Khaaa ..tumezoea wanaume ndio wawatongoze wanawake je huko kukoje binti ndo ana nafasi ya kumtakamume au inakuaje
Usinikumbushe... yaani usinikumbushe. Kuna dada mmoja wa kihindi aliniachia chawa... vidogo vidogo...vyeusi tiii, vinawasha zaidi ya washa washa. Mimi kila siku nasikia mwasho kwenye ma*vuz* najikuna wee mpaka karibia underwear zitoboke. Nikadhani ni mba. Siku moja nikakaa juani na kuangalia... mama wee.. vichawa vidogo vidogo vyeusiii. Mpaka uangalia kwa makini ndiyo uvione. Nikapiga kiwembe na kupaka mafuta ya taa juu ndiyo vikaisha.
Hakuna ma dada Poa wa kihindi huko? kwamba kwakua wanabana papuchi yao mtu uwende kujisevia wa madanguro.
hiyo ilikuwa zamani mkuu, mm Dada angu ameolewa na muhindi pure sasaivi mwaka 6 huu na wamezaa watoto 2.Halafu eti wahindi wa hapa bongo wanakataza mhindi mwanamke kuolewa na Mtz mweusi pia mwanaume mhindi ni marufuku kuoa MTz mweusi, Hivi hii imekaaje eti ni Kweli jamani?
Kama ni Kweli Mbona ni ubaguzi wa Hali ya Juu?
Kuna dada mmoja wa kihindi (Baniani) alijiua baada ya kukataliwa na wazazi wake kuolewa Na MTz mweusi!
Walikuwa wanaishi pale Tegeta Kibaoni by night opposite!
Wahindi Kwani sisi mnatuonaje?
Mbona sisi hatuoni Tabu kuoa au kuolewa na ninyi wahindi?
na kwamsingi huo munaouelezea hapa, hivi hata guest house zipo kweli?Wapo ila ni ni very expensive!! Wanaitwa escorts kwa kule na unafanya booking online.
Wanatakaga ruppee 20,000 hadi 40,000 kwa usiku!! Na akijua wewe ni foreigner inapanda zaidi. Mie nishakataliwa kama mara tatu hivi baada ya kujua ni foreigner tena black madai yao eti tunasimamia dede show kama unatafuta madini then wasumbufu kulipa na wengine wana mibolo mikubwa inawaumiza
Ndo mana ukienda Mjini Idadi ya Wahindi waliodata inaongezeka kwa kasi, kumbe ww ndo Kichocheo???Ila Mimi siwapendi wahindi asee...bahati mbaya nina mkosi nao,mi siwapendi but wao full kudata!
Naskia wanawake ni wachache sana kwao cjui kwelNasikia criminal rate kwa maana ya ubakaji wapo juu sana huko.
ama ndio kusema wanabana hivyo vipochi nyoya mpaka wanabakwa?
ww umeyajua hayo mbona hujatafuta jtueleze sababu usilazimishe kilamtu awaze unachotaka wwKuhangaika kote kwenda huko ama kimasomo ama kwa sababu nyingine, observation yako ndio ilipoishia hapo ??? Tulifikiri ungetuambia kwanini vijana wao wamekuwa CEOs wa US corporates, n.k au vipi wanakabiliana na changamoto za kimaisha and so on ?
Umenichekesha hapo eti wanakunya mavi na kukojoa barabarani...jamani khaa!!
Ilikuwa lidogo niseme huyu bwana pamoja na tembea yake hana anachokijua kuhusu India!Kuhangaika kote kwenda huko ama kimasomo ama kwa sababu nyingine, observation yako ndio ilipoishia hapo ??? Tulifikiri ungetuambia kwanini vijana wao wamekuwa CEOs wa US corporates, n.k au vipi wanakabiliana na changamoto za kimaisha and so on ?
unanidanganyaIla Mimi siwapendi wahindi asee...bahati mbaya nina mkosi nao,mi siwapendi but wao full kudata!
Familia ya binti ndiyo inaamua binti yao aolewe na nani!! Kumbuka kuna classes huwezi kuziona katika hali ya kawaida ila kiukweli wahindi wanabaguana sana wenyewe kwa wenyewe!!
Mfano!! Ukoo wenyewe status kubwa ni wale Sikh (Kalasinga au Singasinga) huwezi kuwakuta masikini au omba omba!! Vivyo hivyo usitarajie watatokea kuoa au kuolewa na ukoo mwingine!!
Ndoa zinakwenda kwa status India!!
Mkuu mimi nilikuwa siumizi kichwa sana nilikuwa natimba zangu GB ROAD kuchuja fresh tu.Hello guys
Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.
Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.
Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:
1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo
Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu
Duuh kwahiyo ulipata zari la mentariNi stori ya kweli wakuu...ninachotaka kuwaambia tu ni kwamba hawa watu wanalika tu vizuri.
Kikubwa ni yeye apende kuwa nawe na siyo wewe upambane kumtongoza ukidhani utafanikiwa kumshawishi.