Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM

Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM

Lowassa mwenyewe hajawahi hata mara moja kutamka anataka kugombea urais ila panyarodi mmejawa hofu tele.
 
Chabruma anatetea mafisadi wote wa CCM except Lowasa ....... Hii ni kambi gani ndani ya CCM! ?
 
Ukiendelea Na Hizi Siasa Zako Za Maji Taka. Ntakuweka Hadharani. Jina Lako,Namba Zako Za Simu,Mtaa Unaoishi, Pamoja Na Namba Ya Nyumba Unayokaa. Umekuwa Ni Mchochezi,Mnafiki,Na Mtu Hatari Sana Kwa Amani Ya Nchi Hii. Jaribu Kujirekebisha Mara Moja,La Sivyo Ntakuumbua Humu Jf

Hiyo mikwara tu. Hata amani huijui. Kojoa ukalale labda viroba toka Malawi vitapungua akilini kwako
 
Kosa halalishi kosa lingine kutokuwa kosa. Msuya kutokuwa mwadilifu sio tiketi ya kumfanya Lowasa asiwe mwadilifu. Kinana, Katibu Mkuu wa CCM kutokuwa mwadilifu sio kinga ya Lowasa asipokuwa mwadilifu pengine kutokuwa mwadilifu kwa Rais Kikwete limekuwa darasa zuri kwa watanzania waliotayari kujifunza kutokumchagua raisi asiye mwadilifu, makini na anayechekacheka tu hata kwa mambo yanayohitaji umakini wa ziada. Madhara ya kupuuzia kumtafuta raisi mwadilifu katika uchaguzi uliopita imekuwa fimbo ya kuwachapia watanzania wote matakoni mwao. Uchumi mbovu, serikali haina fedha, kila siku ni ukwapuaji. Mara EPA, mara ESCROW na wahusika hawachukuliwi hatua.
Sasa wewe ndugu yangu, umesalimu amri, unataka kila rais awe fisadi, nchi ya mafisadi? Hapana kuna watanzania wamechoka hawataki tena rais fisadi kwa manufaa ya wao na watoto wao, kama wewe hujaliona hilo. AMKA na BADILIKA. Acha kukata tamaa.Kataa mtu asiye mwadilifu kupitia sanduku la kura.
Yan Lowassa amewafanya watu wengi waugue magonjwa ya akili;hofu na kiwewe kimewajaa...he's a hard nut to crack take that from me;Msuya ana uadilifu gani wa kutusemea juu ya Rais tumtakaye ikiwa yeye anaishi na hatia ya kumwua Sokoine?Pengo ana uadilifu gani wakati benki ya kanisa lake ni taasisi ya utakatishaji fedha haramu?Kinana ana uadilifu gani wakati amemaliza tembo wetu?Kikwete aliye Rais wenu ana uadilifu gani wakati ameiba pesa za uma kupitia Escrow?Muwe mnafikiri kabla hamjaandika,otherwise kama hii inawasaidia kuondoa msongo wa mawazo kutokanana ugumu wa maisha basi go ahead and spread more lies
 
Mm huwa najibu kwa maswali hivi mnapomkataa e.l mnamtaka nani.? Membe,sita, pinda au jibu kwa mnaofikiria hivo mnabugi.. You have eyes to see, ears to hear just wait and see achen kuruka ruka. E.l is next tz president
 
Kwani Roman ndo pekee inayotakiwa kutawala nchi hii? Mkombozi Bank inamilikiwa na akina nani? FISADI ni nani kati yao na Lowassa? Watanzania si wajinga tena kiasi cha kugeuza vita kati ya Roman Catholic na Lutheran ...

toshe kusema data n facts ndo njia pekee ya kumzuia Lowassa siyo porojo.... Huyu Pengo aliekataa serikali 3 kwa maslahi ya nani?

Jana nilimsikia Katibu mkuu wa Ccm redio Clouds, nadhani alikuwa Tanga akisema kigezo cha kwanza kwa mgombea atakayeteuliwa na Ccm itakuwa ni uadilifu. Alisema pia wagombea wa Ccm wanaoutaka urais itabidi wajipime kwa kigezo hicho namba moja. Ni juzi tu Mzee Msuya alisema Lowassa kama anaenda upinzani aende lakini chama hakiwezi kumpitisha fisadi kugombea urais.

Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya iasa za nchi hii utajua kwamba Lowassa alikuwa karibu sana na viongozi wa dini, lakini juzi tu walitoka hadharani na kumnanga kama 'fisadi msaka Ikulu'. Hawa ni watu wanaheshimika sana na mara nyingi wanakuwa taarifa nyeti toka hata Ikulu. Mtu kama Pengo ni figure kubwa nchi hii, anajua yaliyo uvunguni Ikulu.Kama angekuwa amedokezwa kwamba ndiye mgombea wa Ccm ajaye asingethubutu kumchana hadharani au maaskofu wenzake kumnanga!

Wale 'Team Lowassa' mjiandae kisaikolojia kutupwa kwa mgombea wenu maana tangu imeanza 2015, hali inazidi kuwa mbaya. Mashambulizi yanatoka kila pembe tena kwa watu wanaoheshimika. Baba Askofu Mokiwa, Baba Askofu Pengo, Nzigirwa, Mzee Msuya! Mlishajiuliza hivi karibuni Pengo alienda kufanya nini Ikulu?

Tafakari!
 
Mleta uzi una point. CCM wameshaona Lowassa atafaranisha chama. Ni kweli Lowassa ana uwezo wa uongozi lakini pia ana tatizo la ubabe wa kimorani. Kama haupo upande wa Lowassa basi ujue wewe umekwisha. Sasa hapo ndio wale walio nje ya Team Lowassa matumbo ni moto. Lakini Team Lowassa pamoja na nguvu mliyo nayo msije mkafikiri mmeiweka CCM mfukoni. Muwe tayari kujitoa CCM na kufungua chama kipya pale mtakapoona dalili kwamba morani wenu atatemwa. Wengi walio nje ya team Lowassa wameshaona hizo dalili.
 
Kweli lowassa sawa lkn waziri mkuuu awe magufuli ili baraza la mawaziri lipunguwe.
 
Atoshwe asitoswe na chama cha Escrow ss watanzania tutamsimamisha kuwa tais wa JMT 2015/2025!!
 
Atoshwe asitoswe na chama cha Escrow ss watanzania tutamsimamisha kuwa rais wa JMT 2015/2025!!
 
Wapo vyuoni wanaojiita team Lowassa njaa zitawaua...mwisho wake aibu sana naliombea hili SAY NO LOWASSA
 
Nasikia Lowasa ni manager mzuri (get work done) lakini sio leader mzuri (myopic)!!
 
Back
Top Bottom