MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 295
- 679
Picha ya Darasa chakavu lililojengwa kwa udongo na miti linalosambazwa mtandaoni na baadhi ya wanaharakati wa kidai kuwa darasa hilo ni la Shule ya msingi Litingi, kijiji cha Litingi, kata ya Nyangao, jimbo la Mtama, darasa hilo siyo halisi kwa mazingira ya sasa katika eneo hilo. Picha hizo ni ya zamani yaani ni mwaka 2015.
Ukweli ni kwamba Serikali ilishakuchukua hatua madhubuti ya Kujenga madarasa mengine Mapya Manne,matundu ya Choo,Ofisi za walimu na Matanki ya kuvunia maji.
Darasa hilo chakavu lilibomolewa tangu mwaka 2017.
Muonekano wa Shule hiyo Kwa Sasa ni kama inavyoonekana hapa. Tazama picha.
Serikali ipo kazini kuhakikisha inaendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kuwapatia wanafunzi elimu bora.
Ukweli ni kwamba Serikali ilishakuchukua hatua madhubuti ya Kujenga madarasa mengine Mapya Manne,matundu ya Choo,Ofisi za walimu na Matanki ya kuvunia maji.
Darasa hilo chakavu lilibomolewa tangu mwaka 2017.
Muonekano wa Shule hiyo Kwa Sasa ni kama inavyoonekana hapa. Tazama picha.
Serikali ipo kazini kuhakikisha inaendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kuwapatia wanafunzi elimu bora.