Aisee!Niima kama umechoka kukaa bongo nakufanyia mpango uende canada ni nchi rahisi kupokelewa na kuishi kazi ni nyingi kule
Mimi nitaendaje? Nitakuombea barua ya mwaliko kwa ndugu yangu anayeish canada hyo itakusaidia kupata pasport na ww kwenda canada , ukishafika airport ya canada hakikisha unaharibu pasport yako na nitakupa maelekezo ila tu jua mwishoni utakamatwa na kuhojiwa sana kubali umetoka tanzania na ww ni msagaji(lesbian) ila nchini kwetu hawataki hichi kitu .
Not maswali yatakuwa mengi na nitakueleza ila mwisho wa siku jua utaishi canada na kuinjoy life
Wazanzibar ni balaa na huyu kazunguka.karibu nvhi zote dunaini(alikuwa anaendesha meli kubwa ) keshazeeka sasa kapumzika tu ,,
Kama umeamua kuishi huko usiyakumbuke makosa yako , jisamehe na kusonga mbele , shit happens so usijilamu sana songa mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikupongeze kwa uthubutu ulionao, kuna usemi usemao mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguka we komaa
nambie mji ulipo tutafutane( mi mwenyewe mgeni tu)
Akizoea atazileta tu kama kaamua kutushirikisha jinsi alivyojilipua basi picha sio ishu
Mzee baba huko ZenjibarWale jamaa walijua tulikuwa tunatafuta chimbo tuwagon** maana walikuwa wawili na sisi tulikuwa wawili, ila sikujali sana maana kipindi hiko niko msela sana sijali kitu, tukaagana nao wakasema watakuja kesho kufika asubuhi tukahama gesti.
Vuta subracan't be serious [emoji23]
Kwani aloleta mada katania? Nimekumbuka hii kitu niliambiwa 2018 na budget yote ..Aisee!
Upo serious au unaleta utani?
Nilitumia Kama dola 3000 ila mimi nililipiwa gharama na ofisi japo nilisaliti nikazamia.Kumbuka nilitumwa na ofisi yangu ila sina ujanja wowote wa kumsaidia mtu kupata visa au kuja huku.
Kuwa mbali na familia ni maumivu mzee.A3M,
Mie kwenye uzi wako wa kwanza niliandika sentensi moja tu.
Kumbuka umeacha mke na watoto.
Wewe matarajio yako yalikuwa ni yapi? Unajutia uamuzi wako? Kwanini?
Msaada mkubwa ni kuwaeleza watu kuhusu maisha ya huku na ya ukimbizi.Naomba watu msinisumbue Private kutaka niwafanyie mchongo mimi sina uwezo wowote wa kumsaidia mtu Zaidi ya kutoa mawazo tu.Hongera sana mkuu kwa kupambana mpaka ulipofika!
Kikubwa nakutakia upambanaji mwema, saka hela na uwe na nidhamu nazo ili uweze ku save zaidi.
Kamwe usiwasahau watoto na mkeo ndugu yangu make huwezi jua pengine sala zao zimechangia pakubwa ww kupata vibali.
Chukulia kama upo vitani na ushindi wake ni ww kurudi home ukiwa na ngawila za kutosha na wakati huo utakuwa tayari ushafanya uwekezaji wa kufa mtu huku.
Binafsi naamini utakuwa wa msaada kwetu wana jamvi pale tutakapo kuhitaji.
Usiwe mchoyo wa hints make hata ww umepewa mchongo na good people
Aluta continua...
Ndiyo wanajua vizuriJe, bado unawasiliana na familia yako na wanajua hali halisi?
Isome stori yangu vizuri,Sijasema kuna kambi mpakani.Hujasoma Thread vizuri Una comment utumbo mzee.Acha kupongeza uongo wewe tuambia uko kambi gani canada
Huyo jamaa yako anakataa nini kuwa marekani kutembea kwenda state nyngne lazma uwe na vitambulisho
Ongea kwa matendo weka vitambulisho watu wathibitishe acha maneno
CANADA HAKUNA VITUO VYA KUPOKEA WAKIMBIZI MPAKANI.
Ndugu jambo usilolijua usiseme ni uongo.Hamas totally no muongo ,je aliojiwa kwa light Gani hwakuwepo wasomali wa kumchalenge lugha,alikua hana kitu chochote kile?
Sent using Jamii Forums mobile app