Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Wale hawaombagi tu hela waga wanatenda ile dhambi mbaya pia.... Yaani wamexico,wazanzibari,wamarekani,wasomali wakuache hivihivi...
Baadhi ya watu wana akili mbovu sana.Wewe ni mmoja wao wakati ile ni biashara haramu ya watu wanachohitaji ni pesa tu sio lingine.Na Wamexico ndio waliokuwa na wanaovusha watu wengi kutokea kwao Mexico kuingia Marekani.Halafu usichokijua ni kwamba Canada na Marekani hakuna Ukuta au uzio wowote sehemu kubwa ipo wazi unaweza hata kuvuka bila kukamatwa,Utakamatwa ukishavuka ukawa upo Canada.Ila Mexico na Marekani kuna Ukuta Mkubwa sana huwezi kuvuka kirahisi lakini still Wamexico ukiwapa pesa Wana njia zao wanakuvusha kutokea Mexico kuingia Marekani ila border Patrol ni kubwa sana Upande wa Marekani.Nimejifunza mengi hapa Canada nimekutana na Wazanzibari kibao na Wasomali kibao nao wamevushwa kutokea Mexico mpaka Canada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nakanyaga Marekani, aisee watanirudisha bongo labda nikiwa nime-dead..!

Niache kuonana na akina toni braxton,akina jhene aiko..nirudi bongo kufanya nini!
Sasa unamtangazia nani....au unatafuta huruma ya mtoa mada....
 
Fuucckkk... Thread.. No supporting docs..
Atleat some pics..the adventurous..strange scenes..

Fk
 
Kwani hata kupiga picha hilo wingu la nje shng ngapi!?!??

Just snap that Ass hole fucker Sky
 
Acha hope zisizo na mashiko...angetoboa wapi?

Wangapi wanapata hizo milioni 6 halafu hawatoboi.
Nimempenda huyo jamaa..waeza kua hata na 20m bongo..ukashindwa izalisha na ikaisha.. sababu kubwa ni kukosa exposure..
Nimempenda sana jamaa aliejilipua, naezasema ame-take maximum risk... big up mzee. Kwa wale risk takers tunamuelewa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lililopo ni kwamba hakuna guarantee ya moja kwa moja kama angebaki akaizungusha hiyo pesa angefanikiwa.

Na pia sio kwamba mbele nako kurahisi kivileee. Ila mimi mtu akiniambia bongo maisha ya utafutaji marahisi kuliko Canada nitabisha maana tumezaliwa Bongo tunaijua vizuri...
 
Ni kweli mkuu, yawezakua hakuna guarantee, muhimu hapo ni exposure kaka... tunahitaji sana hii kitu ili tufanye maajabu kwetu na jamii kwa ujumla. Jamaa amechagua njia hiyo kupata exposure..
Amini kitu kimoja mtembea bure sio sawa na mkaa bure..
Ukiniuliza mimi nitakuambia Hapa bongo kuna fursa nyingi sana kuliko Canada .. Ndio zipo..! ila huezi kuziona kama umekaa tu sehemu moja..hata humuhumu ndani ya bongo hutembei!!
Muhimu ni kutoka , pata exposure then rudi home wekeza nina uhakika ukiwa na shauku ya kufanikiwa..lazima kieleweke.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachosema ni kweli kabisa ila wabongo ni watu wa fuata upepo,USA in cheap kuishi kuliko Canada kodi kibao
 
We jamaa mbona una kimbelembele sana,una-quote kila mtu angalia usiwe ka demu,posti nyingine unazipotezea tu
Acha jazba za kindezi....unafikir marekani ina huruma na watu ka nyie....wenzio wanatafuta njia waingie Canada kutoka US....hujiulizi..
 
Acha jazba za kindezi....unafikir marekani ina huruma na watu ka nyie....wenzio wanatafuta njia waingie Canada kutoka US....hujiulizi..
Kila mtu na mtazamo wake wengine wanatoka canada wanaingia Marekani,hujiulizi!

Eti marekani ina huruma,we inaonekana ni muoga sana,watu wanaingia Marekani kila leo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…