Ukweli kuhusu mume na mke kwenye ndoa

Ukweli kuhusu mume na mke kwenye ndoa

Sitaki kusema ndoa ni mbaya na sitaki kusema ndoa ni nzuri nyie ni watu wazima hantakiwi kulazimishwa kuelewa ng'amu kulingana na partner wako unaetaka kuingia nae kwenye ndoa akili kumkichwa utajua mwenyewe
Brother umetupa fumbo mbn😃
 
Mmoja anatafuta Amani, usaidizi wa kazi na familia
Mwingine anaolewa,

  • Apate uhuru asa kwa wanaoshi kwa kazazi strict,
  • Kupata ulinzi amani na bega la kuegemea
  • Wanaoolewa sababu ya Hisia, japo idadi hapa inapungua
  • Kuna anayeolewa sababu ya peer pressure
  • Anayeolewa sababu rafiki wameolewa
  • Na kuna anayeolewa kwa sababu za kiuchumi au kutafuta hadhi
 
Moja ya mambo yanayowabadilisha wana ndoa wengi upendo hule wa mwanzo na hule mlioingia kwenye ndoa ni majukumu familia nyingi ni masikini kukwepa majukumu huleta marumbano,ila pia watoto mnapopata watoto mama anajali watoto ni kama kaupendo kana shift kidogo kutoka kumjali baba na kuongeza upendo kwa watoto mnajikuta chemistry yenu inapotea mnabaki wanandoa jina tu
 
Na shida huanzia hapa mnakuanna watoto wengi mnafeli kuwahudumia mnajikuta marumbano kuishia kwenye talaka, wanaohumia ni watoto pasipo sababu ya msingi
Kataa ndoa hao, wanazagamuana afu hawaelewi dogo anaishije huko walikomuacha.
 
Moja ya mambo yanayowabadilisha wana ndoa wengi upendo hule wa mwanzo na hule mlioingia kwenye ndoa ni majukumu familia nyingi ni masikini kukwepa majukumu huleta marumbano,ila pia watoto mnapopata watoto mama anajali watoto ni kama kaupendo kana shift kidogo kutoka kumjali baba na kuongeza upendo kwa watoto mnajikuta chemistry yenu inapotea mnabaki wanandoa jina tu
Hakuna upendo kama hakuna mahitaji muhimu ikiwemo chakula, mavazi na malazi bora na mwajibikaji mkuu ni mwanaume (provider)
 
Kataa ndoa hao, wanazagamuana afu hawaelewi dogo anaishije huko walikomuacha.
Makamuzi ni given kwani ni starehe kwa mwanaume huku mwanamke akitegemea apate financial support of any kind. Vinginevyo akiona hakuna dalili anatoka nduki
 
Kataa ndoa ni kundi la watu vilaza wasio na uwezo wa kuongoza hata kundi la bata! Ndiyo maana huwezi pewa madaraka ya kuongoza nchi kama huna mke!
 
Back
Top Bottom