Ukweli kuhusu wewe na dunia

Ukweli kuhusu wewe na dunia

Mi sitaki kuamini nataka kujifunza, na nasoma vitabu ili kujifunza sio kuamini. Ndomana stori za kale sikubaliani nazo

Does that supposed to mean kwamba hutaki kuamini kama mungu yupo ila unataka kujifunza juu ya uwepo wake.
 
unaamini Mungu yupo?
Ndugu nadhani ulipokuwa unajaribu kuquote nina uhakika jibu ukonalo sijajua kwa nini unauliza swali tena.
Na ukifuatilia hii thread itagundua kabisa unaongea na mtu wa namna gani.
Nimesema kwamba imani ndio imefanya watu duniani kuwa vipofu wasiojua jukumu lao hapa duniani.
Ningekuomba ukubali kuwa huru ndipo sasa utaelewa ninamaanisha nini.
 
hahahaaaaa...
We jimena ni mtata sana, itakuwa pia huamin km Tanzania zaman ilikuwa ni Tanganyika

Sio kihivyo mkuu Bennie 369 Tanzania naamini kuwa ilikuwa Tanganyika zamani maana ushahidi upo wazi kabisa, kama vile hiyo haitoshi mom & dad walikuwepo enzi hizo lol
 
Last edited by a moderator:
Does that supposed to mean kwamba hutaki kuamini kama mungu yupo ila unataka kujifunza juu ya uwepo wake.

Kuhusu uwepo wa Mungu nipe ushahidi tu juu ya uwepo wake otherwise hadithi kwangu sio mahala pake.
 
Sio kihivyo mkuu Bennie 369 Tanzania naamini kuwa ilikuwa Tanganyika zamani maana ushahidi upo wazi kabisa, kama vile hiyo haitoshi mom & dad walikuwepo enzi hizo lol

Sasa ni story zipi za zamani ambazo huziamin tena we jimena jamani... .. .
 
Last edited by a moderator:
Ndugu nadhani ulipokuwa unajaribu kuquote nina uhakika jibu ukonalo sijajua kwa nini unauliza swali tena.
Na ukifuatilia hii thread itagundua kabisa unaongea na mtu wa namna gani.
Nimesema kwamba imani ndio imefanya watu duniani kuwa vipofu wasiojua jukumu lao hapa duniani.
Ningekuomba ukubali kuwa huru ndipo sasa utaelewa ninamaanisha nini.

nimejaribu kufuatilia mtiririko, ila sioni mahali uliposema kama una amini mungu yuko au la. Na ndio mana nikauliza, ili uwe muwazi.

Mimi binafsi nina amini kuna Mungu, na namwamini kupitia Yesu (mtoto wake). ILA kama mwana sayansi, huwa natumia akili zangu kujua jukumu langu. Unavyosema ni kweli, watu wengi wametumia dini kuwa watu wasio na faida duniani kwasababu kila dini.
 
nimejaribu kufuatilia mtiririko, ila sioni mahali uliposema kama una amini mungu yuko au la. Na ndio mana nikauliza, ili uwe muwazi.

Mimi binafsi nina amini kuna Mungu, na namwamini kupitia Yesu (mtoto wake). ILA kama mwana sayansi, huwa natumia akili zangu kujua jukumu langu. Unavyosema ni kweli, watu wengi wametumia dini kuwa watu wasio na faida duniani kwasababu kila dini.

Wewe mwenye ni mungu. Hata mimi pia na watu wengine wote.
 
ndio, sisi ni miungu, naamini biblia na inatuambia hivyo sisi ni miungu kwasababu tumezaliwa na Mungu.
Mambo ya kuzaliwa na mungu ni myth za kidini hazina ukweli maana mungu ni wewe.
 
Back
Top Bottom