Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,694
- 7,912
Yote uliyoandika,yako kinyume na unavyofahamuJibu hoja acha kuanzisha topic ndani ya nyingine.Israel ni makabila 12 sawa hata baba yako akiwa na watoto kumi wakifa wote akabaki mmoja haifanyi huyo alobaki kuwa si mtoto wa babako.Hivyo limebaki kabila 1 au mchanganyiko hao ni Israel isikusumbue.Na kuhusu mtume wa Mungu kuzaa haramu nayo isikusumbue biblia haipo kuficha ukweli Bali imeweka wazi tujifunze kupitia huo.Hivi Mohammed kuoa mtoto wa miaka Tisa ilikuwa halali.Na vipi kutembea na house girl wa mkwewe mpaka agombane na mkewe nayo halali? Kumnyonya ulimi mgonjwa nayo ilikuwa sawa ?na bado unamwita mtume?Wewe jibu hoja.Tafuta historia uislam umeanza lini,mwanzilishi nani, tafakari jiulize ulofundishwa madrasa yana kubaliana na historia yenyewe?Hilo ndo LA msingi.
1:Kwa watoto wa mashariki ya kati kipindi cha nyuma,mtoto wa miaka 9 ,ni mkubwa ,ndio ukaona Mariya,mamake Yesu,kamzaa ana mika 13,fikiria mimba iliingia ana miaka mingapi kama sio 12,na alinza uchumba na Joseph Mzee wa miaka 95,akiwa na miaka 9.
2:Huko kunyonya ulimi,huo ni utalaamu wa kitabibu,hata mtu aliyepoteza fahamu kwa mujibu wa itibabu,kama amekosa hewa, unampulizia hewa mdomoni kama vile una mnyonya,jaribu kujigunza huduma ya kwanza.
3:Hakuna mkwewe ,aliyemuoa.Toa ushahidi wa jina la mtoto wa kiume,halafu tuangalie ni miongoni mwa watoto wake?
4:Uislamu hakuanza na Mtume Muhammad,uislamu ulianza yoka Adam aje duniani.Ila kwa karne hizi za sasa, ndio yeye aliyeanzisha upya kuutangaza uilslam.Ndio ukaona uislamu unawataja mitume waliyopita kuanzia Adam mpaka Yesu.
Jiulize kabla kuja ukristo baada ya kuondoka Yesu, mashariki ya kati na kwingineko duniani,kulikuwa wakifuata dini gani? Na hiyo dini ilikuwa mtume wake nani na wakitumia kitabu gani,kama sio
Zaburi
Taurati
Injili(sio biblia)
Na uilamu ,unaviamini vitabu hivyo,na kutamhulikana katika uislamu.