Ukweli kuhusu maisha ya India

Ukweli kuhusu maisha ya India

Yeah ni kweli South India is so welcoming. Nimesoma Ayurvedic Medicine and Hinduism..Though it was a 3 months training.. Kwa wanao taka mademu wa kihindi , they may also opt to visit Mauritius..
Naona WaMauritius hawana tofauti na wahindi
 
Usinikumbushe... yaani usinikumbushe. Kuna dada mmoja wa kihindi aliniachia chawa... vidogo vidogo...vyeusi tiii, vinawasha zaidi ya washa washa. Mimi kila siku nasikia mwasho kwenye ma*vuz* najikuna wee mpaka karibia underwear zitoboke. Nikadhani ni mba. Siku moja nikakaa juani na kuangalia... mama wee.. vichawa vidogo vidogo vyeusiii. Mpaka uangalia kwa makini ndiyo uvione. Nikapiga kiwembe na kupaka mafuta ya taa juu ndiyo vikaisha.
hahaha nimcheka kwa sauti hadi nimejamba
 
Wahindi waliozaliwa Europe au America wana vitamaduni Kama vya wazungu wanajichanganya hata na foreigner.

Lakini hao wa kuzaliwa kabisa India wanafatisha sana tamaduni zao.
 
Hello guys

Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia wahindi ni wachafu sana, huwa wanakata gogo na kukojoa barabarani, street zao nyingi ukipita zinanuka mavi na mikojo, vumbi ndo usiseme. Ukiajiriwa huku, mishahara yao kama ya bongo tu.

Pesa ya india ina thamani, incase kama umeenda india maybe kutalii, rupia 3000 unaweza ukaiona kama tshs 3000, kumbe actually ni sh 90,000/- za kibongo, so kama si mwangalifu waweza jikuta umetumia hela nyingi kwa siku bila wewe kutarajia. South india ni sehemu rafiki sana kwa foreigners, wanapenda sana ku-chat na waafrika, na kwa kiasi flani wengi wao wana roho nzuri.

Wanaume wengi wa kibongo wakija huku huwa na ndoto za ku-date na wadada wa kihindi, lkn ngoja niweke hivi vipengele bayana:

1)Wadada wengi wa kihindi wengi wanapenda sana watu weupe kuliko watu weusi kwenye maswala ya dating.
2)Wadada wengi wa kihindi wapo sexually conservative, unaweza ukawa boyfriend wake na ku*a usipate, baadae ataku-dump aolewe na mwanaume ambae wazazi wake wamemchagulia.
3)Unaweza ukapata girlfriend wa kihindi, lakini sio wa quality unayotaka wewe (huyo mdada utakaempata aidha ni reject, mtambo (akili zimefyatuka), au ana sura mbaya.
4) Wadada wengi wa kihindi wana aibu sana, hata ukitaka kumtongoza, interaction won't go anywhere.
5)Yeah, kuna wanaume wa kiafrika ambao hupata zali la kupendwa na wadada wazuri wa kihindi na hata kuoa wahindi wazuri, lakini that represents maybe less than 1% ya total male africans ambao wameshawahi kuja india.
6)Kwa mwafrika especially ukienda south india, wadada wengi wa kihindi huenda wakaanza kukushobokea, kuwa curious juu yako, na kukupa their phone number, but haimaanishi kuwa wamevutiwa na wewe kimapenzi, wakati kibongo bongo demu akikushobokea unajua hapa tayari nimepata mzigo

Kwa north india miji ya delhi, na mumbai ukienda no one gives a f*ck about you, saa ingine wakikuona mwafrika wanaweza ku-assume kuwa ww ni muuza madawa, lyk wana kaubaguzi flani hivi ingawa sio wote. Ni hayo tu


UKWELI KUHUSU MAISHA YA KIMAPENZI INDIA, MAISHA SIO MAPENZI TU, MIMI NINGEJUA WAONGELEA MAPENZI TU NISINGEFUNGUA UZI WALA!
 
Ila yote tisa kumi India siyo wenzetu kimaendeleo !
Kule kile baada ya mita chache kuna hospitali, kuna ma Malls n.k
 
Sio kweli aisee. Hivi unajua rupee elf ishirini ni kama laki karibu saba za kibongo. Malaya wa bei kubwa sana wa khindi ni elf 4 ambayo ni kama laki na ishirini. Na wapi hadi wa rupee buku, nimewakandamiza sana hawa tena wapo google una search utakuta wameweka namba zao unaita tu anakuja hotelini ama unamtumia location ulipo anachukoa oto anakuja

Mkuu swala la bei usibishe coz inategemea unaishi maeneo yepi!! Wapo mpaka wa zaidi ya hapo na wana watalii wanawanunua bila hofu!! Hata mie nilipiga mmoja wa Amar Market Nagar kisela nikampa rupee 2,500 kutoka 30,000/ lakini tulielewana mapema na akaridhia ni vile nae alitamani atest ngozi nyeusi so hata bure ningepata kama ningekomaa.
 

Attachments

  • Screenshot_20180530-095918.png
    Screenshot_20180530-095918.png
    40.4 KB · Views: 84
Hivi wale Akina Sharukani,san deo na Amita bachan na Raveena ndio wa India gani? Au ndio wale wanabagua watu kwao...
 
Mimi nilidhani utatueleza mambo ya maana ya kiuchumi na kimaendeleo kumbe upo ktk uchafu wa zinaaa. Bado upo na mawazo ya miaka 1960 to 1970.
 
Back
Top Bottom