Kamili Gado
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 386
- 97
Sio vituko nasema kweli nimeajiriwa toka mwezi wa Tano na nimeamua kusema ili kuondoa mkanganyiko wa kuniuliza kwamba nasema nikiwa kama nani!!!
Mtela Mwampamba wa CCM, UMEMALIZA!
Hawa pro CHADEMA walidhani upo CCM kwa kutanga tanga?, you're in CCM to stay, we're all in CCM to stay. Period.
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
CCM ipi safi, wakati Bukoba kimenuka!!Tupo tunatekeleza Ilani ya chama chetu CCM. CCM Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wana jf, huyo maamuma asiwadanganye chochote,
Ofisi ya CCM makao makuu au ngazi yoyote ile haimtambui Mtela Mwampamba aka Ganzi kuwa ni kiongozi wa kikundi au idara yoyote ndani ya ccm,
Kilichopo nikuwa yupo kwenye ofisi ya Mwigulu Nchemba na amekuwa akishiriki au akiambatana na Mwigulu katika kazi zake tu, hivyo amejivika ufalme huo,
Mwigulu hawezi kukupa ukuu wa ofisi yake bila kufuata utaratibu wa chama!
Kwamjibu wa uchaguzi wa ccm uliofanyika mwaka jana, na uteuzi wa idara na kamati zake,
Kitengo unachodai wewe ni MKUU wake sio kweli, bali Mwigulu Nchemba ndie MKUU wake na ndie husimamia, huongoza na huratibu shuguli za idara hiyo (nyeti) na zaidi yeye ndie huwasilisha ripoti zake zote kwa mkuu wa idara ya siasa wa TISS mama T.G,
Huyo mama ndie huwasirisha rasmi kwa mwenyekiti wa Chama raisa JK,
Sasa unawahadaa watu hapa bila kujua kuwa tunajua kila kitu hapo lumbumba,
Nenda kawadanganye huko FB sio hapa,
Sijui unaelewa maana ya neno VIVA?
UVCCM wamekosa mtu wa kumpa hiyo nafasi!! Nilikua nakufuatilia katika kampeni za Arusha na Juliana Shonza,honestly mlikiua chama kwa kuijikita katika personal attack badala ya upembuzi wa sera. Mnatembea na mtu aliyemwagiwa tindikali,sawa laikni ndicho wana Arusha walitaka kukisikia katika muda ule? Mlitumia muda mchache sana kueleza sera na muda mwingi kupaza sauti za kashfa,matusi,ambavyo havikukisadia chama.
Mwapamba sasa mbona unga kidogo maji mengi?Hapo ndio nyumbani kwetu karibu sana.
sasa digrii yako ya ualimu na ukuu wa kitengo cha habari vinaendaje?? Wakati uko upinzani ulikuwa ni mmoja wa watu wanaopinga mambo ya kupeana vyeo kama zawadi, halafu na wewe umeangukia huko huko kwenye kupewa cheo kama zawadi, poor you...
Njaa zinaharibu maisha yenu vijana, kama ungekubali kufanya kazi yenye hadhi na heshima kubwa ya ualimu ambayo umeisomea, na ambayo imekulea na kukusomesha, kwa kuwa mama yako alikuwa mwalimu, usingeingia huku kwenye kudhalilika kwa kupewa tuvyeo twa kijinga kama huto. Kwa taarifa yako ni kuwa siku utakapopingana na aliyekupa hicho cheo (mwigulu nchemba) kwa hoja au akuombe kitu ambacho wewe haukubali kumpa jamaa atakufukuza hiyo kazi maana haikutangazwa kokote, umepewa tu kama zawadi na hauna sifa za elimu wala uzoefu wa kuifanya. kwa kifupi hauna job security mkuu...
Men are Born ignorant, not stupid. but you seems to be made stupid by CCMnism
mmmhh...
Mpe mda. Mda ndo kila kitu.
ha ha ha, kumbe wamepeana vyeo na shoga yake mwigilu -- nilitaka kushangaa watu wapo UVCCM mwaka wa sita, wewe na njaa zako ufike tu upate ulaji - kwa kigezo gani?Wana jf, huyo maamuma asiwadanganye chochote,
Ofisi ya CCM makao makuu au ngazi yoyote ile haimtambui Mtela Mwampamba aka Ganzi kuwa ni kiongozi wa kikundi au idara yoyote ndani ya ccm,
Kilichopo nikuwa yupo kwenye ofisi ya Mwigulu Nchemba na amekuwa akishiriki au akiambatana na Mwigulu katika kazi zake tu, hivyo amejivika ufalme huo,
Mwigulu hawezi kukupa ukuu wa ofisi yake bila kufuata utaratibu wa chama!
Kwamjibu wa uchaguzi wa ccm uliofanyika mwaka jana, na uteuzi wa idara na kamati zake,
Kitengo unachodai wewe ni MKUU wake sio kweli, bali Mwigulu Nchemba ndie MKUU wake na ndie husimamia, huongoza na huratibu shuguli za idara hiyo (nyeti) na zaidi yeye ndie huwasilisha ripoti zake zote kwa mkuu wa idara ya siasa wa TISS mama T.G,
Huyo mama ndie huwasirisha rasmi kwa mwenyekiti wa Chama raisa JK,
Sasa unawahadaa watu hapa bila kujua kuwa tunajua kila kitu hapo lumbumba,
Nenda kawadanganye huko FB sio hapa,
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
Mods huu upuuzi ukiendelea kufanywa na hawa wapuuzi tutakuwa hatulitendee haki Jukwaa. Naomba adhabu zichukuliwe kwa huyu mpuuzi.