cyhper_kyrpton
Senior Member
- Jun 30, 2015
- 138
- 31
Humans are the only living things that have free will, use it wisely...and dont expect everything must make sense now...1+1 sasa hivi ni mbili lakin baadae unaweza ambiwa ni kumi na mmoja, busara inahitajika sana...katika kila system lazima kuna operator wa kuiendesha in case of the universe its infinity we are here the sun is there and everything its in place, earth haijawai kucollide na mwezi wala sayari yoyote...and the same iron that is in your bones its the same in every star in the universe...so who is control the universe? So let say every human is god and we dont know that, nani katufumba macho? Na nani katupa hii miwili (earthen vessel) ambayo lazima itakufa? Wanasayansi wamegundua kuna energy ambayo inacontrol everything in the universe but wameshindwa kuitambua kwa sababu our model dont work, mbona waliofunguka jicho la tatu wameshindwa saidia kutambua kama sisi kweli ni miungu!?
Your the image of the universe, but you can not be the universe
Mtu unaweza sema ilo ni jicho lakini hapana hiyo ni nebula in space inatokana na nyota kufikia mwisho wa maisha yake
Biblia na Quran zote zina ukweli ndani yake lakin umefumbwa...ukisoma kama gazeti lazima utaona ni kama hadithi
From my exprience, God and Satan exist no doubt but swali ambalo najiulizaga why we are here?
Your the image of the universe, but you can not be the universe
Mtu unaweza sema ilo ni jicho lakini hapana hiyo ni nebula in space inatokana na nyota kufikia mwisho wa maisha yake
Biblia na Quran zote zina ukweli ndani yake lakin umefumbwa...ukisoma kama gazeti lazima utaona ni kama hadithi
From my exprience, God and Satan exist no doubt but swali ambalo najiulizaga why we are here?