Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
Huenda ilikuwa mbinu ya kumshawishi auridhie huu muunganoAt some point Karume alikuwa mjanja kuliko mzanaki.
Huenda ilikuwa mbinu ya kumshawishi auridhie huu muunganoAt some point Karume alikuwa mjanja kuliko mzanaki.
Yule baharia aliwahi kiwa kuli bandarini..Karume alisoma Chuo gani mbona kama kamzidi Mwl Nyerere pakubwa.
Ina maana ukioshaoa Mzanzibar unarubusiwa kununua ardhi?Oa Mzanzibari, maneno kwisha!
Wanaoukataa ni wapuuzi na ohehae wasiyo na mbele wala nyuma but siyo wale wanaojielewa.Fanya kura ya maoni uone Kama wanautaka muungano
Karume alikuwa baharia(SeaMan) ameizunguka dunia yote kapata elimu dunia(Exposure) ya kutosha kutokana na ubaharia wake.Karume alisoma Chuo gani mbona kama kamzidi Mwl Nyerere pakubwa.
Aiseee.......nimesoma hii post. Nimesikitika. Kumbe wabara tupo tupo tu?Tanganyika haipo, ilishakufa...Haki ya Watanganyika huwezi ipata....
Kuna Nchi ya Zanzibar inayoishi na Haki zake...
Halafu kuna Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo nayo haiwezi kutetea Haki ya Watanganyika kwa kuwa Tanganyika HAIPO.
Tulambe Asali tu....
Nani amekuambia Kenya/Ugada/Rwanda/Burundi kuna ardhi ya iliyo wazi. Sisi tulikataa hili la ardhi kwa sababu TZ ni nchi pekee kwenye EAC yenye ardhi wazi/isiyomilikiwa. Lbada sasa hivi ambapo Juba na Congo (DRC) ambao kuna ardhi wazi. Lakini kufikiria kupata ardhi kwa sasa huko Congo na Juba zitakuwa hazikutoshi.Sasa watu wanalalamika kitu gani waswahili wanasema mkuki kwa nguruwe....... mbona sisi jumuia ya EA tumekataa wao kuja kununua ardhi kwetu japo wenzetu wameturusu lakini sisi kununua kwao, Na Zanzibar ana haki ya kufanya maamuzi kwa maslahi ya kisiwa chao maana wakiacha hivyo unaweza siku ukakuta Zanzibar imejaa wachaga huko ikaitwa small Moshi. Sababu zilezile tulizokataa kwa wenzetu EA sisi leo zinatukera. Kazi iendelee tu
Hao wapuuzi na hohehahe ni wazanzibar piaWanaoukataa ni wapuuzi na ohehae wasiyo na mbele wala nyuma but siyo wale wanaojielewa.
Hiyo ni kero ya muungano. Inafaa ijadiliwe na kupatikana jawabu sahihi. Taifa moja haliwezi kuwa na ubaguzi kati ya raia wake.Wakuu Huu ni Ukweli Unaoumiza uliosemwa na Rais Wa Zanzibar Dr. Mwinyi Kuhusu Watanganyika Kumiliki Ardhi.
Kinachoonekana Ni Kwamba, Ardhi ya Wazazibar ni Kwa Ajili ya Wazanzibar Tu.
Ila Ardhi Iliyoko Tanganyika Kwa maana ya Tanzania Bara ni Ardhi ya Watu Wote Kwa maana ya Wazanzibar wakija Bara kuomba ardhi hawapewi masharti kama Wanayopewa Watanganyika wakitaka Kumiliki Ardhi Zanzibar.
Tuishi Kwa Kufikiri Sana.
View attachment 2202002
Lakini inashangaza kidogo. Kwani mtu kama huyo anayetoa tamko hilo haoni lilivyo bovu? Ni aibu kabisa kwa kiongozi mkuu kusimamam jukwaani na kutamka jambo unaloona wazi kuwa linatoa ubaguzi kati ya jamii inayotakiwa kuwa moja, bila kubaguana.Mtoa Tamko ni Mzanzibar anaemiliki ardhi bara. Watanganyika sijui nani katuloga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umesikia SMZ inazuia mbara kuoa ama kuolewa na Mzanzibari?Hiyo ni kero ya muungano. Inafaa ijadiliwe na kupatikana jawabu sahihi. Taifa moja haliwezi kuwa na ubaguzi kati ya raia wake.
Ngoja nikuulize swali, maana sijui jibu lake. Je nikitaka kwenda kuoa Zanzibar nitaruhusiwa? Mimi ni mTanzania toka Bara.
Kufuta ujinga ni pamoja na kutafuta vyanzo/chanzo cha mambo YALIYOZOELEKA.....Wakuu Huu ni Ukweli Unaoumiza uliosemwa na Rais Wa Zanzibar Dr. Mwinyi Kuhusu Watanganyika Kumiliki Ardhi.
Kinachoonekana Ni Kwamba, Ardhi ya Wazazibar ni Kwa Ajili ya Wazanzibar Tu.
Ila Ardhi Iliyoko Tanganyika Kwa maana ya Tanzania Bara ni Ardhi ya Watu Wote Kwa maana ya Wazanzibar wakija Bara kuomba ardhi hawapewi masharti kama Wanayopewa Watanganyika wakitaka Kumiliki Ardhi Zanzibar.
Tuishi Kwa Kufikiri Sana.
View attachment 2202002
Husuda zitakupa magonjwa wewe mzee 🤣🤣Wazanzibari wanapenda sana Muungano wa changu changu, chako changu.
Vijamaa ni vinyonyaji mpaka basi.
Ukivikuta vimetuna 🙇 kwenye bunge letu la Tanganyika kule Dodoma, unaweza ukadhani kuna jambo la msingi vinafanya!
Kumbe vinahemea tu kodi za Watanganyika.
Mkuu Samcezar kwa hekima zako wewe si wa kuwaita binadamu wenzako NGURUWE....Namna pekee ya kuweka heshima ya muungano ni kuwapa vitambulisho maalumu ya ukazi. Na ardhi wasimilikishwe bali wakodishwe. Na wahesabiwe kabisa.
Wakileta fyoko fyoko tunawavusha bahari waende kwenye hako kakifusi wanaita nchi.
Wazaliane na wingi wao kule hakuwezi awatosha nakwambia lazima wataomba poo na kuona umuhimu wa muungano nguruwe hawa.
Maana wanatuchezea sharubu kwasababu hatuwanyooshei maelezo tunaenda nao kistaarabu sana.