Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Lowassa mwenyewe hajawahi hata mara moja kutamka anataka kugombea urais ila panyarodi mmejawa hofu tele.
View attachment 216683
huyu ndo kiboko ya ccm.
Huo ni mtazamo wako. Ila Lowasa kuwa Rais no no no noooooooooo!
Ukiendelea Na Hizi Siasa Zako Za Maji Taka. Ntakuweka Hadharani. Jina Lako,Namba Zako Za Simu,Mtaa Unaoishi, Pamoja Na Namba Ya Nyumba Unayokaa. Umekuwa Ni Mchochezi,Mnafiki,Na Mtu Hatari Sana Kwa Amani Ya Nchi Hii. Jaribu Kujirekebisha Mara Moja,La Sivyo Ntakuumbua Humu Jf
Yan Lowassa amewafanya watu wengi waugue magonjwa ya akili;hofu na kiwewe kimewajaa...he's a hard nut to crack take that from me;Msuya ana uadilifu gani wa kutusemea juu ya Rais tumtakaye ikiwa yeye anaishi na hatia ya kumwua Sokoine?Pengo ana uadilifu gani wakati benki ya kanisa lake ni taasisi ya utakatishaji fedha haramu?Kinana ana uadilifu gani wakati amemaliza tembo wetu?Kikwete aliye Rais wenu ana uadilifu gani wakati ameiba pesa za uma kupitia Escrow?Muwe mnafikiri kabla hamjaandika,otherwise kama hii inawasaidia kuondoa msongo wa mawazo kutokanana ugumu wa maisha basi go ahead and spread more lies
Chamviga unahangaika na huyo fisadi wako LowasaNina hakika mtahama nchi muda ukifika.
Jana nilimsikia Katibu mkuu wa Ccm redio Clouds, nadhani alikuwa Tanga akisema kigezo cha kwanza kwa mgombea atakayeteuliwa na Ccm itakuwa ni uadilifu. Alisema pia wagombea wa Ccm wanaoutaka urais itabidi wajipime kwa kigezo hicho namba moja. Ni juzi tu Mzee Msuya alisema Lowassa kama anaenda upinzani aende lakini chama hakiwezi kumpitisha fisadi kugombea urais.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya iasa za nchi hii utajua kwamba Lowassa alikuwa karibu sana na viongozi wa dini, lakini juzi tu walitoka hadharani na kumnanga kama 'fisadi msaka Ikulu'. Hawa ni watu wanaheshimika sana na mara nyingi wanakuwa taarifa nyeti toka hata Ikulu. Mtu kama Pengo ni figure kubwa nchi hii, anajua yaliyo uvunguni Ikulu.Kama angekuwa amedokezwa kwamba ndiye mgombea wa Ccm ajaye asingethubutu kumchana hadharani au maaskofu wenzake kumnanga!
Wale 'Team Lowassa' mjiandae kisaikolojia kutupwa kwa mgombea wenu maana tangu imeanza 2015, hali inazidi kuwa mbaya. Mashambulizi yanatoka kila pembe tena kwa watu wanaoheshimika. Baba Askofu Mokiwa, Baba Askofu Pengo, Nzigirwa, Mzee Msuya! Mlishajiuliza hivi karibuni Pengo alienda kufanya nini Ikulu?
Tafakari!