mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,168
Mgeni wacha kuongea kama mlevi wapi nimempinga Yesu na Mtume Muhammad? Au unajiongelea tu kama kawaida yako. We hufahamu kati ya wafuasi wa Yesu na wafuasi wa paulo. Yesu hajawahi kusali bila kusujudi chini. Paulo yeye kusali kwake ni kulipa mgongo sanamu, na nyie kuliabudu sanamu. Hivi hujui kama msalaba ni dalili ya mtu aliye laniwa. Soma bibilia yako vizuri utapata jibu😀
wee kafir unapinga koloani na Biblia Takatifu
koloani inafundisha kuna wafuasi wa Yesu ambao ni Wakristo tu ambao kitabu chao ni Injili na jengo lao la ibada ni Kanisa! wewe unampinga muhammad na kutangaza Wakristo ni wafuasi wa Paulo! Yesu anasema Yeye Baba yake Mungu! wewe unambishia...Yesu katufundisha kusali
unasema kwa kuwekwa msalabani Yesu amelaaniwa...ukweli
sawa
ref; wewe huja zini
Yesu alikataa kumsujudia ibilisi
kawapata hadi anawapuliza mivutu
hhhhhhhhh.....
mudi anavyo serebuka mauno na mke wa firaun hhhhhh na dhakar itakuwa up-dated na kuwa pima.4 pia haita sinyaa
hayo Yesu kafundisha wapo??