chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Sio jambo la kushangaza ila ni ukweli mtupu baada ya kuwa na zunguka kwenye utafiti wa kujifunza.
Tanzania tuna madini kama kweli tunaweza kufahamu jinsi ya kuyachenjua basi tungekuwa mbali.
Kwanini?
Ukosefu wa elimu kuhusu jinsi ya kupata madini kama gold ndio unafanya kutofahamu mpaka mtaalamu maalumu kusema hapa kuna madini.
Visa vingi mfano kanda ya ziwa unaweza kushangaa panapo gundulika ni sehemu ya makazi, vijiji au shamba la mtu na watu kuvamia kwa ajili ya kuchimba.
Ukamataji wa gold ni utaalamu wa hali ya juu na hupo kikemia sana
Nimechukua sample nyingi kujua kweli gold hipo na kila unapokwenda uwezi kukosa asilimia za pp au.
Sitangazi biashara wala sio mtu wa madini lakini ukiona mwangaza una waangaza na wenzako.
Onyo
Usijiingize kwenye biashara hii kama unasikia tu, utafirisika kila kitu
Tanzania tuna madini kama kweli tunaweza kufahamu jinsi ya kuyachenjua basi tungekuwa mbali.
Kwanini?
Ukosefu wa elimu kuhusu jinsi ya kupata madini kama gold ndio unafanya kutofahamu mpaka mtaalamu maalumu kusema hapa kuna madini.
Visa vingi mfano kanda ya ziwa unaweza kushangaa panapo gundulika ni sehemu ya makazi, vijiji au shamba la mtu na watu kuvamia kwa ajili ya kuchimba.
Ukamataji wa gold ni utaalamu wa hali ya juu na hupo kikemia sana
Nimechukua sample nyingi kujua kweli gold hipo na kila unapokwenda uwezi kukosa asilimia za pp au.
Sitangazi biashara wala sio mtu wa madini lakini ukiona mwangaza una waangaza na wenzako.
Onyo
Usijiingize kwenye biashara hii kama unasikia tu, utafirisika kila kitu