passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,779
- 13,006
- Thread starter
- #21
Umeona namna utawala wako ulivyolaaniwa?mnazomewa kila mahali.just ignore and avoid nonsense narratives like that plz, plz gentleman 🐒
Umeona namna utawala wako ulivyolaaniwa?mnazomewa kila mahali.just ignore and avoid nonsense narratives like that plz, plz gentleman 🐒
Gentleman,Umeona namna utawala wako ulivyolaaniwa?mnazomewa kila mahali.
Tatizo mmekataliwa kila mahali kwa sababu ya laana.Gentleman,
kwani Simba Football Club kuwazomea mabingwa wa soka Tanzania mara5 mfululizo, Dar Es Salaam Young Africans hua kuna athari zozote dhidi ya mabingwa hao?🐒
Sasa kama mmekataliwa na wananchi mtawaongoza kina nani?wananchi hawaitambui hii serikali haramu.Gentleman,
kwani Simba Football Club kuwazomea mabingwa wa soka Tanzania mara5 mfululizo, Dar Es Salaam Young Africans hua kuna athari zozote dhidi ya mabingwa hao?🐒
majuto na athari za kususia uchaguzi zitawatesa vizuri sana gentleman, halafu ndio kwanza hata mwaka moja haujaisha 🤣Tatizo mmekataliwa kila mahali kwa sababu ya laana.
Aliyowakataa sio chadema tu ni watanzania wote isipokuwa nyie machawa.wale hawakuwa chadema wale ni watu wa kawaida tena wengine wafanyakazi wa serikali.majuto na athari za kususia uchaguzi zitawatesa vizuri sana gentleman, halafu ndio kwanza hata mwaka moja haujaisha 🤣
unywe visungura vyako huko kutuliza athari na majuto ya kususia uchaguzi, halafu uje kumbwelambwela jukwaani, eti ng'we ng'we mekataliwa,Sasa kama mmekataliwa na wananchi mtawaongoza kina nani?wananchi hawaitambui hii serikali haramu.
hata kama ni familia na ukoo mzima,Aliyowakataa sio chadema tu ni watanzania wote isipokuwa nyie machawa.wale hawakuwa chadema wale ni watu wa kawaida tena wengine wafanyakazi wa serikali.
Mimi mwenyewe sio chadema ni mtanzania mmoja kati ya watanzania zaidi ya m70 waliowakataa wauaji na serikali yao.unywe visungura vyako huko kutuliza athari na majuto ya kususia uchaguzi, halafu uje kumbwelambwela jukwaani, eti ng'we ng'we mekataliwa,
unadhani kuna utakae babaika na makasiriko yako 🤣
Wananchi mnaowatumikia ndo hao waliowakataa kwa sababu ya laana mliyonayo.mmekataliwa na waTanzania wote.hata kama ni familia na ukoo mzima,
makasiriko yenu is just hot air kwa walio kazini kutumikia wananchi 🐒
uwe chama chochote cha siasa nchini gentleman,Mimi mwenyewe sio chadema ni mtanzania mmoja kati ya watanzania zaidi ya m70 waliowakataa wauaji na serikali yao.
hizo porojo mdanganyane na kupotoshana wenyewe kama wafuata mkumbo na itapendeza zaidi gentleman 🐒Wananchi mnaowatumikia ndo hao waliowakataa kwa sababu ya laana mliyonayo.mmekataliwa na waTanzania wote.
Evidence ya kukataliwa.viongozi wa serikali kuzomea,watu kufurahia kiongozi wa CCM akifa,maandamano Nk.mmekataliwa kila mahali duniani na mbinguni ni suala la muda kuanguka.hizo porojo mdanganyane na kupotoshana wenyewe kama wafuata mkumbo na itapendeza zaidi gentleman 🐒
kwani kwa miaka mitano mfululizo nyie Simba Football Club si mmekua mkiwazomea Dar Es Salaam Young Africans, kwani kuzomea kwenu kume badili nini?Evidence ya kukataliwa.viongozi wa serikali kuzomea,watu kufurahia kiongozi wa CCM akifa,maandamano Nk.mmekataliwa kila mahali duniani na mbinguni ni suala la muda kuanguka.