Ukweli kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar - 1964

Ukweli kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar - 1964

Newton's Law of Motion.......

To every action there is always an equal and opposite reaction:

9k=
myths-slavery.jpg


arab-slave-trade.jpg


Tanzania%20-%20Zanzibar%20-%20Slavenmarkt.jpg


Nafikiri Waarabu walikufa wachache sana ukilinganisha na wao walivyouza na kuuwa watumwa.

Kuwasafirisha tu wakiwa Africa, wengi sana walikufa. Sasa kuwabeba hadi Arabuni ndiyo kasheshe.

Wengi sana walienda Uarabuni ila cha ajabu hatuwaoni au kuwasikia huko akina Michael Jordan....

Je wale Waafrica wote walioenda Uarabuni, walipotelea wapi?

Kama kawaida ya Mipingo. Unamhurumia Muarabu matatizo yake badala ya kujihurumia wewe na matatizo yako.

Umasikini na maradhi yamekuzunguka kibao. Leo unalia na matatizo yaliyowapata Waarabu kwa sababu tu kuna Film.

Hivi ukionyeshwa film ya utumwa utasemaje?

Kaangalie ile film ya utumwa alicheza Omar Sharrif iitwayo ASHANTI na pia angalia ile picha iitwayo LA AMISTAD.

Hivi hawa Waarabu, wao waliuwa wangapi huku Africa.......?????

Katika hizo picha ulizo bandika:

1) Ya kwanza inaonesha kundi la watu wamekusanyika kupiga picha, which was big event then. So, inamaanisha nini?

2) Ya pili ni ya kuchora, background ni milima, hiyo milima hakuna Zanzibar. "significance"?

3) "Masanamu yao yatafanana nao", yalitengenezwa lini hayo masanamu? na nani?
 
This is not true event. The person who made this video has intention of destabilizing our peace. These are cloned picture and are not the real event. The person who made and posted it here is trying to irk sectereian division between Muslims and christian in Tanzania. We need to condem this barbaric behaviour. There was brutal assisanation of arabs but not to this extent. For some of us with litle reasoning ability, analysis and synthesis, we are easily traped by such fake posting. This will result to mistrust among us Tanzanian.
 
Njoo nikuhadithi, wengine hatuongozwi na video-vinginevyo hao wenye helcopter ndio waliofanya unyama huo, waliwezaje kuandaa hizo helcopter na kuchukua hizo picha hali ya kuwa wanasema kilichofanyika ni uvamizi-istoshe yale mauaji ya zanzibar hayakuchukua siku nyingi kiasi hicho ilikuwa ni just half a day revolution. Ngoja uone tutakavyotengenezewa picha za libya ndo utaona watu hawafai. I repeat again this is highly illusion kama yale mapicha ya akina hamza (vita vya uhud, badr and the like) tuliokuwa tukiwekewa utotoni na TVZ. Nadhani umewahi kuziona nazo utasemaje? Acha ushamba tumia akili kijana

Hapana sijawahi kuziona hizo picha za TVZ, mimi si Mzanzibari ila nakwenda sana huko na huwa sina muda mrefu wa kutazama TVZ.

Kuhusu ulionihadithia ni kweli ilikuwa ni muda mfupi kama usemavyo. Kuhusu "illusion" kwa hiki siamini. Nilifikiri utanipa mkasa wa mapinduzi yalivyokuwa kumbe umeongelea "time frame".

Naomba soma hapa: NYERERE AGAINST ISLAM IN ZANZIBAR AND TANGANYIKA
 
Katika hizo picha ulizo bandika:

1) Ya kwanza inaonesha kundi la watu wamekusanyika kupiga picha, which was big event then. So, inamaanisha nini?

2) Ya pili ni ya kuchora, background ni milima, hiyo milima hakuna Zanzibar. "significance"?

3) "Masanamu yao yatafanana nao", yalitengenezwa lini hayo masanamu? na nani?

Kweli Majimshindo, hata wewe nakuona hapo kwenye hiyo picha ulikuwepo; wa nne toka kushoto waliokaa chini-na kile kitumbo vipi bado unacho shehe?
 
This is not true event. The person who made this video has intention of destabilizing our peace. These are cloned picture and are not the real event. The person who made and posted it here is trying to irk sectereian division between Muslims and christian in Tanzania. We need to condem this barbaric behaviour. There was brutal assisanation of arabs but not to this extent. For some of us with litle reasoning ability, analysis and synthesis, we are easily traped by such fake posting. This will result to mistrust among us Tanzanian.

I think what you should have said "this is too horrible to be true". Hii mitandao ya intaneti na ma tv na ma satalaiti tv imetupa fursa ya kuona historia ya kweli. Hapa sasa ndio utaelewa kwa nini nyerere alikuwa amefunga milango yote ya kupatia habari za nje ya Tanzania.
 
Kweli Majimshindo, hata wewe nakuona hapo kwenye hiyo picha ulikuwepo; wa nne toka kushoto waliokaa chini-na kile kitumbo vipi bado unacho shehe?

Labda huyo ni babu yako. Muungano in true sense.
 
My dear I don't like Nyerere because he failed as a leader and I can clarify that if needed.

I know many blacks and whites of Nyerere.

Lakini katika swala hili la mapinduzi ya Zanzibar, anayekuja na kusema Nyerere alihusika basi awe na evidence.

Upelelezi wangu wa uhakika siyo kukurupuka unaonyesha kuwa kuna kila dalili ya kuwa Nyerere hakuhusika katika kupanga mapinduzi hayo.

Nyerere alitofautiana na Nkrumah kuhusu kuunganisha Africa, Nyerere alitaka regions ziunganike, na kwa msukumo wa mataifa ya magharibi ambao walipenda idea ya Nyerere zaidi! kwani kuunganisha africa kulikuwa aidha faida kubwa kwao au risk kubwa kwao... waliona ni bora sana idea ya Nyerere.

wakiwa kwenye mchakato wa kuunganisha nchi za maziwa ndipo mapinduzi yakatokea na kuharibu ndoto za kuuanganika kwa east africa kwa miaka hiyo ya sitini mwanzoni. Mapinduzi yaliharibu mipango ya Nyerere, na huku akiwa ametengwa na wenzake, the only solution iliyompa amani Nyerere kutimiza adhama yake ni muungano feki wa TANGANYIKA NA ZANZIBAR.

Nyerere alishtuka kusikia mapinduzi, ndiye alimwita okelo na kukaa naye sana kujua misimamo yake, Hifadhi ya wahanga waliopinduliwa ilikuwa Tz. Nyerere alikasirika sana hayo mapinduzi, lakini lengo lake lilikuwa palepale kuwa lazima regions ziunganike. Nyerere kuna uhakika alimlazimisha Karume waungane kwani Karume hakutaka, kipindi ambacho askari wa bara walienda kuleta amani visiwani. Karume alitishiwa kuondoshwa kwa majeshi haya ya Tanzania na kuwa Okello atarudi kuamnua upya nani awe rais. Nyerere alichukua maadamano kama opportunity! All clever person does that!

I may be disputed by this information, kwani hazijaandikwa sehemu,

Ila Nyerere hakuhusika na mapinduzi waka hakuyapanga, ila Nyerere alilazimisha muungano kwa hali tete iliyokuwako, zaidi aliwafurahisha waliomtuma na alitimiza haja yake kwenye medani ya nchi za kiafrika kuwa anasimamia anachokiamini.

[FONT=Times,Times New Roman]"Without any question, the manner and the implications of the union between Tanganyika and Zanzibar is the most misunderstood aspect of Tanzania's political development. It may not matter very much when foreigners get confused, but unfortunately there are many times when Tanzanians themselves appear to misunderstand it."[/FONT] [FONT=Times,Times New Roman]Former Tanzanian President Julius Nyerere.[/FONT] [FONT=Times,Times New Roman]Dar es Salaam Government Printer, July 1970. p. 3.[/FONT]


In the Euro-Christian parlance, Nyerere was a serious bulwark against what was believed as Communism in Zanzibar. This was concorted and by the American Government. because the book, US Foreign Policy and Revolution: the Creation of Tanzania by Amrit Wilson revealed some official US documents, including from the CIA that regarded Nyerere as the only "responsible" African leader to suppress (Islam in) Zanzibar which was erroneously equated with communism during the Cold war. Before the creation of Tanzania in 1964, Nyerere was frequently heard and so quoted that he wished he could tow out Zanzibar into the Indian Ocean, if he can. Tanzania received more Western aid per capita than any other African country. But to many Islamists in Zanzibar, Nyerere is a devout Catholic and Crusader against Islam in Zanzibar though it was only recently that the book "The Course of Islam in Africa" by Mervyln Hiskett indicated that the Union was imposed by Nyerere for Crusade against Islam in Zanzibar:

Union was imposed on the Muslims of Zanzibar by Nyerere, a militant Christian and his henchmen Okello against the will of the Zanzibari people, and that has been followed by a deliberate campaign to extinguish the Islamic character of Zanzibar under a secular constitution." (p. 170).

Soma zaidi: NYERERE AGAINST ISLAM IN ZANZIBAR AND TANGANYIKA
 
Hapana sijawahi kuziona hizo picha za TVZ, mimi si Mzanzibari ila nakwenda sana huko kwa kuwa nimeowa huko na huwa sina muda mrefu wa kutazama TVZ.

Kuhusu ulionihadithia ni kweli ilikuwa ni muda mfupi kama usemavyo. Kuhusu "illusion" kwa hiki siamini. Nilifikiri utanipa mkasa wa mapinduzi yalivyokuwa kumbe umeongelea "time frame".

Naomba soma hapa: NYERERE AGAINST ISLAM IN ZANZIBAR AND TANGANYIKA

Sikiiza Maji Mshindo, Sehemu ambazo mauaji yalifanyika sana ni zile za wilaya ya kati(sory siwezi kutaja maeneo specific) tena lilikuwa ni tukio la mara moja baada ya hapo hata hao waliofanya hivyo wakajutia walichokifanya-Ni kweli yalifanyika lakini si kwa scope hiyo. Na wao wakati wanafanya mauaji hayo si katika kupinduwa kwa sababu mapinduzi yalikuwa mjini hayakuwa huko mashambani isipokuwa waliingiwa kama na ushawishi au hamasa flani vile hasa pale waliposikia matangazo ya mtu wasiyemjua katika redio. Pia ukiangalia hii picha utaona kama kuna image ya barabara ya mikoa ya kusini(Makunduchi, Jambiani, Bwejuu, Kizimkazi)-unfortunately mikoa ya kusini haikuwa na barabara nzuri kiasi hicho, so this is ILLUSION dogo siyo kweli. Lah kuhusu Nyerere hata mi si mpendi kwa kuwa hakuwa fair kwa waislamu hilo halina ubishi ni kweli. Kama alisimamia umoja kwa dhati ya moyo wake vipi Taifa hilo ligawanyike katika elimu baina ya waislamu na christian, vipi alishindwa kusimamia utambuzi wa mchango wa kupigania uhuru kwa wote. Aidha kuhusu Muungano ni kweli alitumia "un fair justification" kumshawishi Karume kuingia Mkataba wa mashaka kama ulivyo Muungano huu. Lakini bado nafasi bado ilikuwepo na ipo ya kuendea mipango thabiti ya kuleta maendeleo zanzibar ndani ya Muungano bila kuhusisha Tanganyika. Bahati mbaya baada Karume, waliofuata walikuwa wana mipasho, wabinafsi, wakabila wasiokuwa na malengo ya kweli-hali iliyopelekea wel elite person kuikimbia Zanzibar kwenda nchi nyengine Duniyani ikiwa pamoja na Tanganyika...... aiseeee!
 
[FONT=Times,Times New Roman]"Without any question, the manner and the implications of the union between Tanganyika and Zanzibar is the most misunderstood aspect of Tanzania's political development. It may not matter very much when foreigners get confused, but unfortunately there are many times when Tanzanians themselves appear to misunderstand it."[/FONT] [FONT=Times,Times New Roman]Former Tanzanian President Julius Nyerere.[/FONT] [FONT=Times,Times New Roman]Dar es Salaam Government Printer, July 1970. p. 3.[/FONT]


In the Euro-Christian parlance, Nyerere was a serious bulwark against what was believed as Communism in Zanzibar. This was concorted and by the American Government. because the book, US Foreign Policy and Revolution: the Creation of Tanzania by Amrit Wilson revealed some official US documents, including from the CIA that regarded Nyerere as the only "responsible" African leader to suppress (Islam in) Zanzibar which was erroneously equated with communism during the Cold war. Before the creation of Tanzania in 1964, Nyerere was frequently heard and so quoted that he wished he could tow out Zanzibar into the Indian Ocean, if he can. Tanzania received more Western aid per capita than any other African country. But to many Islamists in Zanzibar, Nyerere is a devout Catholic and Crusader against Islam in Zanzibar though it was only recently that the book "The Course of Islam in Africa" by Mervyln Hiskett indicated that the Union was imposed by Nyerere for Crusade against Islam in Zanzibar:

Union was imposed on the Muslims of Zanzibar by Nyerere, a militant Christian and his henchmen Okello against the will of the Zanzibari people, and that has been followed by a deliberate campaign to extinguish the Islamic character of Zanzibar under a secular constitution." (p. 170).

Soma zaidi: NYERERE AGAINST ISLAM IN ZANZIBAR AND TANGANYIKA

With all due respect, Nyerere by anymeans was not involved in such revolution. What makes people to think he did that because they are connecting dots, his earlier plans, inviting Okello and Time span btn Revolution and Union of these two countries was very shortl! But there is an evidence from people who were closed to Nyerere that he was not aware and he was shocked.

Because articles like this are normally written by some muslims with their own intention. Let me be clear in this; By Nyerere uniting Tanganyika and Zanzibar he was not only suppressing islams but all his people!, Mainlander did not give consent to Nyerere they were dragged , this have happened in many things.

Nyerere had no secret agenda about Muslims, there was no way or proof that he dislikes muslims, Nyerere was kind of dictator. period

Here is a bit of confusion Nyerere's dictatorship muslims today are taking as their main agenda but is the same scenario that Christian would say if we were to discuss leadership!

Lets challenge his leadership ability and his decisions, not because he is catholic , I am christian will never by anyway protect Nyerere, will discuss and analyse what is truth and truth only. To date I have not seen and evidence that show Nyerere supressed muslims by anyway.

What kills muslim is inferiorty complex not Nyerere.

Kuondoa vyama vingi, kuweka katiba ya kifalme, kupiga kura za kichwa na kivuli, kusema zidumu fikra zake hili sio swala la uislamu , akitokea muislam akasema Nyerere aliyafanya haya eti kuwa supress tutampima akili. Nyerer alikuwa ana ka-udikteta fulani na hii sio ajabau kwani ujamaa na kujitegemea una advocate udikteta. Lakini hizi tuhuma za KI-UONGOZI ZA NYERERE ZIKUTUMIWA ETI NI KUWA ALIPANGA KUWANYIMA HAKI WAISLAMU, SISI WAKRISTO TUTAWASHANGAA! NA HII ITADHIHIRISHA UBINAFSI NA SIO FAIR KWA WENGINE.
 
Sisi tunahangaika kutafakari tutakula nini kesho ila kuna binadamu wengine wanapoteza muda wao kujenga chuki na uadui. Sasa mpaka wameamua kutengeneza videos za propaganda! arghh! the guy is gone! you need to grow up and move on too!
 
Unataka kusema kuwa Mapinduzi ya Zanzibar aliyafanya Nyerere au Wanzanzibari? hebu toweni ujinga wenu huko. Nyerere has got nothing to do with this. Na hakuna hata Mtanganyika 1 aliyewahi kufanya Mapinduzi huko ZNZ. Hizo zote ni chuki zenu kwa Watnganyika
 
With all due respect, Nyerere by anymeans was not involved in such revolution. What makes people to think he did that because they are connecting dots, his earlier plans, inviting Okello and Time span btn Revolution and Union of these two countries was very shortl! But there is an evidence from people who were closed to Nyerere that he was not aware and he was shocked.

Because articles like this are normally written by some muslims with their own intention. Let me be clear in this; By Nyerere uniting Tanganyika and Zanzibar he was not only suppressing islams but all his people!, Mainlander did not give consent to Nyerere they were dragged , this have happened in many things.

Nyerere had no secret agenda about Muslims, there was no way or proof that he dislikes muslims, Nyerere was kind of dictator. period

Here is a bit of confusion Nyerere's dictatorship muslims today are taking as their main agenda but is the same scenario that Christian would say if we were to discuss leadership!

Lets challenge his leadership ability and his decisions, not because he is catholic , I am christian will never by anyway protect Nyerere, will discuss and analyse what is truth and truth only. To date I have not seen and evidence that show Nyerere supressed muslims by anyway.

What kills muslim is inferiorty complex not Nyerere.

Kuondoa vyama vingi, kuweka katiba ya kifalme, kupiga kura za kichwa na kivuli, kusema zidumu fikra zake hili sio swala la uislamu , akitokea muislam akasema Nyerere aliyafanya haya eti kuwa supress tutampima akili. Nyerer alikuwa ana ka-udikteta fulani na hii sio ajabau kwani ujamaa na kujitegemea una advocate udikteta. Lakini hizi tuhuma za KI-UONGOZI ZA NYERERE ZIKUTUMIWA ETI NI KUWA ALIPANGA KUWANYIMA HAKI WAISLAMU, SISI WAKRISTO TUTAWASHANGAA! NA HII ITADHIHIRISHA UBINAFSI NA SIO FAIR KWA WENGINE.

Kwa kuwa ushasema kuwa wewe ni mkiristo, ni dhahir kwamba hujaonja joto la kuwa "oppressed" kwenu. Soma:

During the leadership of Nyerere (1961-Present), the Christians had much freedom of their religion as guaranteed in the secular constitution, as hypocritically practiced in all other secular states. Their freedom includes secularization and evangelization of the Muslims, who were not allowed to organize themselves independent of the central authority. The Muslim affairs were articulated through a weak and corrupt organization called Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, the Supreme Council of Tanzania Muslims (BAKWATA), which works under the protection and guidance of the government. The absence of an independent Muslim body to represent Muslims created a spiritual vacuum in Tanganyika. For three decades (1961-1990), Muslims could not exert any meaningful influence in their society according to their religion. In a bid to end this status quo, Muslims managed to form Umoja wa Wahubiri wa Mlingano wa Dini (Union of Preachers for Propagation of Religion) better known as UWAMDI, whose Secretary General is Sheikh Swaleh Uthman Ngoy. The publication of UWAMDI known as Mizani (The Balance), is very much concerned with the quality of Muslim leadership in Tanganyika because right from the start in 1990, it expressed concern about the way BAKWATA, a body created by the Nyerere's government in December 1968 to lead exclusively Muslims in Tanganyika.

Jee, kama mkristo ushafanyiwa kitu kama hiyo na serikali? ya kuundiwa chama cha kikristo ndio kiongoze mambo yenu yote?

Soma zaidi: NYERERE AGAINST ISLAM IN ZANZIBAR AND TANGANYIKA
 
It has got nothing to do with elections, no justification at all. Ni zaidi ya unyama.

Was that Unyama done only by Nyerere or Dark Skinned Muslim Blacks in Zanzibar? If ZNP or whatever ZPPP joined ASP who had one delegete more than ZPPP allowed to form a government this would not have happened-- THEY WERE ROBBED their JUSTICE JUST BECAUSE OF THEIR SKIN COLOR.

How about Dark Skin killed during uprising? 500 arabs more than 1,000 Dark skin Muslims.

Nyerere was there for the rights of the black skinned Muslim as he does for Mozambique, Angola; he just to happen to be a Christian that is all these demagogues...

Look now Bahrain - Minority Ruling over the Majority; Minority Sunni Ruling over Minority Sunni
Egypt - Few Elites over Poor Minority
Rwanda - Few Minority Tutsi over Majority Hutu's
Oman - Royal Family over Majority

A fully functional multiracial society cannot be achieved without a sense of history and open, honest dialogue.
 
Was that Unyama done only by Nyerere or Dark Skinned Muslim Blacks in Zanzibar? If ZNP or whatever ZPPP joined ASP who had one delegete more than ZPPP allowed to form a government this would not have happened-- THEY WERE ROBBED their JUSTICE JUST BECAUSE OF THEIR SKIN COLOR.

How about Dark Skin killed during uprising? 500 arabs more than 1,000 Dark skin Muslims.

Nyerere was there for the rights of the black skinned Muslim as he does for Mozambique, Angola; he just to happen to be a Christian that is all these demagogues...

Look now Bahrain - Minority Ruling over the Majority; Minority Sunni Ruling over Minority Sunni
Egypt - Few Elites over Poor Minority
Rwanda - Few Minority Tutsi over Majority Hutu's
Oman - Royal Family over Majority

A fully functional multiracial society cannot be achieved without a sense of history and open, honest dialogue.

Whatever the reasons maybe, they do not justify mass killings.
 
Unataka kusema kuwa Mapinduzi ya Zanzibar aliyafanya Nyerere au Wanzanzibari? hebu toweni ujinga wenu huko. Nyerere has got nothing to do with this. Na hakuna hata Mtanganyika 1 aliyewahi kufanya Mapinduzi huko ZNZ. Hizo zote ni chuki zenu kwa Watnganyika

"Saint Nyerere" yake ni mema tu.
 
Oh Boy I thought the topic was about Zanzibar Revolution of 1964 and not the religion hate... well did he kill Bakwata and Dark Muslim's in Zanzibar as well? A fully functional multiracial society cannot be achieved without a sense of history and open, honest dialogue.

"There's a need for clouds, the wind, the moon, the sun, and the solar system. So that you may find a piece of bread and eat it thoughtfully! Everything has been put in order and obeys command for your sake - It won't be just, it you do not obey."
 
Kwa wasiojua historia ya watumwa udhani watumwa wakipelekwa arabuni! hawajui kwambapale unguja palikuwa na mei ya waingereza ndio iliyokuwa ikiwasafirisha kuwapeleka............... someni mjue ukweli sio kila kitu mnalishwa na kuamini!

Kweli Mwarabu alifanya biashara ya kuwakusanya na kuwauza watumwa na mwingereza aliwanunua na kuwatumikisha ikiwamo kuwaua pia! Hamjiulizi kwanini biashara ya utumwa ilikomeshwa?

Na wajinga wengi hawajui kwanini nchi za kusini mwa Amerika zimejaa watu wa asii ya masharki ya kati! wala hawahitaji kujua walifikaje huko!?
 
Whatever the reasons maybe, they do not justify mass killings.

Check your history again no black skinned from Tanganyika get involved only the Dark Skin Zanzibari's and the guy from Uganda.

It seems that you are a light skin and you still cannot take it Zanzibar is under Dark Skilled Muslim???
 
Back
Top Bottom