Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,340
- 46,128
Kuna mambo umekalili we kijana.Makamuzi ni given kwani ni starehe kwa mwanaume huku mwanamke akitegemea apate financial support of any kind. Vinginevyo akiona hakuna dalili anatoka nduki
Sema nini kwa mtazamo wako huo, tafuta sana pesa.