Ndio maana Rais Mstaafu,Dr.Jakaya Mrisho Kikwete aliwahi kusema "Akili za kuambiwa changanya na zako".Asemaye hayo ni Rais ambaye ni mtoto wa Rais wa Zamani
waweza kuta anampango wa kumrithisha mtoto wake urais.Ndio maana Rais Mstaafu,Dr.Jakaya Mrisho Kikwete aliwahi kusema "Akili za kuambiwa changanya na zako".
Ndo hivyo Mkuu,Kale ni ka ukoo ka kiutawala.waweza kuta anampango wa kumrithisha mtoto wake urais.
lakini hatoweza kurithisha watoto wake wote.Ndo hivyo Mkuu,Kale ni ka ukoo ka kiutawala.
Sawa lkn,watakuwa kwenye nyadhifa za juu serikalini.lakini hatoweza kurithisha watoto wake wote.
na watakuwa wameajiriwa sasa, contrary na anachosema.Sawa lkn,watakuwa kwenye nyadhifa za juu serikalini.
Eee, Yaani usimwamini Binadamu hata kidogo.na watakuwa wameajiriwa sasa, contrary na anachosema.
Umeilewa lakini. Mfano, Tupo wengi ambao baba ni mwajiriwa mama ni wa nyumbani tu. Ikitokea ishu yoyote kazini au kifo kwa baba, maisha yatakuwa je. Ndio maana tunatakiwa tujiongeze baada ya Masaa ya kazi.Motivational speaker..sio kila mtu anaweza kufanya biashara tusipotoshane! Kuna watu wao kuajiriwa ndio wanachokiweza.
Nimekusoma kaka..uko sahihi.Umeilewa lakini. Mfano, Tupo wengi ambao baba ni mwajiriwa mama ni wa nyumbani tu. Ikitokea ishu yoyote kazini au kifo kwa baba, maisha yatakuwa je. Ndio maana tunatakiwa tujiongeze baada ya Masaa ya kazi.
Wapo wenye bodaboda, daladala, maduka, mashamba na ufugaji nk.