu hasa vijana wa umri mdogo na watu wazima,kwenye 40s kujihusisha na uhalifu;namaanisha ukabaji na wizi wa majumbani,kwa kutoboa nyumba.

Asilimia kubwa,isiyopungua 70, mtu mwenye flat TV, hiyo si yako. Pamoja na kwamba vyombo vya usalama vikipewa taarifa mapema, itapatikana tuu! Lakini, washikaji wameshatoboa nyumba na kuichukua. Na mwizi, haguswi. Akipigwa na kuumizwa, waliohusika hupata kezi ya kujeruhi kwa kukusudia. Hivyo, kupelekea kesi za wizi kuwa nyingi.

Mara nyingi, hutokana na ukosefu wa ajira.
 
Kama kichwa cha habari kilivyo, ukweli ndo huo.

Tofauti na nchi jirani(kasoro Burundi,ambayo na yenyewe inapumulia mashine), Rwanda, maisha ni magumu,asikwambie mtu.
Hali hii,imepelekea watu hasa vijana wa umri mdogo na watu wazima,kwenye 40s kujihusisha na uhalifu;namaanisha ukabaji na wizi wa majumbani,kwa kutoboa nyumba.

Asilimia kubwa,isiyopungua 70, mtu mwenye flat TV, hiyo si yako. Pamoja na kwamba vyombo vya usalama vikipewa taarifa mapema, itapatikana tuu! Lakini, washikaji wameshatoboa nyumba na kuichukua. Na mwizi, haguswi. Akipigwa na kuumizwa, waliohusika hupata kezi ya kujeruhi kwa kukusudia. Hivyo, kupelekea kesi za wizi kuwa nyingi.

Mara nyingi, hutokana na ukosefu wa ajira.

Hayo ni matatizo ambayo yapo kwenye nchi nyingi za Africa, yametofautiana tu aina na viwango toka nchi moja hadi nyingine.


Tatizo ni kwamba tuna viongozi ambao kila siku hupambanana kwa ajili ya maisha yao na familia zao na sio kutafuta maisha bora kwa raia wote.


Hata ambao wanapambana kuingia madarakani hufanya hivyo ili kutatua matatizo yao binafsi.

Hakuna upendo ubinafsi umejaa sana.
 
Leo umeamua kuitii dhamiri yako(sauti ya ndani),siku zote umekua ni
 
Back
Top Bottom