Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM

Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM

hata ukifanya simple research ni lowasa tu 2015
 
In addition, swali dogo tu:
EL anapokiri kuchangiwa mabilioni na rafiki zake yeye atawapa nini akifanikiwa ingia Magogoni (??) Enzi zile yeye na JK (Prof. Dr) walishauriwa wachukuwe fomu pamoja. Ndo hapo EL alipojimaliza. Kibaya zaidi ni pale alipomtumia jamaa flani kigogo kwelikweli enzi hizo aende Msasani kumwomba Mwalimu (RIP) akamsafishe kwao Monduli (agombee Ubunge) baada ya kufunuliwa kuhusu mimali yake.
Yule Bwana aliyetumwa alichanganya na zake na hakuthubutu hilo. Badala yake akaenda kwa Rashid (RIP) ambaye alilifikisha Msasani na kuambulia kuambiwa hivi: RASHIDI, USIWE MJINGA KAMA EL.
Tafakari!

Hivi ni nani mmiliki wa lighorofa (naambiwa itakuwa HQ ya NMB) pale ilipokuwa plot waliopewa NYUMBA YA SANAA ambao inaelekea wame-relocate to Oyster Bay? Enzi za uwaziri wa nani pale ARDHI??
Tafakari!

story za redio mbao
 
hivi unaelewa maana ya uadilifu aliyo zungumzia kinana

Kwa ccm kwa sasa hakuna mwadilifu kwa wananchi, wote waliobaki ni waadilifu wa chama na magod father wao mafisadi wanao waweka mijini
 
Wapo vyuoni wanaojiita team Lowassa njaa zitawaua...mwisho wake aibu sana naliombea hili SAY NO LOWASSA

So far kuna ma group zaidi ya kumi yenye watu mia mia ambao ni frnds of El...na wamejipanga!
Bt juzi nilikuwa na kada 1 hv kaniambia hawatampitisha kwenye nec....
 
lowassa ni mtu pekee anayekubalika sana na kila kundi,anacheza ccm na upinzani pia,mwageni mboga amwage ugali muone atakavoingia ikulu na kuwashughulikia vizur
TEAM lowassa
 
Last edited by a moderator:
vita ya kunguru furaha kwa panzi nyie ccm gombaneni mpaka muuwane wenzenu ukawa ndo wanajipanga kuwaingilia
 
HIzi fedha za escrow ni noma, kila mgombea anahonga watu kuchafua wenzake
 
Lakini anaweza kuteuliwa kupiga wazee kama wewe

kwani kinana kamtaja kwa majina alie mwadilifu? lowasa ni mwanachama wa ccm kama walivyo wanachama wengine anahaki ya kugombea urais kama tapita ama hatapita kwenye kura za maoni tuwaachie CC na NEC.hao maaskofu wanapo hubiri makanisa hawamlengi mtu wanahubiri kile ambacho mungu kamwongoza akiseme. Tukumbuke huko makanisani watoa sadaka na michango ni hao tunao waita mafisadi. usafi wetu na viongozi wetu uwe wa matendo na si kulalama kwasababu hatujapata fursa ya kufisadi
 
Ni vigumu sana kumzuia lowasa..tukumbuke kuwa mzee mkapa, Mangula, pamoja na sumaye hawakutaka kikwete achukue nchi lakini tunajua kilichotokea..lowasa aendelee kukaa kimya huko kutokujibu mashambulizi ndiko kuna muweka juu sana..
M nataka ukawa washinde lakini kama ikiwa tofauti basi lowasa ashinde..hakuna mjanja anayemchukia lowasa.
Endelea kuweka mashambulizi mzee wangu.
 
Lowasa hawezi kuteuliwa kugombea Urais kwa tiketi ya CCM labda huko UKAWA anakopanga kwenda

Hivi ulipoita media wakati ule kumshambulia Lowasa ulivuta ndapi toka kwa Six? Bado akakutuma tena ukamshambulie War-Rioba ili kumpunguza makali ukaishia kujiharibia. Utatumika mpaka lini kijana? Angalia historia ya watu waliopata kung'aa kwenye siasa hatuna aliyewahi kutumika kwa mambo ya kijinga kama yale wanajiwekea akiba ya baadae.
Kuhusu huyo Lowasa mtajuana wenyewe, maana UKAWA wanachotafuta ni kujua CCM itamteua nani ili kumsindikiza mshindi toka Ukawa katika uchaguzi mkuu.
 
Ni vigumu sana kumzuia lowasa..tukumbuke kuwa mzee mkapa, Mangula, pamoja na sumaye hawakutaka kikwete achukue nchi lakini tunajua kilichotokea..lowasa aendelee kukaa kimya huko kutokujibu mashambulizi ndiko kuna muweka juu sana..
M nataka ukawa washinde lakini kama ikiwa tofauti basi lowasa ashinde..hakuna mjanja anayemchukia lowasa.
Endelea kuweka mashambulizi mzee wangu.

Hakuna mjanja anamkataa Lowassa? Unaleta utani wewe!
 
Pengo aliitwa ikulu kuambiwa ni kweli ndugu zake wanahusika kwenye escrow,moto wa Lowasa hakuna wa kuuzuia nyie subirini kifungo chake kiishe ndio msikie atakachosema kuhusu huo uraisi.kama ccm wanaujanja walikate jina lake ndio tujue kweli chama kimeshika hatamu.Lowasa sio kama malechela kwenye hili suala la uraisi ni zaidi ya mnavyofikiri ndugu zangu
 
Ukiendelea Na Hizi Siasa Zako Za Maji Taka. Ntakuweka Hadharani. Jina Lako,Namba Zako Za Simu,Mtaa Unaoishi, Pamoja Na Namba Ya Nyumba Unayokaa. Umekuwa Ni Mchochezi,Mnafiki,Na Mtu Hatari Sana Kwa Amani Ya Nchi Hii. Jaribu Kujirekebisha Mara Moja,La Sivyo Ntakuumbua Humu Jf

Kwani atumjui unadhani huyu si yule aliyetafujo pale ubungo,
 
lakini tujiulize kwanin lowassa tu ndiye anayeshambuliwa na maccm...wanamuogopa au kuna nin hapo!???
 
Hivi Nzigilwa asharudisha zile za E-screw? Sasa usafi wake hapo upo wapi yeye kama yeye?
 
Back
Top Bottom