Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu Huu ni Ukweli Unaoumiza uliosemwa na Rais Wa Zanzibar Dr. Mwinyi Kuhusu Watanganyika Kumiliki Ardhi.
Kinachoonekana Ni Kwamba, Ardhi ya Wazazibar ni Kwa Ajili ya Wazanzibar Tu.
Ila Ardhi Iliyoko Tanganyika Kwa maana ya Tanzania Bara ni Ardhi ya Watu Wote Kwa maana ya Wazanzibar wakija Bara kuomba ardhi hawapewi masharti kama Wanayopewa Watanganyika wakitaka Kumiliki Ardhi Zanzibar.
Tuishi Kwa Kufikiri Sana.
View attachment 2202002
Kinachoonekana Ni Kwamba, Ardhi ya Wazazibar ni Kwa Ajili ya Wazanzibar Tu.
Ila Ardhi Iliyoko Tanganyika Kwa maana ya Tanzania Bara ni Ardhi ya Watu Wote Kwa maana ya Wazanzibar wakija Bara kuomba ardhi hawapewi masharti kama Wanayopewa Watanganyika wakitaka Kumiliki Ardhi Zanzibar.
Tuishi Kwa Kufikiri Sana.
View attachment 2202002