Simba haipo nafasi ya 5 kwenye club ranking

GANA BANKS

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
598
853
-Nimeona hii post kwenye mitandao ya kijamii ikionesha klabu ya Simba SC kwenye club ranking ya CAF kwa msimu wa 2024/25 ipo nafasi ya 5 na pointi 39, Yanga ipo nafasi ya 12 na pointi 31, CR Belouizdad nafasi ya 7 pointi 37, Esperance de Tunis nafasi 3 pointi 51 na nk.

-Kwa calculation ya miaka 5 ya club ranking Simba haipo nafasi ya 5 mpaka sasa club ranking ya msimu wa 2024/25 Simba ipo nafasi ya 14 ikiwa na pointi 29 kwa maana hesabu yake ipo hivi msimu (2023/24) point 1 ya kufuzu makundi zidisha na code namba ya msimu huu 5 unapata (5), msimu uliopita (2022/23) Simba iliishia robo fainali pointi 3 zidisha na code namba 4 unapata (12).

- Msimu wa 2021/22 Simba ilishia robo ya kombe la shirikisho pointi 2 zidisha na code namba 3 unapata (6) na msimu 2020/21 Simba iliishia robo fainali ya klabu bingwa pointi 3 zidisha na code namba 2 unapata (6) na msimu wa 2019/20 Simba haikufanikiwa kufuzu makundi hivyo haina pointi (0)

- Sasa chukua pointi 5+12+6+6+0= 29 ndio pointi ilizonazo Simba kwa sasa ila ikifanikiwa kufuzu robo fainali itakuwa imeongeza pointi 10 na kuwa na pointi 39 ndio itapanda mpaka nafasi ya 5 sawa na Petro Luanda ya Angola. Ila ikimaliza nafasi ya tatu kwenye kundi itaongeza pointi 5 na kuwa na pointi 34 na kupanda mpaka nafasi ya 7 na ikimaliza nafasi ya nne kwenye kundi itabaki nafasi ya 14 au kushuka.

- Yanga kwa sasa ina pointi 31 nafasi ya 11 kwenye Club ranking pointi zake Yanga imezitafuta kwa misimu 2 tu msimu uliopita (2022/23) Yanga ilimaliza nafasi ya 2 kwenye kombe la shirikisho na kupata pointi 4 zidisha na code namba 4 ya msimu uliopita unapata 16 msimu huu (2023/24) imefuzu robo fainali ya klabu bingwa pointi 3 zidisha na code namba 5 ya msimu huu unapata 15 chukua 15+16 unapata 31 pointi za Yanga.

-Kwenye club Ranking kwa sasa iko kama ifuatavyo

1-Al Alhy = 72
2-Wydad = 55
3-Mamelod =49
4-Esperance =46
5-Petro Luanda = 39
6-Raja = 35
7-TP Mazembe = 33
8-Zamalek = 33
9-RS Berkane = 32
10- CR Belouizdad =32
11-Yanga SC =31
12-USM Alger =31
13-Asec = 30
14-Simba = 29
15-Pyramids = 29
16-JS Kabylie = 22
17-Al Hilal = 20
18-Horoya = 18
19-Etoil du sahel = 16
20-Orando Pirates = 16

-Ukiangalia hii orodha kuna baadhi amepatia na zingine amekosea hivyo club ranking ya msimu 2024/25 mpaka sasa kwa timu ni hiyo juu Ila timu zinaweza kufuzu kwenda raundi inafuata ya robo fainali zikaongeza pointi na kupata nafasi za juu ila kwa sasa orodha kamili ndio hiyo.

Imeandikwa na KIBONDE Yossima Sitta Jr. .
 
SIMBA HAIPO NAFASI YA 5 KWENYE CLUB RANKING

-Nimeona hii post kwenye mitandao ya kijamii ikionesha klabu ya Simba SC kwenye club ranking ya CAF kwa msimu wa 2024/25 ipo nafasi ya 5 na pointi 39, Yanga ipo nafasi ya 12 na pointi 31, CR Belouizdad nafasi ya 7 pointi 37, Esperance de Tunis nafasi 3 pointi 51 na nk.

-Kwa calculation ya miaka 5 ya club ranking Simba haipo nafasi ya 5 mpaka sasa club ranking ya msimu wa 2024/25 Simba ipo nafasi ya 14 ikiwa na pointi 29 kwa maana hesabu yake ipo hivi msimu (2023/24) point 1 ya kufuzu makundi zidisha na code namba ya msimu huu 5 unapata (5), msimu uliopita (2022/23) Simba iliishia robo fainali pointi 3 zidisha na code namba 4 unapata (12).

-Msimu wa 2021/22 Simba ilishia robo ya kombe la shirikisho pointi 2 zidisha na code namba 3 unapata (6) na msimu 2020/21 Simba iliishia robo fainali ya klabu bingwa pointi 3 zidisha na code namba 2 unapata (6) na msimu wa 2019/20 Simba haikufanikiwa kufuzu makundi hivyo haina pointi (0)

-Sasa chukua pointi 5+12+6+6+0= 29 ndio pointi ilizonazo Simba kwa sasa ila ikifanikiwa kufuzu robo fainali itakuwa imeongeza pointi 10 na kuwa na pointi 39 ndio itapanda mpaka nafasi ya 5 sawa na Petro Luanda ya Angola. Ila ikimaliza nafasi ya tatu kwenye kundi itaongeza pointi 5 na kuwa na pointi 34 na kupanda mpaka nafasi ya 7 na ikimaliza nafasi ya nne kwenye kundi itabaki nafasi ya 14 au kushuka.

-Yanga kwa sasa ina pointi 31 nafasi ya 11 kwenye Club ranking pointi zake Yanga imezitafuta kwa misimu 2 tu msimu uliopita (2022/23) Yanga ilimaliza nafasi ya 2 kwenye kombe la shirikisho na kupata pointi 4 zidisha na code namba 4 ya msimu uliopita unapata 16 msimu huu (2023/24) imefuzu robo fainali ya klabu bingwa pointi 3 zidisha na code namba 5 ya msimu huu unapata 15 chukua 15+16 unapata 31 pointi za Yanga.

-Kwenye club Ranking kwa sasa iko kama ifuatavyo

1-Al Alhy = 72
2-Wydad = 55
3-Mamelod =49
4-Esperance =46
5-Petro Luanda = 39
6-Raja = 35
7-TP Mazembe = 33
8-Zamalek = 33
9-RS Berkane = 32
10- CR Belouizdad =32
11-Yanga SC =31
12-USM Alger =31
13-Asec = 30
14-Simba = 29
15-Pyramids = 29
16-JS Kabylie = 22
17-Al Hilal = 20
18-Horoya = 18
19-Etoil du sahel = 16
20-Orando Pirates = 16

-Ukiangalia hii orodha kuna baadhi amepatia na zingine amekosea hivyo club ranking ya msimu 2024/25 mpaka sasa kwa timu ni hiyo juu Ila timu zinaweza kufuzu kwenda raundi inafuata ya robo fainali zikaongeza pointi na kupata nafasi za juu ila kwa sasa orodha kamili ndio hiyo.


Imeandikwa na KIBONDE Yossima Sitta Jr. .
Club ranking sahihi ni hii ndo inayotambulika,hizo takwimu zako umeamua kukata mauno tu.
Screenshot_2024-02-26-21-40-57-805~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIMBA HAIPO NAFASI YA 5 KWENYE CLUB RANKING

-Nimeona hii post kwenye mitandao ya kijamii ikionesha klabu ya Simba SC kwenye club ranking ya CAF kwa msimu wa 2024/25 ipo nafasi ya 5 na pointi 39, Yanga ipo nafasi ya 12 na pointi 31, CR Belouizdad nafasi ya 7 pointi 37, Esperance de Tunis nafasi 3 pointi 51 na nk.

-Kwa calculation ya miaka 5 ya club ranking Simba haipo nafasi ya 5 mpaka sasa club ranking ya msimu wa 2024/25 Simba ipo nafasi ya 14 ikiwa na pointi 29 kwa maana hesabu yake ipo hivi msimu (2023/24) point 1 ya kufuzu makundi zidisha na code namba ya msimu huu 5 unapata (5), msimu uliopita (2022/23) Simba iliishia robo fainali pointi 3 zidisha na code namba 4 unapata (12).

-Msimu wa 2021/22 Simba ilishia robo ya kombe la shirikisho pointi 2 zidisha na code namba 3 unapata (6) na msimu 2020/21 Simba iliishia robo fainali ya klabu bingwa pointi 3 zidisha na code namba 2 unapata (6) na msimu wa 2019/20 Simba haikufanikiwa kufuzu makundi hivyo haina pointi (0)

-Sasa chukua pointi 5+12+6+6+0= 29 ndio pointi ilizonazo Simba kwa sasa ila ikifanikiwa kufuzu robo fainali itakuwa imeongeza pointi 10 na kuwa na pointi 39 ndio itapanda mpaka nafasi ya 5 sawa na Petro Luanda ya Angola. Ila ikimaliza nafasi ya tatu kwenye kundi itaongeza pointi 5 na kuwa na pointi 34 na kupanda mpaka nafasi ya 7 na ikimaliza nafasi ya nne kwenye kundi itabaki nafasi ya 14 au kushuka.

-Yanga kwa sasa ina pointi 31 nafasi ya 11 kwenye Club ranking pointi zake Yanga imezitafuta kwa misimu 2 tu msimu uliopita (2022/23) Yanga ilimaliza nafasi ya 2 kwenye kombe la shirikisho na kupata pointi 4 zidisha na code namba 4 ya msimu uliopita unapata 16 msimu huu (2023/24) imefuzu robo fainali ya klabu bingwa pointi 3 zidisha na code namba 5 ya msimu huu unapata 15 chukua 15+16 unapata 31 pointi za Yanga.

-Kwenye club Ranking kwa sasa iko kama ifuatavyo

1-Al Alhy = 72
2-Wydad = 55
3-Mamelod =49
4-Esperance =46
5-Petro Luanda = 39
6-Raja = 35
7-TP Mazembe = 33
8-Zamalek = 33
9-RS Berkane = 32
10- CR Belouizdad =32
11-Yanga SC =31
12-USM Alger =31
13-Asec = 30
14-Simba = 29
15-Pyramids = 29
16-JS Kabylie = 22
17-Al Hilal = 20
18-Horoya = 18
19-Etoil du sahel = 16
20-Orando Pirates = 16

-Ukiangalia hii orodha kuna baadhi amepatia na zingine amekosea hivyo club ranking ya msimu 2024/25 mpaka sasa kwa timu ni hiyo juu Ila timu zinaweza kufuzu kwenda raundi inafuata ya robo fainali zikaongeza pointi na kupata nafasi za juu ila kwa sasa orodha kamili ndio hiyo.


Imeandikwa na KIBONDE Yossima Sitta Jr. .
Raja Casablanca anapoint nyingi kuliko Petro De Luanda
 
Msimu ulipita Simba alipata jumla ya point 35 ambayo alipata kwa hesabu hizi:

(3x1 )+ (0x2) + (3x3) + (2x4) + (3x5)
3+0+9+8+15 = 35

Kwa msimu huu mpaka sasa hesabu za Simba zipo hivi
(0x1) + (3x2) + (2x3) + (3x4) + (1x5)
0+6+6+12+5= 29
Kama Sima itafuzu robo fainali itaongezeka point 10 hapo na kufikisha pont 39 ambazo zitakuwa sawa sawa na Petro Luanda ambao wapo nafasi ya tano kwa point 39

Na kama akiwa wa mwisho kwenye kundi basi point zitabakia hizo hizo 29 ila akiwa wa tatu basi ataongeza point 5 na atakuwa na point 34.

Upsnde wa Yanga hauna hesabu nyingi kwasababu point zake zake ni zile tu za mwaka jana alizopata 4 hivyo ni 4x4 = 16 na kwavile kaishavuka makundi ameshajipatia point zake 3 hivyo 3x5 = 15
16+15 = 31
Point za Yanga mpaka sasa ni 31
 
Wee usiwe unaniqoute na MIJINI yako ikishakupanda...unasahaau ww nina mkeka wa majina ya mtimu wako hapa mpk kigoma ila sina huo muda..tunaongea kwa hoja kama huna hoja usiniqoute tena na huu ungese wako..
JINI MAKATA WEE...
Raha sana kushuhudia Makolokolo akiteseka hadi kujaa povu namna hii, ashukuriwe sana Muumba mbingu na nchi kunileta katika sayari hii ili nizidi kuwakera Makolokolo hadi wajute kuzaliwa

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Raha sana kushuhudia Makolokolo akiteseka hadi kujaa povu namna hii, ashukuriwe sana Muumba mbingu na nchi kunileta katika sayari hii ili nizidi kuwakera Makolokolo hadi wajute kuzaliwa

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nani ajute kuzaliwa ww chura? Yani ww ndo utujutishe na huo ushamba wako unaocopy na kupaste? Unanikera tuu kuniqoute majini yakikupanda...maana kama ningekua nataka ningeandika mkeka mrf wa majina yenu mpk ushangae ila naona ni utoto..
 
Back
Top Bottom