Ukweli kuhusu maisha ya India

Ukweli kuhusu maisha ya India

Naskia wanawake ni wachache sana kwao cjui kwel

Siyo kwamba wanawake ni wachache. Tatizo wahindi wana mfumo jike.

Mwanamke ndiye anaamua kuwa na nani na muda gani. Hali hii inawafanya wanaume "wanyonge" kukosa majike so wanaishia kumalizia hasira kwa kubaka na kunajisi watoto.
 
Kwa waarabu nao vip ubaguzi wanao kama wahindi au?
 
Usinikumbushe... yaani usinikumbushe. Kuna dada mmoja wa kihindi aliniachia chawa... vidogo vidogo...vyeusi tiii, vinawasha zaidi ya washa washa. Mimi kila siku nasikia mwasho kwenye ma*vuz* najikuna wee mpaka karibia underwear zitoboke. Nikadhani ni mba. Siku moja nikakaa juani na kuangalia... mama wee.. vichawa vidogo vidogo vyeusiii. Mpaka uangalia kwa makini ndiyo uvione. Nikapiga kiwembe na kupaka mafuta ya taa juu ndiyo vikaisha.
 
Wapo ila ni ni very expensive!! Wanaitwa escorts kwa kule na unafanya booking online.

Wanatakaga ruppee 20,000 hadi 40,000 kwa usiku!! Na akijua wewe ni foreigner inapanda zaidi. Mie nishakataliwa kama mara tatu hivi baada ya kujua ni foreigner tena black madai yao eti tunasimamia dede show kama unatafuta madini then wasumbufu kulipa na wengine wana mibolo mikubwa inawaumiza
 
Mwaka 2007 kuna intern mmoja demu toka India bomba kama wale wa kny movie zao alikuja hospital moja ya rufaa na wenzake wake kwa waume kama 9 hivi,sasa walikuwa na tabia ya kutembea wote kila mahali, nikamlia timing Siku ya jumapili akiwa call nikatest zali kuwa baada ya mda wa kazi twende kutembea nje ya mji akasema tuongozane na wenzake au wawili tuu..nikamjibu yeye aonavyo,basi akaniambia ngoja akaongee na wenzake kama watajisikia kwenda then tutaenda wote...mda ukafika akajakuniambia kuwa wenzake hakuwakuta kny room zao hivyo tunaweza kwenda tu...mwanangu unaambiwa Siku ile matembezi yaliishia chumbani kwangu...mambo yakaendelea hadi waliporudi kwao India.
Dah mwanangu natamani ningekua we we a see.......
 
Nilifika India pale New Delhi; yote tisa kumi nilishangaa kuona wahindi wanaoga na kujisaidia nje... katikati ya jiji.... jamaa ni maskini na pia wachafu by nature.

Bongo pamoja na njaa hizi kariakoo hata Tandare sijaona watu wakioga na kujisaisia live live.
 
Nilifika India pale New Delhi; yote tisa kumi nilishangaa kuona wahindi wanaoga na kujisaidia nje... katikati ya jiji.... jamaa ni maskini na pia wachafu by nature.

Bongo pamoja na njaa hizi kariakoo hata Tandare sijaona watu wakioga na kujisaisia live live.
India utajiri umeshikiliwa na serikali yaan serikali ndiyo yenye hela
 
Mbona wahindi weusi ni wengi sana huko kwao mkuu wanaweza fika hata 20%ya population nzima ya india

Wahindi weusi wapo India ya kusini na historia inasema wale ndio wenye Taifa lao na wale weupe ni Wapakistan.
 
Back
Top Bottom