Wasikitikie wanafunzi wa CBE si yupo pale anafundisha. Jamaa ana kichwa kama kabeba mkungu wa ndiziDivana sasa atakua kapona kweli
Ni kweli,na hutakiwi kumcheka mtu akiwa kwenye situation hii,hata mtu akiingia kwenyeBinadamu sio watu.. Hushangilia na kusimuliana kwa bashasha madhila ya wengine huku wakiweka vionjo wanavyojua wenyewe
Watu wanapitia mengi kwenye maisha.. Ukiwa mzazi haya mambo unayaangalia kwa tafakuri kubwa sanaaIla ukiangalia kaka sura yake hiyo inaendana na Mbwimbwi
Watu wanapitia mengi kwenye maisha.. Ukiwa mzazi haya mambo unayaangalia kwa tafakuri kubwa sanaaNi kweli,na hutakiwi kumcheka mtu akiwa kwenye situation hii,hata mtu akiingia kwenye
Matumizi ya madawa etc hutakiwi kumcheka,
Kumdhiaki....mtu yoyote anaweza kuingia huko
Ova
Dunia hii ni uwanja wa vitaWatu wanapitia mengi kwenye maisha.. Ukiwa mzazi haya mambo unayaangalia kwa tafakuri kubwa sanaa
Mwanzisha thread kama hana uhakika wa 100% na utetezi wake basi atakuwa mtu mjinga sana. Nasema hivi kwa sababu ili tatizo lolote liondolewe basi sharti lijulikane. Huyo mama kama jamii itadanganywa kuwa hatumii madawa wakati anatumia, basi tatizolake litakuwa gumu sana kutatuliwa. Ukweli humuweka mtu huru na njia ya mwongo ni fupi.Ila amechoka sana ,Sura ya bwimbwi ile wala sio ajali.
GK mwenyewe anaishi kwa matumaini. Kwa msaada wa watu wa Marekani. Kunde mbaazi njugu mawe
Mama yake nae alikuwa hapoWasikitikie wanafunzi wa CBE si yupo pale anafundisha. Jamaa ana kichwa kama kabeba mkungu wa ndizi
Kwani uyo GK yupo Tanzania au?Aiseee ndio maana mwili hauji kabisa &&& Diva Ze boss!!