Ukweli ni kwamba Magufuli alikataa kata kata boti za Azam kwenda ziwa Victoria

Kwa mnaokumbuka hili sakata lilifika mbali na prof. Mwandosya mtaalam akaeleza hali halisi hakuna shida yoyote ya kutumia meli hiyo kupelekwa ziwa Victoria kupitia kenya

Swali langu; Mgombea urais mnaweza kutueleza sababu za kuzuia hii meli ya Bakheresa kufika ziwa Victoria leo hii wananchi wanateseka na mbaya mnaendelea kuwadanganya wananchi Bukoba - Mwanza mnaleta meli .Hiili meli gani linaahaidiwa toka Mkapaa,akaja mwenzie na sasa wewe unakuja na nyimbo hiyo hiyo.
.
Hapana wananchi wa Kanda ya Ziwa semeni no kwa CCM.

Pigieni kura Lowassa tulete mabadiliko ya nchi hii,nchi bila mabadiliko ahadi zote mnazopewa watarudi 2020 kuomba tena kura kwa ahadi hizo hizo

Sema no CCM

Vote for Lowassa vote for UKAWA

M4C daima.QUOTES,ALiyezuia ile meli kipindi kile ni huyu mh.magufuli akiwa waziri wa miundombinu ,kimsingi hakuzingatia shida ya usafiri waliyokuwa nayo wanajamii wa kanda ya ziwa ,hivi sasa anatoa ahadi ya meli yeye ataipitisha wapi ihali alishazuia ile ya bakheresa isipelekwa ikafanye kazi ,wananchi wanamuelewa
 
The general election scheduled to take place in Tanzania on Oct. 25 is driving a wedge into political life in next-door Kenya. President Uhuru Kenyatta and the opposition leader Raila Odinga have found another reason to battle one another as each backs a different candidate. Kenyatta support the Tanzanian challenger, Edward Lowassa of theUkawa party, while Odinga would like to see the candidate of the ruling CCM party, John Magufuli, carry the day.

Odinga, who is a long-standing friend of Magufuli, hopes that if he wins he will make life hard for Kenyatta within the East African Community (EAC).

Odinga is hoping his popularity in the Kuria community in Kenya's south-west will influence the kuria electorate in northern Tanzania to vote for Magufuli.

For his part, Kenyatta is trying to get businessmen to contribute financially to Lowassa's electoral campaign. If he becomes president Kenya's business community expects Tanzania to become more favorable to Kenya. Kenyatta has asked a number of political experts like Moses Kuria, Nancy Gitau and Joseph Maathai to lend a hand to Lowassa.
 
Amekosea tu jina lakini I think he has a point to discuss. Hata mimi amenikumbusha hili la Magufuli kuzuia parts za meli zisipitishwe barabarani na walitofautiana misimamo mawaziri wa Ujenzi (Magufuli) na wa Uchukuzi (Mwandosya)

Kwa hilo Magufuli alistahili kupewa sifa.
Meli zile kwa Mwandosya alizifanya mradi ili kuwaonyesha kanda ya ziwa kwamba sasa wana usafiri safi. akazisubiri dodoma zipite zikienda Mwanza. Magufuli akasema NO! Upana na urefu ulikuwa unaleta matatizo barabarani. Sharti walilopewa ni kuzivunja ili wakifika Mwanza ziunganishwe tena. Hao waletaji wakashindwa na nadhani walistuka maana zilikuwa ni meli za fibreglass ambazo hull yake usingeweza kuivunja na kuiunga kiurahisi kama ile ya chuma.

Naamini kwa Kenya pia walilambwa rushwa na kuruhusiwa lakini kufika Mwanza zikawa useless.
 
by the way na yule waziri wakenya aliye ruhusu meli zipite bila kubomolewa alifukuzwa kwa kashfa hiyo
 
Bakhresa alitaka kuweka meli victoria ili ifanye kazi kati ya mwanza na bkb lkn magufuli akiwa waziri wa ujenzi alikataa kata kata meli hiyo isafirishwe kwa njia ya barabara akidai itaharibu barabara

Siyo Bakhresa paka wewe. Ni Azim Dewji. Tatizo la habari za kusimuliwa
 
Na aliyezuia meli sizipelekwe ni huyu huyu mapadroc akiwa na che mkapa wake duuh
 
Magufuli aliweka huu msimamo kama waziri alie kua akitimiza wajibu wake na hakuna alie mwingilia na wala hakutumbuliwa na raisi wake.
Sasa nimeshindwa kuelewa Kwanini amtumbue waziri wake alie kua akitimiza wajibu wake.
Ina maana amesahau hili!?!?
 
Faili tamu sana hili wenye upeo waliona mbali ndio hizo stage manage tunazo ziona sasa bandarini mazingaombwe hahaaa chama chochote au kiongozi asiye sikiliza sauti za wananchi hatufai by mwl. Nyerere [HASHTAG]#2020msinipangie[/HASHTAG] wa kumchagua#
 
Mbona Mwanza hakuna boti za AZAM? Hii habari unauhakika nayo mkuu?
zilikuwepo za mohd dewji, alikuwa nazo 2 nadhani zilikuwa zinaitwa kipepeo, badala ya masaa 4 kwenda ukerewe kutoka kwanza ilikuwa ni saa 1 na kwenda bukoba ilikuwa inatumia masaa 4, zipo pale mwanza south kama makumbusho, cha ajabu nyehunge linachukua masaa ma4, wakati ni umbali mfupi, hawajahi kufikiria kama watapelekewa meli
 
Back
Top Bottom