Ukweli mchungu: Ukishamuoa mpe amri, akibisha piga, mbinu hii ilidumisha ndoa za mababu zetu

gbefa

JF-Expert Member
Jun 1, 2016
3,801
15,798
UKWELI Mchungu..Ukishamuoa Mpe Amri, Akibisha Piga... Mbinu Hii Ilidumisha Ndoa za Mababu Zetu...!!!

Wasaalam wakuu

Kumekuwa na mijadala isiyokwisha kwamba: kwanini ndoa za sasa hazidumu? Jibu ni rahisi tu.."wanaumme tumeacha kutembeza kichapo kwa wake zenu na mmeanza kusikiliza ushauri wao".

Chanzo cha dhambi ya asili ya mwanadamu ni ushauri wa mwanamke. Adam alishauriwa na Eva wale tunda ambalo mungu alikataza. Adam alipokubali akakitumbukiza kizazi chaka chote ktk dhambi.

Usikubali kushauriwa na mwanamke ewe mwanaume utaangamia. Hata maandiko yanamuamuru mwanaume kuishi na hawa viumbe kwa akili sana. Maana yake tumia akili yako kuishi naye na wala usitegemee ushauri wake.

Mdhibiti mkeo umfanye mtiifu na msikivu kwako na kamwe usiruhusu masuala ya usawa wa kijinsia ndani ya nyumba yako.
Ndiyo maana imeandikwa mwanamke na AMTII mumewe. Kutii ni kupokea maagizo bila kuhoji. Kama vile jeshini. Sasa unapoanza kushauriana na mkeo lazima ndoa ikushinde. Maana umeenda kinyume na maagizo ya muumba.

Wazee wetu waliyafanya haya na wake zao walipojaribu kupingana nao walipata vibano vya haja toka kwa mume, jamii na ndugu wa mke. Kila mtu alimuonya mwanamke mkaidi kwa mumewe. Shetani taratibu anajipenyeza eti siku hizi tunaita maonyo haya ni unyanyasaji. Mke anarekebishwa kwa mkong'oto kama mtoto.

Si mnakumbuka usemi "mchelea mwana kulia hulia yeye ".
Sasa nawaonya enyi wanaume "mchelea mke vipigo hupigwa yeye ".

Nyongeza:
Ndiyo sababu ndugu wakisikia mtoto wao wa kiume amepigwa limbwata (amefanywa mtii kwa mkewe) huja juu. Kwa kuwa ni kinyume cha maagizo toka kwa baba.
 
UKWELI Mchungu..Ukishamuoa Mpe Amri, Akibisha Piga... Mbinu Hii Ilidumisha Ndoa za Mababu Zetu...!!!

Wasaalam wakuu

Kumekuwa na mijadala isiyokwisha kwamba: kwanini ndoa za sasa hazidumu? Jibu ni rahisi tu.."wanaumme tumeacha kutembeza kichapo kwa wake zenu na mmeanza kusikiliza ushauri wao".

Chanzo cha dhambi ya asili ya mwanadamu ni ushauri wa mwanamke. Adam alishauriwa na Eva wale tunda ambalo mungu alikataza. Adam alipokubali akakitumbukiza kizazi chaka chote ktk dhambi.

Usikubali kushauriwa na mwanamke ewe mwanaume utaangamia. Hata maandiko yanamuamuru mwanaume kuishi na hawa viumbe kwa akili sana. Maana yake tumia akili yako kuishi naye na wala usitegemee ushauri wake.

Mdhibiti mkeo umfanye mtiifu na msikivu kwako na kamwe usiruhusu masuala ya usawa wa kijinsia ndani ya nyumba yako.
Ndiyo maana imeandikwa mwanamke na AMTII mumewe. Kutii ni kupokea maagizo bila kuhoji. Kama vile jeshini. Sasa unapoanza kushauriana na mkeo lazima ndoa ikushinde. Maana umeenda kinyume na maagizo ya muumba.

Wazee wetu waliyafanya haya na wake zao walipojaribu kupingana nao walipata vibano vya haja toka kwa mume, jamii na ndugu wa mke. Kila mtu alimuonya mwanamke mkaidi kwa mumewe. Shetani taratibu anajipenyeza eti siku hizi tunaita maonyo haya ni unyanyasaji. Mke anarekebishwa kwa mkong'oto kama mtoto.

Si mnakumbuka usemi "mchelea mwana kulia hulia yeye ".
Sasa nawaonya enyi wanaume "mchelea mke vipigo hupigwa yeye ".

Nyongeza:
Ndiyo sababu ndugu wakisikia mtoto wao wa kiume amepigwa limbwata (amefanywa mtii kwa mkewe) huja juu. Kwa kuwa ni kinyume cha maagizo toka kwa baba.

kwanza mwanamke anaanzaje kukubishia
 
UKWELI Mchungu..Ukishamuoa Mpe Amri, Akibisha Piga... Mbinu Hii Ilidumisha Ndoa za Mababu Zetu...!!!

Wasaalam wakuu

Kumekuwa na mijadala isiyokwisha kwamba: kwanini ndoa za sasa hazidumu? Jibu ni rahisi tu.."wanaumme tumeacha kutembeza kichapo kwa wake zenu na mmeanza kusikiliza ushauri wao".

Chanzo cha dhambi ya asili ya mwanadamu ni ushauri wa mwanamke. Adam alishauriwa na Eva wale tunda ambalo mungu alikataza. Adam alipokubali akakitumbukiza kizazi chaka chote ktk dhambi.

Usikubali kushauriwa na mwanamke ewe mwanaume utaangamia. Hata maandiko yanamuamuru mwanaume kuishi na hawa viumbe kwa akili sana. Maana yake tumia akili yako kuishi naye na wala usitegemee ushauri wake.

Mdhibiti mkeo umfanye mtiifu na msikivu kwako na kamwe usiruhusu masuala ya usawa wa kijinsia ndani ya nyumba yako.
Ndiyo maana imeandikwa mwanamke na AMTII mumewe. Kutii ni kupokea maagizo bila kuhoji. Kama vile jeshini. Sasa unapoanza kushauriana na mkeo lazima ndoa ikushinde. Maana umeenda kinyume na maagizo ya muumba.

Wazee wetu waliyafanya haya na wake zao walipojaribu kupingana nao walipata vibano vya haja toka kwa mume, jamii na ndugu wa mke. Kila mtu alimuonya mwanamke mkaidi kwa mumewe. Shetani taratibu anajipenyeza eti siku hizi tunaita maonyo haya ni unyanyasaji. Mke anarekebishwa kwa mkong'oto kama mtoto.

Si mnakumbuka usemi "mchelea mwana kulia hulia yeye ".
Sasa nawaonya enyi wanaume "mchelea mke vipigo hupigwa yeye ".

Nyongeza:
Ndiyo sababu ndugu wakisikia mtoto wao wa kiume amepigwa limbwata (amefanywa mtii kwa mkewe) huja juu. Kwa kuwa ni kinyume cha maagizo toka kwa baba.
Kama bibi yako bado yuko hai ungemuoa yeye!
 
Zama zimebadilika mkuu, ukitaka kwenda kizamani pia dunia itakushinda, cha msingi usimpe mke nafasi ya kukutawala akili yako na kukuongoza, lakini swala la kukushauri hiyo ndo kazi yake. Ama Mungu atakuwa alimaanisha nini kusema anakupa msaidizi!?
 
UKWELI Mchungu..Ukishamuoa Mpe Amri, Akibisha Piga... Mbinu Hii Ilidumisha Ndoa za Mababu Zetu...!!!

Wasaalam wakuu

Kumekuwa na mijadala isiyokwisha kwamba: kwanini ndoa za sasa hazidumu? Jibu ni rahisi tu.."wanaumme tumeacha kutembeza kichapo kwa wake zenu na mmeanza kusikiliza ushauri wao".

Chanzo cha dhambi ya asili ya mwanadamu ni ushauri wa mwanamke. Adam alishauriwa na Eva wale tunda ambalo mungu alikataza. Adam alipokubali akakitumbukiza kizazi chaka chote ktk dhambi.

Usikubali kushauriwa na mwanamke ewe mwanaume utaangamia. Hata maandiko yanamuamuru mwanaume kuishi na hawa viumbe kwa akili sana. Maana yake tumia akili yako kuishi naye na wala usitegemee ushauri wake.

Mdhibiti mkeo umfanye mtiifu na msikivu kwako na kamwe usiruhusu masuala ya usawa wa kijinsia ndani ya nyumba yako.
Ndiyo maana imeandikwa mwanamke na AMTII mumewe. Kutii ni kupokea maagizo bila kuhoji. Kama vile jeshini. Sasa unapoanza kushauriana na mkeo lazima ndoa ikushinde. Maana umeenda kinyume na maagizo ya muumba.

Wazee wetu waliyafanya haya na wake zao walipojaribu kupingana nao walipata vibano vya haja toka kwa mume, jamii na ndugu wa mke. Kila mtu alimuonya mwanamke mkaidi kwa mumewe. Shetani taratibu anajipenyeza eti siku hizi tunaita maonyo haya ni unyanyasaji. Mke anarekebishwa kwa mkong'oto kama mtoto.

Si mnakumbuka usemi "mchelea mwana kulia hulia yeye ".
Sasa nawaonya enyi wanaume "mchelea mke vipigo hupigwa yeye ".

Nyongeza:
Ndiyo sababu ndugu wakisikia mtoto wao wa kiume amepigwa limbwata (amefanywa mtii kwa mkewe) huja juu. Kwa kuwa ni kinyume cha maagizo toka kwa baba.
nawasilisha
 
Aisee kwangu kupiga mwanamke HAPANA kwa kweli!
Sijui Kwanini......ila tangu nizaliwa sikuwahi ona Mzee amempiga mama!
Sasa mi ntaanzaje.......
Siwezi aiseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom