Ukweli mchungu

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,452
99,075
Kwa waajiliwa wote
IMG-20210217-WA0004.jpg
 
Motivational speaker..sio kila mtu anaweza kufanya biashara tusipotoshane! Kuna watu wao kuajiriwa ndio wanachokiweza.
 
Motivational speaker..sio kila mtu anaweza kufanya biashara tusipotoshane! Kuna watu wao kuajiriwa ndio wanachokiweza.
Umeilewa lakini. Mfano, Tupo wengi ambao baba ni mwajiriwa mama ni wa nyumbani tu. Ikitokea ishu yoyote kazini au kifo kwa baba, maisha yatakuwa je. Ndio maana tunatakiwa tujiongeze baada ya Masaa ya kazi.
Wapo wenye bodaboda, daladala, maduka, mashamba na ufugaji nk.
 
Umeilewa lakini. Mfano, Tupo wengi ambao baba ni mwajiriwa mama ni wa nyumbani tu. Ikitokea ishu yoyote kazini au kifo kwa baba, maisha yatakuwa je. Ndio maana tunatakiwa tujiongeze baada ya Masaa ya kazi.
Wapo wenye bodaboda, daladala, maduka, mashamba na ufugaji nk.
Nimekusoma kaka..uko sahihi.
 
Back
Top Bottom