Hivi ni kweli kuhusu ndoa za wahindi mahari anatoa mwanamke
Kuhangaika kote kwenda huko ama kimasomo ama kwa sababu nyingine, observation yako ndio ilipoishia hapo ??? Tulifikiri ungetuambia kwanini vijana wao wamekuwa CEOs wa US corporates, n.k au vipi wanakabiliana na changamoto za kimaisha and so on ?
Ni stori ya kweli wakuu...ninachotaka kuwaambia tu ni kwamba hawa watu wanalika tu vizuri.Story hii
Khaaa ..tumezoea wanaume ndio wawatongoze wanawake je huko kukoje binti ndo ana nafasi ya kumtakamume au inakuajeTena familia ya binti itatoa mahari mingi kwa kijana handsome, msomi na mwenye mali!!
Ningekuwa mimi hapo VUMBI LA KONGO lingemhusu 100%Mwaka 2007 kuna intern mmoja demu toka India bomba kama wale wa kny movie zao alikuja hospital moja ya rufaa na wenzake wake kwa waume kama 9 hivi,sasa walikuwa na tabia ya kutembea wote kila mahali, nikamlia timing Siku ya jumapili akiwa call nikatest zali kuwa baada ya mda wa kazi twende kutembea nje ya mji akasema tuongozane na wenzake au wawili tuu..nikamjibu yeye aonavyo,basi akaniambia ngoja akaongee na wenzake kama watajisikia kwenda then tutaenda wote...mda ukafika akajakuniambia kuwa wenzake hakuwakuta kny room zao hivyo tunaweza kwenda tu...mwanangu unaambiwa Siku ile matembezi yaliishia chumbani kwangu...mambo yakaendelea hadi waliporudi kwao India.
racism tu mkuu hakuna kingine .utakuta jitu limezaliwa bongo kama mo lakini ati halijui kiswahiliMbna wahindi waliopo bongo wanajiweka km malaika
Si kweli rahisi hivyoMwaka 2007 kuna intern mmoja demu toka India bomba kama wale wa kny movie zao alikuja hospital moja ya rufaa na wenzake wake kwa waume kama 9 hivi,sasa walikuwa na tabia ya kutembea wote kila mahali, nikamlia timing Siku ya jumapili akiwa call nikatest zali kuwa baada ya mda wa kazi twende kutembea nje ya mji akasema tuongozane na wenzake au wawili tuu..nikamjibu yeye aonavyo,basi akaniambia ngoja akaongee na wenzake kama watajisikia kwenda then tutaenda wote...mda ukafika akajakuniambia kuwa wenzake hakuwakuta kny room zao hivyo tunaweza kwenda tu...mwanangu unaambiwa Siku ile matembezi yaliishia chumbani kwangu...mambo yakaendelea hadi waliporudi kwao India.
Nchi nzuri hari ya hewa nzuri hamna mabomu kwa nini wasijiweke kama malaikaMbna wahindi waliopo bongo wanajiweka km malaika
Si kweli wasingekuwa wanabaka maana wangekuwa wachache kuliko wanawakeAsante mkuu kwa kunielimisha.kumbe kuzalia mwanaume india ni kama bahati
Usinikumbushe... yaani usinikumbushe. Kuna dada mmoja wa kihindi aliniachia chawa... vidogo vidogo...vyeusi tiii, vinawasha zaidi ya washa washa. Mimi kila siku nasikia mwasho kwenye ma*vuz* najikuna wee mpaka karibia underwear zitoboke. Nikadhani ni mba. Siku moja nikakaa juani na kuangalia... mama wee.. vichawa vidogo vidogo vyeusiii. Mpaka uangalia kwa makini ndiyo uvione. Nikapiga kiwembe na kupaka mafuta ya taa juu ndiyo vikaisha.Angalia maeneo wanayokaa yalivyo machafu Victor wa happy