Ukweli kuhusu maisha ya India

Ukweli kuhusu maisha ya India

Umenikumbusha NYUMBANI.. PAHAR GANJ.....maisha ya CINEMA tupu. , ,,niliyoishi hapo
 
Mleta mada kwahiyo ulikuwa mwanachama wa CHAPUTA kwa muda wote uliokaa India!?.
 
Ko nikienda siwez kung'oa kigori mkuu na veep wanawake waloolewa ni wadangaji kama bongo?
 
Khaaa ..tumezoea wanaume ndio wawatongoze wanawake je huko kukoje binti ndo ana nafasi ya kumtakamume au inakuaje

Familia ya binti ndiyo inaamua binti yao aolewe na nani!! Kumbuka kuna classes huwezi kuziona katika hali ya kawaida ila kiukweli wahindi wanabaguana sana wenyewe kwa wenyewe!!

Mfano!! Ukoo wenyewe status kubwa ni wale Sikh (Kalasinga au Singasinga) huwezi kuwakuta masikini au omba omba!! Vivyo hivyo usitarajie watatokea kuoa au kuolewa na ukoo mwingine!!

Ndoa zinakwenda kwa status India!!
 
Usinikumbushe... yaani usinikumbushe. Kuna dada mmoja wa kihindi aliniachia chawa... vidogo vidogo...vyeusi tiii, vinawasha zaidi ya washa washa. Mimi kila siku nasikia mwasho kwenye ma*vuz* najikuna wee mpaka karibia underwear zitoboke. Nikadhani ni mba. Siku moja nikakaa juani na kuangalia... mama wee.. vichawa vidogo vidogo vyeusiii. Mpaka uangalia kwa makini ndiyo uvione. Nikapiga kiwembe na kupaka mafuta ya taa juu ndiyo vikaisha.

Kunguni na chawa ndiyo shida yao kubwa hawa jamaa!! Unaweza kulala hotel ya hadhi nzuri sana na bei kubwa lakini ukakutana kunguni!!!
 
Hakuna ma dada Poa wa kihindi huko? kwamba kwakua wanabana papuchi yao mtu uwende kujisevia wa madanguro.

Wapo ila ni ni very expensive!! Wanaitwa escorts kwa kule na unafanya booking online.

Wanatakaga ruppee 20,000 hadi 40,000 kwa usiku!! Na akijua wewe ni foreigner inapanda zaidi. Mie nishakataliwa kama mara tatu hivi baada ya kujua ni foreigner tena black madai yao eti tunasimamia dede show kama unatafuta madini then wasumbufu kulipa na wengine wana mibolo mikubwa inawaumiza
 
Halafu eti wahindi wa hapa bongo wanakataza mhindi mwanamke kuolewa na Mtz mweusi pia mwanaume mhindi ni marufuku kuoa MTz mweusi, Hivi hii imekaaje eti ni Kweli jamani?
Kama ni Kweli Mbona ni ubaguzi wa Hali ya Juu?
Kuna dada mmoja wa kihindi (Baniani) alijiua baada ya kukataliwa na wazazi wake kuolewa Na MTz mweusi!
Walikuwa wanaishi pale Tegeta Kibaoni by night opposite!
Wahindi Kwani sisi mnatuonaje?
Mbona sisi hatuoni Tabu kuoa au kuolewa na ninyi wahindi?
hiyo ilikuwa zamani mkuu, mm Dada angu ameolewa na muhindi pure sasaivi mwaka 6 huu na wamezaa watoto 2.
 
Wapo ila ni ni very expensive!! Wanaitwa escorts kwa kule na unafanya booking online.

Wanatakaga ruppee 20,000 hadi 40,000 kwa usiku!! Na akijua wewe ni foreigner inapanda zaidi. Mie nishakataliwa kama mara tatu hivi baada ya kujua ni foreigner tena black madai yao eti tunasimamia dede show kama unatafuta madini then wasumbufu kulipa na wengine wana mibolo mikubwa inawaumiza
na kwamsingi huo munaouelezea hapa, hivi hata guest house zipo kweli?
 
Umesahau kuhusu ukimwi mkuu,India ndiyo nchi namba 1 duniani kwa kuwa na maambukizo makubwa.
 
Mkuu uione k ukubwani kweli?? Huko hakuna machangudoa wanao uza??
 
Kuhangaika kote kwenda huko ama kimasomo ama kwa sababu nyingine, observation yako ndio ilipoishia hapo ??? Tulifikiri ungetuambia kwanini vijana wao wamekuwa CEOs wa US corporates, n.k au vipi wanakabiliana na changamoto za kimaisha and so on ?
ww umeyajua hayo mbona hujatafuta jtueleze sababu usilazimishe kilamtu awaze unachotaka ww
 
Umenichekesha hapo eti wanakunya mavi na kukojoa barabarani...jamani khaa!!

True, karibu kila mita 100 kuna public toilets ambazo hazihudumiwi ipasavyo... ni mwendo wa harufu tuu. Kwa ujumla ni wachafu sana na hii inachangiwa na wingi wao na historia ( Inasemekana Mahtma Ghandi aliwashauri wanye na kukojoa hovyo ili kuwafukuza Wazungu kwa staili hiyo ambao kiasili hawapendi uchafu)
 
Kuhangaika kote kwenda huko ama kimasomo ama kwa sababu nyingine, observation yako ndio ilipoishia hapo ??? Tulifikiri ungetuambia kwanini vijana wao wamekuwa CEOs wa US corporates, n.k au vipi wanakabiliana na changamoto za kimaisha and so on ?
Ilikuwa lidogo niseme huyu bwana pamoja na tembea yake hana anachokijua kuhusu India!
Amefanya exactly alichokifuata huko na kurudi huwezi kuizungumzia India na ku generalize kihivyo as if India ni sehemu ya kwenda wahuni wahuni tu wafuata mademu vipi mbongo jike akiamua kwenda huko hii hadith itarelate nae?na mambo kadhaa wa kadhaa!India chafu nchi nzima?India joto ni kweli huju kama india is like asub continent kuna maeneo joto na maeneo baridi pia?
 
Familia ya binti ndiyo inaamua binti yao aolewe na nani!! Kumbuka kuna classes huwezi kuziona katika hali ya kawaida ila kiukweli wahindi wanabaguana sana wenyewe kwa wenyewe!!

Mfano!! Ukoo wenyewe status kubwa ni wale Sikh (Kalasinga au Singasinga) huwezi kuwakuta masikini au omba omba!! Vivyo hivyo usitarajie watatokea kuoa au kuolewa na ukoo mwingine!!

Ndoa zinakwenda kwa status India!!

Singa singa wa kipato cha chini wapo ila ni kweli hakuna omba omba wa kisinga singa. Wamejiwekea utaratibu kama hana pesa ya kula basi anaenda Temple anapewa chakula bure na wana utaratibu wa kukopeshana.

Classes zipo na hapa juzi tuu kulikuwa na maandamano ya wale class ya chini kabisa kutaka wathaminiwe kama watu wengine.

Asilimia 60 ni Wahindu ambao wengi ni masikini. Singa singa ni asilimia chache sana na wapo zaidi Punjab na ndio maana pia wanaitwa waPunjabi.
 
Hello guys

Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.

Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.

Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:

1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo

Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu
Mkuu mimi nilikuwa siumizi kichwa sana nilikuwa natimba zangu GB ROAD kuchuja fresh tu.
 
Ni stori ya kweli wakuu...ninachotaka kuwaambia tu ni kwamba hawa watu wanalika tu vizuri.
Kikubwa ni yeye apende kuwa nawe na siyo wewe upambane kumtongoza ukidhani utafanikiwa kumshawishi.
Duuh kwahiyo ulipata zari la mentari
 
Back
Top Bottom