Ukweli kuhusu maisha ya India

Vichawa hivyo mkuu ni vyako maana ni vyeusi na wewe mweusi vichawa vya wahindi ni kama rangi yao vyeusi vilikuwa vyako mkuu!!
 


hahaaa usinchekeshe, huyo demu wa kihindi ulimpata wapi macho_mdiliko
 
Vichawa hivyo mkuu ni vyako maana ni vyeusi na wewe mweusi vichawa vya wahindi ni kama rangi yao vyeusi vilikuwa vyako mkuu!!
Hapana mkuu. Vina-adapt mazingira labda. Nakuhakikishia ni huyo dada aliniachia. Halfu ubaya nilikaa navyo kwa muda mrefu nikifikiri ni mba. Nilikuwa sijui kama kuna vidudu vina attach sehemu hizo. Halafu vinawasha utafikiria vinaambiana sasa tushambulie na sasa tumpumzike.
 
Kuhangaika kote kwenda huko ama kimasomo ama kwa sababu nyingine, observation yako ndio ilipoishia hapo ??? Tulifikiri ungetuambia kwanini vijana wao wamekuwa CEOs wa US corporates, n.k au vipi wanakabiliana na changamoto za kimaisha and so on ?
Ningekushauri uanzishe uzi wako au ongezea alipoishia yeye mkuu!!
Mawazo yake sio yako!!
 
Mbna wahindi waliopo bongo wanajiweka km malaika

Halafu eti wahindi wa hapa bongo wanakataza mhindi mwanamke kuolewa na Mtz mweusi pia mwanaume mhindi ni marufuku kuoa MTz mweusi, Hivi hii imekaaje eti ni Kweli jamani?
Kama ni Kweli Mbona ni ubaguzi wa Hali ya Juu?
Kuna dada mmoja wa kihindi (Baniani) alijiua baada ya kukataliwa na wazazi wake kuolewa Na MTz mweusi!
Walikuwa wanaishi pale Tegeta Kibaoni by night opposite!
Wahindi Kwani sisi mnatuonaje?
Mbona sisi hatuoni Tabu kuoa au kuolewa na ninyi wahindi?
 
Ktk vitu nilivyo furahia India ni kuwa gharama ya usafiri ni nafuu sana, usafiri kama vile tax na bajaji ni nafuu sana!
Halafu kule wanatumia Magari Yao wenyewe wanayoyatengeneza Kwa hiyo fedha Za kigeni hazitoki nje!
Magari Kama vile Suzuki Maruti, Tata, Layland Duf, Eicher, Swaraj Mazda, Force n.k
 
Hakuna ma dada Poa wa kihindi huko? kwamba kwakua wanabana papuchi yao mtu uwende kujisevia wa madanguro.
 


unajua kuna races/watu duniani hujiona wao ni bora kuliko watu wengine akilinjema
 
Jay Z na Kanye West siyo wa Afrika mkuu, ni weusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…