Ukweli Kuhusu Kuwepo Project ya Ebola TZ nex year

Ukweli Kuhusu Kuwepo Project ya Ebola TZ nex year

Shagean

New Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Wadau hivi ni kweli kuna organization iitwayo Doctor ambayo kwa mara ya kwanza head quarter ilikuwa Kigali Rwanda na hivi sasa wamehamishia Nairobi kenya?
Organization hii inadai kufanya kazi na CDC africa, katika nchi za Tanzania na Kenya kwa lengo la kutoa elimu juu ya ugonjwa wa Ebola. na walitanzagaza kazi 100 last year ya Community moblization and sensitization officers.
Baada ya kimya kirefu toka mwezi wa tisa mwaka jana wameibuka tena siku mbili zilizopita kwa kutuma sms kwa baadhi ya watu kuwa wamechaguliwa kuhudhuria training kwa muda wa wiki mbili Nairobi kenya, kuanzia jan ya mwaka ujao.Ili kuwa katika kigezo cha kughalamiwa chakula na malazi kwa kipindi chote hicho cha training wanataka tutume sh elfu 55 ya kitanzania kwenda vodacom/Safari com kwenye kwa ajiri ya kubook chumba.
Wadau naomba mtusaidie hawa jamaa wasije wakawa ni wale wale matapeli wetu wa kila siku wanaotumia majina ya taasisi kubwa kudhulumu watu.
Please kwa mtu yeyote mwenye ukweli kuhusu hili suala tushee pamoja jamvini
 
Wadau hivi ni kweli kuna organization iitwayo Doctor ambayo kwa mara ya kwanza head quarter ilikuwa Kigali Rwanda na hivi sasa wamehamishia Nairobi kenya?
Organization hii inadai kufanya kazi na CDC africa, katika nchi za Tanzania na Kenya kwa lengo la kutoa elimu juu ya ugonjwa wa Ebola. na walitanzagaza kazi 100 last year ya Community moblization and sensitization officers.
Baada ya kimya kirefu toka mwezi wa tisa mwaka jana wameibuka tena siku mbili zilizopita kwa kutuma sms kwa baadhi ya watu kuwa wamechaguliwa kuhudhuria training kwa muda wa wiki mbili Nairobi kenya, kuanzia jan ya mwaka ujao.Ili kuwa katika kigezo cha kughalamiwa chakula na malazi kwa kipindi chote hicho cha training wanataka tutume sh elfu 55 ya kitanzania kwenda vodacom/Safari com kwenye kwa ajiri ya kubook chumba.
Wadau naomba mtusaidie hawa jamaa wasije wakawa ni wale wale matapeli wetu wa kila siku wanaotumia majina ya taasisi kubwa kudhulumu watu.
Please kwa mtu yeyote mwenye ukweli kuhusu hili suala tushee pamoja jamvini

Usitume fedha ogopa matapeli!!
 
maelezo yapo wazi kabisa kujua ni utapeli,waepuke
 
Wadau hivi ni kweli kuna organization iitwayo Doctor ambayo kwa mara ya kwanza head quarter ilikuwa Kigali Rwanda na hivi sasa wamehamishia Nairobi kenya?
Organization hii inadai kufanya kazi na CDC africa, katika nchi za Tanzania na Kenya kwa lengo la kutoa elimu juu ya ugonjwa wa Ebola. na walitanzagaza kazi 100 last year ya Community moblization and sensitization officers.
Baada ya kimya kirefu toka mwezi wa tisa mwaka jana wameibuka tena siku mbili zilizopita kwa kutuma sms kwa baadhi ya watu kuwa wamechaguliwa kuhudhuria training kwa muda wa wiki mbili Nairobi kenya, kuanzia jan ya mwaka ujao.Ili kuwa katika kigezo cha kughalamiwa chakula na malazi kwa kipindi chote hicho cha training wanataka tutume sh elfu 55 ya kitanzania kwenda vodacom/Safari com kwenye kwa ajiri ya kubook chumba.
Wadau naomba mtusaidie hawa jamaa wasije wakawa ni wale wale matapeli wetu wa kila siku wanaotumia majina ya taasisi kubwa kudhulumu watu.
Please kwa mtu yeyote mwenye ukweli kuhusu hili suala tushee pamoja jamvini
Wewe waambie una ndugu Nairobi hutahitaji kubookiwa chumba, wakija na kigezo cha kusema eti wanataka wote mkae hotel moja utawaambia wakupe jina la hotel hiyo wewe ndugu yako alieko Nairobi atakusaidia kufanya booking kwa kuwa kwa sasa una majukumu mengi na huna cash, hapo wakirudi jua wametumwa
 
Kwa hiyo wao wanajiandaa na ebola TZ next year?
 
Ogopa matapeli nyumba hii haiuzwi moja ya nembo maarufu hapa mjini. Kaz kwako.
 
Back
Top Bottom