Ukweli mchungu: Mwaka jana (2020), Raundi ya 5 Simba ilikuwa ikiongoza Ligi

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Apr 16, 2021
334
657
azam2.jpg
azam21.jpg

Pamoja na kwamba Yanga ilimaliza mzunguko wa kwanza ikiwa kileleni msimu uliopita lakini ligi ilipofikia Round ya 5 Simba ndiyo iliyo kuwa ikiongoza ligi wakiwa wote wanalinga point lakini Simba akiwa juu kwa tofauti ya magoli

FACT1
Mwaka jana SIMBA alikuwa na magoli mengi ya kufunga mara mbili ya Yanga yaani 14 kwa 7 wakati mwaka huu Yanga ana magoli mara tatu ya Simba yaani 9 kwa 3

Tukubaliane tu kwamba Simba mwaka huu wameyumba na wanahitaji maombi mazito

Msimamo wa raundi tano za mwanzo msimu wa 2020/21

PWDLGfGaGdPts
SIMBA54101431113
YANGA541071613

LINGANISHA NA MSIMU HUU 2021/22
PWDLGfGaGdPts
YANGA550091815
SIMBA532030311


Kwa kuwa kuna watu wabishi nimeweka Mechi zenyewe moja moja za mwaka jana

Round 1 [Sep 6]

Ihefu 1-2 Simba
Young Africans 1-1 Tanzania Prisons

Round 2 [Sep 11]

Mtibwa Sugar 1-1 Simba
Young Africans 1-0 Mbeya City

Round 3 [Sep 19]

Kagera Sugar 0-1 Young Africans
[Mukoko Tonombe 72]


[Sep 20]

Simba 4-0 Biashara United

[Clatous Chama 9, 29, Meddie Kagere 30, Chris Mugalu 85]

RoMugal [Sep 26]

Simba 3-0 Gwambina
[Meddie Kagere, Pascal Wawa, Crispine Mugalu]


[Sep 27]

Mtibwa Sugar 0-1 Young Africans

[Lamine Moro]

Round 5 [Oct 3]

Young Africans 3-0 Coastal Union
[Carlos Fernandes 48, Haruna Niyonzima 52, Yacoub Songne 64]

[Oct 4]
JKT Tanzania 0-4 Simba
[Medie Kagere, Medie Kagere, Chris Mugalu, Luis Miquisson
 
Umefanya vizuri kutoa takwimu maana kuna wale wajinga wajinga wameshakosa ajenda wamekalia kulinganisha yanga ya msimu uliopita na msimu huu na wamekariri kuwa yanga hii itafanya vibaya round ya pili alafu wao waende juu yaani ni akili za kifisifisi tu kumfuatilia mwanadamu akijua kuna mkono mmoja utadondoka apite nao, watu wanajifunza kutokana na makosa ivyo makolo wasitegemee kosa kama lile litajirudia kwa yanga hii
 
Sioni kama Makolo wameshuka kihivyo vinginevyo wangekuwa kuanzia nafasi ya 5 kuja chini! Ninachokiona ni kwa Timu Kubwa la Wananchi kupanda ubora sio tu kwenye kushinda bali kupachika mabao!!

Kingine ninachokiona ni kwa Makolo kuanza vibaya, huku Timu Dume la Wananchi likianza vizuri kuanzia mchezo wa kwanza jambo ambalo si kawaida sana!! Mara nyingi Yanga huwa wanaanza kwa sare, na ndipo baadae wanakuja ku-gain momentum!

Sema na huku kulia lia walikoanza mapema, huku wakilalamika timu kupewa fedha au kudhaminiwa na GSM ili wakamiwe, huo naona ndo msiba wa Makolo manake tayari wanawapa wachezaji na uongozi excuse!!

Ningewaelewa sana endapo wangekuwa wanalalamika kwamba marefa wanahongwa, au wachezaji wao wanahongwa ili wahujumu kakitimu chao, wao wanalia lia kwa mambo ya kijinga kabisa!!

Halafu Makolo vinajisahaulisha kwamba, hata msimu uliopita, mechi ambazo Chama hakucheza, basi ama walitandikwa au waliponea chupuchupu!
 
Pamoja na kwamba Yanga ilimaliza mzunguko wa kwanza ikiwa kileleni msimu uliopita lakini ligi ilipofikia Round ya 5 Simba ndiyo iliyo kuwa ikiongoza ligi wakiwa wote wanalinga point lakini Simba akiwa juu kwa tofauti ya magoli

FACT1
Mwaka jana SIMBA alikuwa na magoli mengi ya kufunga mara mbili ya Yanga yaani 14 kwa 7 wakati mwaka huu Yanga ana magoli mara tatu ya Simba yaani 9 kwa 3

Tukubaliane tu kwamba Simba mwaka huu wameyumba na wanahitaji maombi mazito

Msimamo wa raundi tano za mwanzo msimu wa 2020/21

PWDLGfGaGdPts
SIMBA54101431113
YANGA541071613

LINGANISHA NA MSIMU HUU 2021/22
PWDLGfGaGdPts
YANGA550091815
SIMBA532030311


Kwa kuwa kuna watu wabishi nimeweka Mechi zenyewe moja moja za mwaka jana

Round 1 [Sep 6]

Ihefu 1-2 Simba
Young Africans 1-1 Tanzania Prisons

Round 2 [Sep 11]

Mtibwa Sugar 1-1 Simba
Young Africans 1-0 Mbeya City

Round 3 [Sep 19]

Kagera Sugar 0-1 Young Africans
[Mukoko Tonombe 72]


[Sep 20]

Simba 4-0 Biashara United

[Clatous Chama 9, 29, Meddie Kagere 30, Chris Mugalu 85]

RoMugal [Sep 26]

Simba 3-0 Gwambina
[Meddie Kagere, Pascal Wawa, Crispine Mugalu]


[Sep 27]

Mtibwa Sugar 0-1 Young Africans

[Lamine Moro]

Round 5 [Oct 3]

Young Africans 3-0 Coastal Union
[Carlos Fernandes 48, Haruna Niyonzima 52, Yacoub Songne 64]

[Oct 4]
JKT Tanzania 0-4 Simba
[Medie Kagere, Medie Kagere, Chris Mugalu, Luis Miquisson
Una moyo kuandika haya mbele ya Makolo FC
 
Umefanya vizuri kutoa takwimu maana kuna wale wajinga wajinga wameshakosa ajenda wamekalia kulinganisha yanga ya msimu uliopita na msimu huu na wamekariri kuwa yanga hii itafanya vibaya round ya pili alafu wao waende juu yaani ni akili za kifisifisi tu kumfuatilia mwanadamu akijua kuna mkono mmoja utadondoka apite nao, watu wanajifunza kutokana na makosa ivyo makolo wasitegemee kosa kama lile litajirudia kwa yanga hii
Mkuu naona umewararuararuaaaaaa🤣🤣🤣🤣
 
Badala ya mashabiki wa Simba kuandika uzi huu. Inashangaza topolo moja ndilo linalotoa malalamiko.
Unalalamika kwanini simba haongozi ligi!?
😂😂😂
 
Simba ya msimu huu imejaa wazee ambao wamesha jichokea! Yaani imefikia wakati Kagere akibahatisha tu goli, basi anakimbilia kuvua jezi na kumshukuru mola wake mara mbili mbili! Yaani hata haamini kama kweli amefunga!

Mechi ya juzi na Namungo, wachezaji wenzake wasingemuwahi, angejikuta anapewa kadi ya njano ya pili kwa kosa lile lile!
 
Simba ya msimu huu imejaa wazee ambao wamesha jichokea! Yaani imefikia wakati Kagere akibahatisha tu goli, basi anakimbilia kuvua jezi na kumshukuru mola wake mara mbili mbili! Yaani hata haamini kama kweli amefunga!

Mechi ya juzi na Namungo, wachezaji wenzake wasingemuwahi, angejikuta anapewa kadi ya njano ya pili kwa kosa lile lile!
Nikikumbuka mwaka jana mechi 9 yanga imeiacha simba point nyingine tu.
Screenshot_20211106-102743.png
 
Umesoma matope aliyoyaandika mwanzisha thread!?
Tukiweka ushabiki pembeni. Ligi ni ngumu na pia bado sana huwezi kusema timu fulani ana guarantee ya kubeba kombe. Zimebaki mechi 25 ni nyingi mno. Hatujui mbele kitatokea nini.
 
Tukiweka ushabiki pembeni. Ligi ni ngumu na pia bado sana huwezi kusema timu fulani ana guarantee ya kubeba kombe. Zimebaki mechi 25 ni nyingi mno. Hatujui mbele kitatokea nini.
Hapo umeongea ki uanamichezo. Hongera sana.

TUKO PAMOJA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom