Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
kwani ukiwa Dar unaiona morogoro???Kama ni flat mbona nikisimama mlima Everest siwezi kuona Arusha au Twin Towers za B.O.T?
kwani ukiwa Dar unaiona morogoro???Kama ni flat mbona nikisimama mlima Everest siwezi kuona Arusha au Twin Towers za B.O.T?
Hilo swali la kwanza jibu lake ni rahisi sana! Wanawezaje kumuona mtoto kwa ultra sound washindwe hilo? Au unahitaji kuvunja sumaku ndani ili uione nguvu yake ya uvutano(usumaku wenyewe)hawa wazungu walionaje huku ndani??ina maana walio chini hawapati kizunguzungu?maji ya bahari hayamwagiki?majengo marefu hayadondoki?
![]()
Sindano ya mkono ukiiweka umbali wa zaidi ya 100 mita unaweza kuiona kwa macho ya kawaida? Ukiisha pata jibu, jijibu swali lako..kwani ukiwa Dar unaiona morogoro???
Wewe ni mpumbavu unayeamini hakuna Mungu!Bibilia kuna uongo mwingi tu ambao wakristo mnauamini lakini mnashindwa kuamini dunia ni duara? Unaamini nyoka anaweza kuongea lakini huamini dunia inaizunguka jua?
Hahahahaaa! Nimeupend sana mchango wako. Watu wanaishi kwa dogma za Mungu kaumba kila kitu na huruhusiwi kuhoji chochote wewe ni kuamini tu. Jamaa nadhani ni msabato maana anaonesha pia chuki kwa papa na NASA wakati hata uwezo wa kutambua tu basics za life na universe hana. Yaan kweli kila binadamu na fikra zake.
Kwanini wewe peke yako ndo uyajue yote haya wengine tusiyajue?? Nampa pole mwalimu wako wa Maarifa Ya jamii na Geography maana wangekuona saiv wangekupiga km yule mwanafunzi wa Mbeya.Wewe ni ******** unayeamini hakuna Mungu!
Dogma za biblia ni sahihi japo kuna some parts kuna mikono ya kibinadamu imeingia.
Unapingana na reality, kwamba napingana na Pope!
Kwani uongo wangu ni nini?
Je Vatican haimiliki CERN?
Je Vatican haimiliki L.U.C.I.F.E.R?
Kwa taarifa yako hata NASA inakuwa controlled na Vatican, unabisha? Kama ilivyo Federal Reserve Bank inavyoongozwa na Vatican..Unajua?
Observatories nyingi duniani zipo chini ya Vatican.
Na kwa taarifa yako Vatican ndo wanacontrol dunia, hata calendar tunayoitumia ni ya Vatican..au hujui pia gregorian calendar.
Kwa sababu unafikiri ndani ya box, hujui kinachoendelea nje.
Hilo swali la kwanza jibu lake ni rahisi sana! Wanawezaje kumuona mtoto kwa ultra sound washindwe hilo? Au unahitaji kuvunja sumaku ndani ili uione nguvu yake ya uvutano(usumaku wenyewe)
Nimekukosea nini mpaka ukaamua kunivunja mbavu kijanaLeo dunia inazunguka Sua, kesho UDSM, keshokutwa dunia itazunguka Udom.
Bongo tambarare haina milima
sina elimu sana juu ya hayo mambo.....ila hoja zako nimezielewa....Tumedanganywa sana na wataalamu wa NASA kuhusu "shape" ya Dunia kuwa dunia ni kama tufe na pia kuwa dunia inajizungusha ili kupata usiku na mchana na pia dunia inazunguka jua ili kupata majira. Hawa jamaa ni waongo sana na uongo huo una malengo pia.
Ukweli ni kuwa:
#1. Dunia ipo flat
#2. Dunia imetulia tuli, haizunguki
#3. Dunia haizunguki jua, ila jua ndo linatembea kuzunguka jua
#4. Dunia ni kubwa kuliko jua au nyota
#5. Picha za shepu ya dunia tunazoziona leo kuwa ni duara ni just visual effects sio live images, wanatudanganya.
#6. Habari ya gravitational force towards earth is just a mythology, usiniulize kuhusu space, hapa sio pake.
Kwa nini nasema hivi:
#1. Naturally maji yapo level. Hayawezi kukaa katika mduara, usiniambie yananing'inia kwa attraction force towards the center of the earth.
#2. Hakuna mto unaopeleka maji mlimani yote huelekea bondeni. Usiniambie kuwa pia ni sababu za uvutano, hiyo ni myth.
#3. Hakuna rubani wa ndege amewahi kuthibitisha kuwa kuna ku bend ili kufuata mzunguko wa dunia.
#4. Usiniambie kuwa horizons ndo husabisha kuonekana " eti" dunia ni kama tufe.
#5. Observatories duniani ni nyingi sana, kwa nini mambo yote ya anga ni NASA pekee ndo wasemaji wakuu, waongo.
Sababu za Uongo:
#1. Kuingiza mawazo kuwa hakuna Mungu
#2. Ukiisha amini hakuna Mungu, basi biblia ni ya Uongo
#3. Kama biblia ni ya uongo basi Yesu harudi, kwa sababu biblia inasema Yesu anaporudi kila jicho litamuona. Kama dunia ni tufe walio upande wa pili hawawezi kumuona at the same time. Hivyo biblia ni kitabu cha zamani sio cha kuamini.
#4. Kwa vile biblia ni ya uongo na hakuna Mungu ( kwa kuwa ni bible tu ndo inatambua uwepo wa Mungu na uumbaji) wakaja na theory za Big Bang ambazo zinasema ulimwengu haukuumbwa na binadamu ametokea si kwa kuumbwa.
#5. The largest obsevatory duniani inaitwa Lucifer ambayo inamilikiwa na Vatican na ndio hao hao wanamiliki mradi wa CERN ambao umeanzisha theory ya BigBang, hivyo basi hawa wana lengo la kutuharibu akili kwa kutuaminisha hatukuumbwa, hivyo hatuna matumaini, Mungu hayupo na mwisho wa dunia haupo, yesu harudi wala hakuna kitu kama hicho.
Nawasilisha, leteni ubishi wenye mawazo, msilete lugha chafu.
LAKINI WA TWAWEZA UNAPINGWA HATA BILA TAFITI COZ NI UMBEA WANAOFANYAHalafu hao wameenda huko space na wameona dunia ikizungua labda atuambie na yeye alifanya utafiti gani maana tafiti inapingwa kwa tafiti
Magonjwa ya akili yapo mengi. Mleta uzi, tafadhari sana onana na daktari bingwa upesi.
Ushauri wa bure.
