Ukweli kuhusu ndege za Serikali

Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
Aisee,HUNA AKILI WEWE. ATCL inafanya biashara.

Alafu unakuta na wewe unategemewa kama baba wa familia kabisaa na jinsi usivyo na akili kichwani mwako.
 
hebu nenda shule tena ukasome somo la uchumi.

Muda mwingine haya mambo ya uchumi muwe mnaacha kama hamyajui aisee.
 
MBONA MAGUFULI WAKATI WA KAMPENI ALISISITIZA LAZIMA KILA MWANAFUNZI APATE MKOPO.

KISHA AKAJA KUSEMA SIO LAZIMA KILA MTU APATE MKOPO PUNDE TU ALIPOPATA URAISI.
 
MBONA MAGUFULI WAKATI WA KAMPENI ALISISITIZA LAZIMA KILA MWANAFUNZI APATE MKOPO.

KISHA AKAJA KUSEMA SIO LAZIMA KILA MTU APATE MKOPO PUNDE TU ALIPOPATA URAISI.
akikujibu unitag
 
Kuna watu ukisoma michango yao,unaona kuna tatizo kubwa sana ama la shule/vyuo vyetu,afya ya akili au umasikini unaosababisha watu kukosa "critical thinking & reasoning".
 
Cha kujiuliza n kua mlikua wap kuandka nyuzi za kuonya serikal kampuni ya ndege lilivokua linafirisika siku had siku had kufaaa kabisa?
Mlikua wap wakati viwanda vinakufa kimoja baada ya kingine?

Mlikua wap wakat kampuni ya tren inakufa??
Leo mnaona kiongozi anafufua sector moja moja mnaanza kubwabwaja?? Mwenye akili atakua anaelewa hapa

Hilo bunge halikuwepo tangu JKN had viwanda vikaanza kufa, shirika la ndege la umma linakufa na reli zinabaki historia... Lilifanya nn??

Leo unakuja kuongelea viwanda vya bakhresa unafikir vilikua vinajiendesha?!
Kama hivi vya pamba yamebaki magofu tu ivo kama vya bakhresa je??
 
Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
kama nia ni kutoa huduma mbona wanalipa pesa kama nauli. mpuuzi wewe nenda pale lugalo hospital na mwili wa marehemu wambie wauhifadhi na kuufanyia service zote serikali ya ccm italipa UONE KAMA HUTAAMBIWA ONDOKA NAO
 
Wewe ulikuwa wapi wakati magufuli anauza NYUMBA ZA UMMA ZINAUZWA KWA HAWARA
 
Kwahiyo unataka nchi iendeshwe kama kiwanda cha mtu binafsi? Nitajie Nchi moja iliyo uchumi wa kati ambayo haina shirika la ndege.

Ati hawa ndio wapinzani!
America gains shirika la ndege UK British airways serikali ina wamiliki 5% tu
 
Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
Akili za CCM hoyee!!
Kwa hiyo ATCL siyo business oriented?
Kama hujui jambo kaa kimya ufiche upumbavu wako....
 
Kwahiyo unataka nchi iendeshwe kama kiwanda cha mtu binafsi? Nitajie Nchi moja iliyo uchumi wa kati ambayo haina shirika la ndege.

Ati hawa ndio wapinzani!
Hoja iko hapa kwamba hizi Ndege manunuzi yake yanapitishwa Bungeni?
 
Samahani mkuu! Denge nazo hutoa HUDUMA kumbeee!!
Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
 
Watu wa kujimwambafy kwa kuwaonea wapinzani ndiyo sasa hujiita wazalendo
 
MBONA MAGUFULI WAKATI WA KAMPENI ALISISITIZA LAZIMA KILA MWANAFUNZI APATE MKOPO.

KISHA AKAJA KUSEMA SIO LAZIMA KILA MTU APATE MKOPO PUNDE TU ALIPOPATA URAISI.
Bukoba aliwasimanga juu ya tetemeko la Ardhi
 
MBONA MAGUFULI WAKATI WA KAMPENI ALISISITIZA LAZIMA KILA MWANAFUNZI APATE MKOPO.

KISHA AKAJA KUSEMA SIO LAZIMA KILA MTU APATE MKOPO PUNDE TU ALIPOPATA URAISI.
Hata wakati anawinda pesa za makinikia alisema atagawa Noah kwa kila Mtanzania
 
Kwanini wananchi wengi wanafurahi ndege tofauti na wanaokosoa.

Kwasababu hao wengi hawaelewi athari za kuwekeza katika miradi isiyo kuwa na tija!! JIWE anaogopa hata kuonesha audited accounts za ATCL kwa vile kununua ndege kwa mtindo wake ni uwekezaji wa kichefuchefu!!! Muda si mrefu wataanza kuficha sura zao pale gharama za uendeshaji zitakapozidi mapato!!! Kwanini hamuangalii performance ya mashirika mengine ya ndege kabla ya kujitumbukiza kununua aina hizi za ndege kwa pupa? Kitu gani kinawashinikiza mfanye maamuzi ya aina hii?Shirika kuendesha Dreamliner sio mchezo!!!

Sidhani hata hiyo strategic plan ya ATCL kama inashauri ndege zinunuliwe kiholela bila kuwa na uwiano na performance ya hizo zilizotangulia kununuliwa!!! Kama busara na weledi na sio pupa kutumika, tungeona shirika la ndege likianza safari za kimataifa baada ya kujihakikishia kulitawala solo la abiria la ndani.
 
Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
Ndege nilizipinga Kitambo sana kwamba hakuna haja ya kununua Madege Kwa Mkupuo,
 
Yawezekana huyu ni mmojawapo wa washauri wa hii kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…