Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

Mgeni wacha kuongea kama mlevi wapi nimempinga Yesu na Mtume Muhammad? Au unajiongelea tu kama kawaida yako. We hufahamu kati ya wafuasi wa Yesu na wafuasi wa paulo. Yesu hajawahi kusali bila kusujudi chini. Paulo yeye kusali kwake ni kulipa mgongo sanamu, na nyie kuliabudu sanamu. Hivi hujui kama msalaba ni dalili ya mtu aliye laniwa. Soma bibilia yako vizuri utapata jibu😀

wee kafir unapinga koloani na Biblia Takatifu koloani inafundisha kuna wafuasi wa Yesu ambao ni Wakristo tu ambao kitabu chao ni Injili na jengo lao la ibada ni Kanisa! wewe unampinga muhammad na kutangaza Wakristo ni wafuasi wa Paulo! Yesu anasema Yeye Baba yake Mungu! wewe unambishia...Yesu katufundisha kusali
Matthew-6-9-11.jpg
wewe unampinga unataka tugonge kichwa ardhi... unasema kwa kuwekwa msalabani Yesu amelaaniwa...ukweli
0805-1CO001018ENGKJV08000480ISP02236889000.jpg
....
 
wee kafir unapinga koloani na Biblia Takatifu koloani inafundisha kuna wafuasi wa Yesu ambao ni Wakristo tu ambao kitabu chao ni Injili na jengo lao la ibada ni Kanisa! wewe unampinga muhammad na kutangaza Wakristo ni wafuasi wa Paulo! Yesu anasema Yeye Baba yake Mungu! wewe unambishia...Yesu katufundisha kusali View attachment 662026 wewe unampinga unataka tugonge kichwa ardhi... unasema kwa kuwekwa msalabani Yesu amelaaniwa...ukweli View attachment 662053....


25158285_1153825848087177_2066769810254083696_n.jpg
 
wee kafir unapinga koloani na Biblia Takatifu koloani inafundisha kuna wafuasi wa Yesu ambao ni Wakristo tu ambao kitabu chao ni Injili na jengo lao la ibada ni Kanisa! wewe unampinga muhammad na kutangaza Wakristo ni wafuasi wa Paulo! Yesu anasema Yeye Baba yake Mungu! wewe unambishia...Yesu katufundisha kusali View attachment 662026 wewe unampinga unataka tugonge kichwa ardhi... unasema kwa kuwekwa msalabani Yesu amelaaniwa...ukweli View attachment 662053....


prostration.jpg
 
wee kafir unapinga koloani na Biblia Takatifu koloani inafundisha kuna wafuasi wa Yesu ambao ni Wakristo tu ambao kitabu chao ni Injili na jengo lao la ibada ni Kanisa! wewe unampinga muhammad na kutangaza Wakristo ni wafuasi wa Paulo! Yesu anasema Yeye Baba yake Mungu! wewe unambishia...Yesu katufundisha kusali View attachment 662026 wewe unampinga unataka tugonge kichwa ardhi... unasema kwa kuwekwa msalabani Yesu amelaaniwa...ukweli View attachment 662053....
Mgeni unachekesha hebu angalia tazama msalaba unasema nini

Ama utumiaji wa msalaba katika kuvaa umezagaa kabisa kwa Wakristo wa zamani na wa sasa. Kufanya hivyo kwao ni kukumbuka kule kusulubiwa kwa Yesu kwa ajili ya dhambi za wanadamu nao waingie katika kusamehewa dhambi zao hapa duniani na kurithi uzima wa milele Siku ya Qiyaama. Hata hivyo, tukisoma katika Biblia tunapata kuwa Yesu hakusulubiwa kwani aliyesulubiwa atakuwa amelaaniwa. Hebu tutazame mistari ifuatayo:



  1. "Kama mtu amefanya kosa la jinai linalompasa auawe na akauawa kwa kutundikwa mtini" (Kumbukumbu la Sheria 21: 23).
  2. "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: 'Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa" (Wagalatia 3: 13).


Hakika ni kuwa wenye kuamini kuwa Yesu kasulubiwa na misalaba kwa ajili ya kusamehewa dhambi wanapingana na Biblia. Hebu tusome mistari ifuatayo:



  1. "Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si dhabihu, kumjua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa" (Hosea 6: 6).
  2. "Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: 'Nataka huruma, wala si dhabihu'. Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi" (Mathayo 9: 13).
  3. "Kama tu mngejua maana ya maneno haya: 'Nataka huruma wala si dhabihu', hamngewahukumu watu wasio na hatia" (Mathayo 12: 7).


Kwa hivyo Yesu hakuja kuwa kitoweo yaani kuuliwa msalabani bali amekuja kuwaokoa wenye hatia waingie katika mafundisho ya haki na hivyo kupata msamaha wa Mwenyezi Mungu.
 
Mgeni unachekesha hebu angalia tazama msalaba unasema nini

Ama utumiaji wa msalaba katika kuvaa umezagaa kabisa kwa Wakristo wa zamani na wa sasa. Kufanya hivyo kwao ni kukumbuka kule kusulubiwa kwa Yesu kwa ajili ya dhambi za wanadamu nao waingie katika kusamehewa dhambi zao hapa duniani na kurithi uzima wa milele Siku ya Qiyaama. Hata hivyo, tukisoma katika Biblia tunapata kuwa Yesu hakusulubiwa kwani aliyesulubiwa atakuwa amelaaniwa. Hebu tutazame mistari ifuatayo:



  1. "Kama mtu amefanya kosa la jinai linalompasa auawe na akauawa kwa kutundikwa mtini" (Kumbukumbu la Sheria 21: 23).


    |color=red]kwa mujibu wa ayat hiyo, Tuwekee kosa alilo lifanya Yesu ili astahili hukumu hiyo[/color]

  2. "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: 'Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa" (Wagalatia 3: 13).


Yesu alitukomboa kutokana na sharia ambayo haina haqi ref; wewe huja zini mimi, gavana, adiosa tunakupeleka mbele ya qadi kukushitaki kwa kosa la kuzini, kwa mujibu wa sharia ushahidi wa watu.3 ukiwa sawia sharia itakutia hatiani wakati huja fanya zina Yesu katutoa huko na kusema Ukitamani tayari umesha zini ref; Mafundisho yake kule mlimani


Hakika ni kuwa wenye kuamini kuwa Yesu kasulubiwa na misalaba kwa ajili ya kusamehewa dhambi wanapingana na Biblia. Hebu tusome mistari ifuatayo:



unahubiri Injili nyingine kwa Mujibu wa Biblia Takatifu umelaaniwa
3e0e3b6ebc04f46d4480832ec1464289.jpg
laanatulahi wee


  1. "Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si dhabihu, kumjua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa" (Hosea 6: 6).
  2. "Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: 'Nataka huruma, wala si dhabihu'. Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi" (Mathayo 9: 13).
  3. "Kama tu mngejua maana ya maneno haya: 'Nataka huruma wala si dhabihu', hamngewahukumu watu wasio na hatia" (Mathayo 12: 7).

kwa mujibu wa ilimu islamu hii ni huruma hhhhhhhhh...
3e50a0f933750a6d1a89d7eac707e01a.jpg



Kwa hivyo Yesu hakuja kuwa kitoweo yaani kuuliwa msalabani bali amekuja kuwaokoa wenye hatia waingie katika mafundisho ya haki na hivyo kupata msamaha wa Mwenyezi Mungu.

mlaaniwa unajikaanga kwa mafuta yako mnyewe
648d92c1639c815b2d69b2635e8b573d.gif
hhhhhhhhh...
 
Hivi haya malumbano hapa yanatusaidia nini sisi kama Watanzania? Sisi sio Wayahudi wala.Waarabu na hatuna shida ya ardhi. Sasa tunatoleana maneno mazito pasi na toka yoyoye ile katika maisha yetu.
 
hujenda tahiriwa tu lengo lako unune na soksi
871dd9af62fbd3d76035db406317984c.jpg


ni kweli hapo Yesu alikuwa ktk swalat hamsa Yeye baada ya kuona Utukufu wa Mungu ndipo akasujudu hawa nao baada ya kuona Utukufu wa Mungu nao wakasujudu
48cad000fcb000217e1698d5aa75342e.jpg
kusujudu ni hishma au ibada..manake tunawaona hawa nao wanasujudu
slide_52.jpg
.....wewe unapo sujudu unaona nini mbele yako kama unaona makalio ya shehe sema Yesu alikataa kumsujudia ibilisi
aa3d8a6d546e7ba1cf59bb94508e1f85.jpg
jee ule uchu wa ibilisi uliisha
slide_47.jpg
kawapata hadi anawapuliza mivutu tahadhari tumepewa sisi Wakristo kuhusu kubiduka biduka
revelation-lesson-39-the-first-five-bowls-5-638.jpg
kama huna alama usoni gavana heri yako tunaukwepa huo muhuri wa ibilisi kama ebola hhhhhhhhh.....
 
Hivi haya malumbano hapa yanatusaidia nini sisi kama Watanzania? Sisi sio Wayahudi wala.Waarabu na hatuna shida ya ardhi. Sasa tunatoleana maneno mazito pasi na toka yoyoye ile katika maisha yetu.
Mkuu usihofu ni kama mchezo wa bao ima safety valve...hii kitu huwezi ukasikia watz wanapigana...acha tuzungumze bro...
 
Mkuu usihofu ni kama mchezo wa bao ima safety valve...hii kitu huwezi ukasikia watz wanapigana...acha tuzungumze bro...


Asilimia zaidi ya 90 hawajui hata Yerusalem inafananaje. Mimi nimefika wenyewe wenyeji kule hata hawatujui acha kutujali. Anayekuonyesha alikopita Yesu wala hafanani na mimi. Tuliokuwa tumeenda asilimia kubwa ni Wabantu mpaka wenyeji wakatushangaa.
 
Asilimia zaidi ya 90 hawajui hata Yerusalem inafananaje. Mimi nimefika wenyewe wenyeji kule hata hawatujui acha kutujali. Anayekuonyesha alikopita Yesu wala hafanani na mimi. Tuliokuwa tumeenda asilimia kubwa ni Wabantu mpaka wenyeji wakatushangaa.
hata ukienda hija maka...wee pitiliza siku moja tu lazima wende lupango
 
kuna tusi hapo
Wacha kutuwekea vi katuni vyako hapa. Ukisoma yohana mbona unapata jibu kabisa kwamba aoanongelewa Mtume Muhammad.

Yohana 16:7-14Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
7 Lakini nawaambia kweli kwamba kuondoka kwangu ni kwa faida yenu kwa maana nisipoondoka, yule Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda nitamtuma aje kwenu. 8 Naye akija atauthibitishia ulim wengu kuhusu dhambi, haki na hukumu. 9 Kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini; 10 kuhusu haki kwa sababu ninakwenda kwa Baba na hamtaniona tena; 11 na kuhusu hukumu kwa sababu mtawala wa ulim wengu huu amekwisha kuhukumiwa.

12 “Nina mambo mengi zaidi ya kuwaambia lakini hamwezi kuy apokea sasa. 13 Akija yule Roho wa kweli atawaongoza muijue kweli yote. Yeye hatanena kwa uwezo wake mwenyewe bali atanena yote atakayosikia. Atawafundisha kuhusu mambo yote yajayo.14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi.
 
Wacha kutuwekea vi katuni vyako hapa. Ukisoma yohana mbona unapata jibu kabisa kwamba aoanongelewa Mtume Muhammad.

Yohana 16:7-14Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
7 Lakini nawaambia kweli kwamba kuondoka kwangu ni kwa faida yenu kwa maana nisipoondoka, yule Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda nitamtuma aje kwenu. 8 Naye akija atauthibitishia ulim wengu kuhusu dhambi, haki na hukumu. 9 Kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini; 10 kuhusu haki kwa sababu ninakwenda kwa Baba na hamtaniona tena; 11 na kuhusu hukumu kwa sababu mtawala wa ulim wengu huu amekwisha kuhukumiwa.

12 “Nina mambo mengi zaidi ya kuwaambia lakini hamwezi kuy apokea sasa. 13 Akija yule Roho wa kweli atawaongoza muijue kweli yote. Yeye hatanena kwa uwezo wake mwenyewe bali atanena yote atakayosikia. Atawafundisha kuhusu mambo yote yajayo.14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi.

Hiyo Yohana 17:1-14 kuna Ujumbe ambao Yesu anasema ....'"Atamtuma'" sasa kwa nini unakataa Yesu ni Mungu, huku unaelewa wazi anaetuma Mitume ni Mungu halafu muham mad ni Roho hata mwenyewe kakataa hajui mambo ya Roho
17-surah-al-israa-the-night-journey-86-728.jpg
halafu lipi na wapi ambapo muhammad kafundisha alilo fundisha Yesu??? ref: Yesu anafundisha Peponi tutaishi kama Malaika muhammad anafundisha huko kuna ngonoka na mahulu.72 wenye makalio ft.40 ujiuji na unakata mauno mbele ya allah, huku una mudi anavyo serebuka mauno na mke wa firaun hhhhhh na dhakar itakuwa up-dated na kuwa pima.4 pia haita sinyaa tobaaa.. hayo Yesu kafundisha wapo??
muhammad si mtume wa Mungu na ushahidi kasome hayo maandiko
d11eac7dbdc8b2bceb0b3e8b22afdb43.jpg
umeona eeh
 
Hiyo Yohana 17:1-14 kuna Ujumbe ambao Yesu anasema ....'"Atamtuma'" sasa kwa nini unakataa Yesu ni Mungu, huku unaelewa wazi anaetuma Mitume ni Mungu halafu muham mad ni Roho hata mwenyewe kakataa hajui mambo ya Roho View attachment 662659 halafu lipi na wapi ambapo muhammad kafundisha alilo fundisha Yesu??? ref: Yesu anafundisha Peponi tutaishi kama Malaika muhammad anafundisha huko kuna ngonoka na mahulu.72 wenye maka

Kumbe anayetuma unamwita mungu?? Hivi hata askofu wako anapokutuma ufanye mambo ya kiroho huwa unamuona ni mungu wako??
 
Kumbe anayetuma unamwita mungu?? Hivi hata askofu wako anapokutuma ufanye mambo ya kiroho huwa unamuona ni mungu wako??
soko kama kilingeni halilipi hasira ndio ulete huku?? na kama hujaorodhesha mali zako kabla ya 30 usije ukalia na mtu±matunguli
489b0691f946d122a2a6693da690dab2.jpg
...dhahir eeh
 
hujenda tahiriwa tu lengo lako unune na soksi
871dd9af62fbd3d76035db406317984c.jpg


ni kweli hapo Yesu alikuwa ktk swalat hamsa Yeye baada ya kuona Utukufu wa Mungu ndipo akasujudu hawa nao baada ya kuona Utukufu wa Mungu nao wakasujudu View attachment 662468kusujudu ni hishma au ibada..manake tunawaona hawa nao wanasujudu View attachment 662470.....wewe unapo sujudu unaona nini mbele yako kama unaona makalio ya shehe sema Yesu alikataa kumsujudia ibilisi View attachment 662502 jee ule uchu wa ibilisi uliisha View attachment 662515 kawapata hadi anawapuliza mivutu tahadhari tumepewa sisi Wakristo kuhusu kubiduka biduka View attachment 662524 kama huna alama usoni gavana heri yako tunaukwepa huo muhuri wa ibilisi kama ebola hhhhhhhhh.....


Kwishnei unaleta Aya huku unajifanya hujui maana ya worship na sijda.
 
Kwishnei unaleta Aya huku unajifanya hujui maana ya worship na sijda.
umegoma tohara eeh sigda ni ule muhuri wa ibilisi usoni au mikononi aka tochi...hhhhhhhh...
 
Back
Top Bottom